Mshtuko mkuu ndani ya CCM. Ushindi wa Lissu na Heche ni chanzo. Je, Mungu anaifuta CCM?

Kama kuna mtu amejifungia mahali anadhani kwamba kuna kitakachodumu hapa duniani nampa POLE
 
Hivi wewe unatumia kichwa au maliwato kufikiri?
Samia anayo mengi aliofanya kuliko wanaume suruali kama wewe.
Nadhani imefika wakati wa akili punguani zikachakatwa kwanza na akili badia yaani Artificial Intelligence.
Au ndio ninyi msiojitambua mliolishwa sumu ya mamba kuharibu kile Muumba alichokiumba.
 
Unaugua na kusaga meno ukiwa wapi mkuu?
 
Ccm wakiondoka tu vitu vyote wanavyo miliki yaani viwanja vya mipira, kumbi za mikutano, majengo wanayo pangishia wafanya biashara, viwanja, magari vitaifishwe na wale wanao waita vigogo wa chama waozee jela wote na mali zao zitaifishwe mtu asibaki hata na kikombe.
 
Ccm is hanging by a thread. A precarious culmination of years of embezzlement, corruption and murder.
 
Tatizo mbogamboga wamepigwa upofu.
 
Unaugua na kusaga meno ukiwa wapi mkuu?
Nazungumza na Elon Musk nikiwa ziwani Victoria,najivulia Sangara na Sato wa kumwaga kwa matumizi yangu tu.
Unataka kunitumia Tomahawk Missiles mimi niko na nyambizi.Nabadirisha muelekeo kila mil of the second.
 
Haters mtakufa kwa Presha mwaka huu
 
Mambo ya Popular Vote Vs Electroral( wajumbe) vote
 
Nazungumza na Elon Musk nikiwa ziwani Victoria,najivulia Sangara na Sato wa kumwaga kwa matumizi yangu tu.
Unataka kunitumia Tomahawk Missiles mimi niko na nyambizi.Nabadirisha muelekeo kila mil of the second.
Hakika afya ya akili ni changamoto kwa taifa
 
Labda wewe, ndio umeshangaa, vinginevyo trend ya JF tu wote wenye akili timamu ambao walikuwa wanaopinga Lissu baada ya maazimio ya CCM wakatulia (ilikuwa butwaa fulani).

MaCCM na watanzania wasingeshangaa ‘bi-tozo’ angefanya vurugu kwa taratibu zao za chama. Wote tulitegemea huko mbele angekuwa mgombea kwa advantages alizonazo.

Walichofanya Dodoma ndio kimewakera watu wengi. Huyo mama kaonyesha ana tamaa na uchu mno wa madaraka na tamaa.

Japo hakuna lolote m la maana analofanya. Lakini anatumia rasilimali fedha za walipa kodi kuhakikisha anabaki madarakani and she impatient to ensure to secure that nomination.

Hiko ndio kllichowakera watanzania walio wengi.
 
Porojo hizo tumezizoea sana wakichaa wameshinda wenyeakili wamewekwa nyuma
 
Mk
Hakika afya ya akili ni changamoto kwa taifa
Mkuu zamani nikiwa shule ya msingi nadhani darasa la tano au la sita 1965 au 1966 tulijifunza nyuki na kumbikumbi.
Mwalimu wangu aliyekuwa kamaliza tu darasa la nane miaka mitano ya nyuma alisema hivi namnukuu.
Viumbe hivi vina taratibu,kanuni sheria za kuendesha au kuboresha kichuguu.Akasema wana mfumo mahususi dunia nzima wa jambo hilo."
Je binadamu wa Tanzania mbona yupo yupo tu karibu kila jambo lakini hana miongozo thabiti ikiwemo Chadema.
 
Walikua na hoja moja tu chadema chama cha Wachagga kwisha habari yao
Na walitegemea kutatokea vurugu za kufa mtu, matokeo yake kukapoa kama pilipili hoho. Polisi wakaondoka na silaha zao za kivita wamechoka sana
 
Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya watz hawamkubali samia hata ndani ya ccm yenyewe. Kitendo cha kulazimisha samia agombee mwaka huu kitawagarimu ccm wenyewe. Swala la bandari na wamasai ngorongoro bado halijatoka kwenye akili zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…