Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

NMB: Mshahara umetoka nyongeza ipo, lakini lazima ucheke tu

Nyongeza ni ndogo sana D wengi wanepewa 55k

A wamepewa 85k

Kweli hesabu ya accounts na ya ualimu darasani ni tofauti sana.
Pesa yote hiyo yaani 55,000 to 85,000 ni pesa kidogo? Acheni upumbavu nyie.
 
Kulikoni? Kwani si tulitangaziana kuwa ni kwa wale wa kima cha chini?
Kwani ni mara ya kwanza kima Cha chini kutangaziwa %atakayopata?miaka yote enzi za jk, mkapa, mwinyi, ilikuwa hivyo.. na wengine pia walikuwa wanaenda kwa % lakini pungufu kiasi.. mfano range 23% Hadi 5% kwa wale wajuu. Kilichofanyika huku na majigambo yote hakieleweki...!!!
 
Acheni kqzi tu sisi ambao hatujaajiriwa tunatamani basi hata izowalizo ongeza wangepunguza kwenye mshahara wazamani yaani mshara ndio upungue sio kuongeza natupo tayari kwa kazi nakuimba mama mama mama
Watastaafu... Utaajiriwa usiwe na kinyongo sio wao wamekunyima ajira. Umwombe Mungu ili utakapopata hiyo ajira akupunguzie huo mshahara !!
 
Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
NBC tushavuta toka 18
 
Unacheka kwa masikitiko walai!! Hutu Mama[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom