Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Ila bei ya vitu ni dunia nzima
 
 
Pole mkuu piga moyo konde maisha lazima yaendelee hata kama unapitia situation ngumu kiasi gani
 
ulitakiwa usubirie kwanza mshahara wa mwezi huu ndipo ukope unaiaminije ccm na serikali yake kirahisi hivo
 
Anyway wana siasa sio wa kuwategemea

Wakuu tujiongeze sna nje na hizi kazi nina mawazo tofauti sna.

Mwakani nitareta mrejesho wa kuwa na other side income

Nitapambana hadi nipate huu mshahara ninaolipwa Kwa mwezi.

Usiku mwema

Ndo umejuw Jana?
 
Wafanyakazi mnaogopa hata kugoma au kuandamana hata siku moja mnategemea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…