Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

55000 x 7= 385000
..Marehemu kachelesha sana watumishi.

Hongereni kwa kilichopatikana.
Kweli usolijua ni kama usiku wa giza, hiyo miradi ya JPM ingekamilika akiwepo ndo mngemjua vizuri msukuma vile anapenda sifa, wafanyakazi wasingetamani aondoke madarakani, tulikuwa tumeshazoea sisi wenye akili, huwezi pingana na mabepari wakakupenda hivyo hata angesema akope pesa alipe mishahara kama mama anavyofanya wangempa masharti ambayo mtu wa mlengo wake wa kisiasa asingeafiki, R.I.P JPM.
 
Na hyo 20000 kuitoa benk ni balaa la tozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…