FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nyie ni mizigo kwa taifa hili, hampaswi kuongezewa chchote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli usolijua ni kama usiku wa giza, hiyo miradi ya JPM ingekamilika akiwepo ndo mngemjua vizuri msukuma vile anapenda sifa, wafanyakazi wasingetamani aondoke madarakani, tulikuwa tumeshazoea sisi wenye akili, huwezi pingana na mabepari wakakupenda hivyo hata angesema akope pesa alipe mishahara kama mama anavyofanya wangempa masharti ambayo mtu wa mlengo wake wa kisiasa asingeafiki, R.I.P JPM.55000 x 7= 385000
..Marehemu kachelesha sana watumishi.
Hongereni kwa kilichopatikana.
Na hyo 20000 kuitoa benk ni balaa la tozoKamwe alieshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nazani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Salary tayari?
Tozo za bank Zimefanyaje tena?
Acha tu yaani mpk salari ikitoka watu presha zimepanda na kushuka[emoji38][emoji16][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]!!!Cheka tu upunguze kujisikia vibaya [emoji1]
Shogaa tozo zimeongezwaa...Tozo za bank Zimefanyaje tena?
Kaaaahh!uko serious wewe na gharama hizi za maisha 50k mafuta ya Gari litre ngapi?mchele ht 30kg haupati ,acheni baasi!Hata kama ni 50k inatosha sana asee.
Kwani Salary tayar mkuu?Asante mama, binafsi nashukuru sana kwa hicho kilichoweka,
Sio kweli,E ni 55.
Hahahaha!!aseehhhKumbe pesa nyingi tofaut na ile 20 waliyokuwa wanasema
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Miminani yupo nyuma ya haya yote?