Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa yote hiyo yaani 55,000 to 85,000 ni pesa kidogo? Acheni upumbavu nyie.NMB: Mshahara umetoka nyongeza ipo, lakini lazima ucheke tu
Nyongeza ni ndogo sana D wengi wanepewa 55k
A wamepewa 85k
Kweli hesabu ya accounts na ya ualimu darasani ni tofauti sana.
Kwani ni mara ya kwanza kima Cha chini kutangaziwa %atakayopata?miaka yote enzi za jk, mkapa, mwinyi, ilikuwa hivyo.. na wengine pia walikuwa wanaenda kwa % lakini pungufu kiasi.. mfano range 23% Hadi 5% kwa wale wajuu. Kilichofanyika huku na majigambo yote hakieleweki...!!!Kulikoni? Kwani si tulitangaziana kuwa ni kwa wale wa kima cha chini?
Humuelewi wewe na nani? Zingua uone moto.Afadhari hata Hayati aliyekuwa Anatufokea lakini tunamwelewa kuliko huyu ambaye hatufokei lakini hatumwelewi!
Fanya hivi...*150*66# angalia salio !!!acheni ujinga, mshahara haujatoka, na hautatok aleo. labda usiku,kesho mabenki yatasambaza au jumatatu.
Utumishi, fedha na.... Nitarudi naangalia makabrasha..nani yupo nyuma ya haya yote?
Wakimzingua mama tunawafuta kazi. Mama ana huruma sanaWatashoboka na nani na Serikali ndio inawapa maisha? Hiyo jeuri wataitoa wapi?
Toka lini Watumishi wa Umma walifika 2M??Sasa ulitegemea nyongeza kwa watu zaidi ya milioni 2 iwe kubwa kiasi gani? Hizi hela hujui ndo tunazotozwa kwenye miamala?
Watastaafu... Utaajiriwa usiwe na kinyongo sio wao wamekunyima ajira. Umwombe Mungu ili utakapopata hiyo ajira akupunguzie huo mshahara !!Acheni kqzi tu sisi ambao hatujaajiriwa tunatamani basi hata izowalizo ongeza wangepunguza kwenye mshahara wazamani yaani mshara ndio upungue sio kuongeza natupo tayari kwa kazi nakuimba mama mama mama
NBC tushavuta toka 18Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!
Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.
Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.
Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Vitu vitapanda bei na vitaendelea kupanda...!!! Mfanye kazi kwa bidii jambo lile ndio limetekelezwa.Kuna umuhimu wa kupandisha bei za mahitaji mbali mbali ili kuendana na nyongeza lukuki za mshahara zilizotolewa na serikali yetu tukufu
50K amepata mwenyeshahara wa 700K kushuka chini.wengine tumepata 5K.Utumishi wa umma ni wito hiyo elfu 50 wengine haitoshi hata kulipia kingamuzi sijui mnalipaje bills zenu🥺
Ita press uipongeze serikali kwa kazi kubwa ya kuongeza mshahara !Pesa yote hiyo yaani 55,000 to 85,000 ni pesa kidogo? Acheni upumbavu nyie.
Wewe ni sawa na kichaa ila umevaa nguo. Chukua 55,000/2350 Usd =23.4 Usd per month imeongezwa. Utaishije ?Pesa yote hiyo yaani 55,000 to 85,000 ni pesa kidogo? Acheni upumbavu nyie.
Hahahah kina wenyewe bana wengine mashabikiUtumishi, fedha na.... Nitarudi naangalia makabrasha..
Pole Sana amia Nmb huko una kwamaacheni ujinga, mshahara haujatoka, na hautatok aleo. labda usiku,kesho mabenki yatasambaza au jumatatu.
Si ya kucheka haya walai!! Halafu mimi bado sijaona hata kwa komenti hizi ngachoka[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji119][emoji119]Nacheka kama mazuri