Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,963
- 2,694
Atakuwa kashukia Arusha airport na sio KIA.Kutoka Kia mpaka Arusha hakuna eneo lenye muonekano huo labla kama walipitia kufanya utalii wa ndani.
Ntakuwa wa mwisho kuamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kashukia Arusha airport na sio KIA.Kutoka Kia mpaka Arusha hakuna eneo lenye muonekano huo labla kama walipitia kufanya utalii wa ndani.
Ntakuwa wa mwisho kuamini.
Sio vyeo vya kijeshi tafadhaliHeshima haitafutwi inakuja yenyewe.
Nani aliua heshima ya cheo cha ukuu wa Mikoa ni nani?Sio vyeo vya kijeshi tafadhali
Mkuu wa mkoa anapigiwa saluti na vyombo vya jeshi sio hiari heshima wanampa kwa cheo chake kama kamanda wa vikosi vyote vya majeshi yote yaliyoko mkoani kwake sio anahitaji kuwabembeleza au ohh wakiamua wamheshimu haipo hiyo
Kuna vyeo mtu akishika lazima uheshimu utake usitake ni lazima kikiwemo cheo cha ukuu wa mkoa
Makonda anafufua hiyo heshima iliyopotea kwenye cheo cha ukuu wa mkoa
Ukuu wa mkoa hadhi ulishuka sana wacha Makonda anyanyue hadhi yake akianzia Arusha
Wakuu wa mikoa walikuwa wanaonekana tu kama wajinga fulani wasio na Impact yeyote na jamii kuona umuhimu wake kiasi mtu akiteuliwa kuwa mkuu wa mkoa watu wanajiuliza so what?
Makonda anainyesha kuwa cheo cha mkuu wa mkoa sio lolote au chochote kama watu wanavyodhani wakiwemo wakuu wa mikoa waliopo sasa hivi.Kuwa cheo cha mkuu wa mkoa ni kikubwa mno
Kuwa ukisikia mkuu wa mkoa anapita sehemu ni Big deal wabanchi lazima wajitokeze barabarani kumpokea
Anafufua heshima ya cheo cha ukuu wa mkoa
Hii nchi inavituko sana, kwani angeenda na gari moja kungetokea shida gani? Hapo pesa imechotwa sehemu, then baadae unashangaa mtu anakwambia kuna taasisi inatoitwa TAKUKURU.Tazama msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano, leo April 08 2024.
View attachment 2957815
Kwani kuna mtu kalazimishwa kupeleka gari lake huko? Arusha ni washamba sana!Tazama msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano, leo April 08 2024.
View attachment 2957815
Kosa lake ni lipi mpk awe mshamba?Huyu jamaa ni mshamba sana anapenda kujilinganisha na wakubwa wake kama PM, VP ama Rais.
Hana muda ataenda Kolomije kulima mahindi .
Wamelazimishwa mkuu. Wanalalama kichizi kwa kupotezewa muda. Japo mafuta wamewekewaWamiliki wa makampuni ya utalii nao wamechagua fungu la uchawa
Rule No. 1Huyu jamaa ni mshamba sana anapenda kujilinganisha na wakubwa wake kama PM, VP ama Rais.
Hana muda ataenda Kolomije kulima mahindi .
Unaweza ukute hapo hayo magari amewajazia mafuta ili wakampokee. Sifa ni garamaTazama msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano, leo April 08 2024.
View attachment 2957815
Chawa kazini. Hatari sana
Hahahah wakuu wa mikoa wengine ni washamba.Tazama msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano, leo April 08 2024.
View attachment 2957815
Kuna sehemu nyingine mkuu wa mkoa hata akifika mkoani kwake watu hata hawamjui labda ajitambulishe au atambulishwe na hata akitambulishwa watu hata hawaba habari nayeNani aliua heshima ya cheo cha ukuu wa Mikoa ni nani?
Mwaka gani kilishuka?
Kilishuka cha mkoa gani ?
Heka-heka nyingi, muda mchache.Tazama msafara wa RC Paul Makonda ukitokea Uwanja wa Ndege wa Arusha Kuelekea katika ofisi yake kwa Makabidhiano, leo April 08 2024.
View attachment 2957815
PIA, SOMA:
Uteuzi kuwa Mkuu wa Mkoa
Matukio baada ya Uteuzi
Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri
- Arusha wajipanga kumpokea RC Makonda
- Paul Makonda aingia Arusha anakabidhiwa Ofisi muda huu na kuzungumza na Wananchi
- RC Makonda: Rais Samia ameipendelea Arusha, amemtoa mwanae wa pekee na kumleta Arusha
- RC Makonda: Nimekoswa koswa mara 3 kupoteza maisha
- Arusha: Makonda akutana na Mwamposa na kufanyiwa maombi
- Makonda: Watalii hawaji Arusha kulala wanakuja kula starehe, ni lazima Arusha iwe salama saa 24. Hao wadudu nitaongea nao
- Paul Makonda: Watu wa Arusha wanaweza kwenda popote kupambana, iko mikoa unakuta waganga wengi wa kienyeji. Kutambulisha polisi wa kitalii
- Makonda atembelea maeneo yaliyoathirika na Mafuriko jijini Arusha