Mshtuko mkuu ndani ya CCM. Ushindi wa Lissu na Heche ni chanzo. Je, Mungu anaifuta CCM?

Mshtuko mkuu ndani ya CCM. Ushindi wa Lissu na Heche ni chanzo. Je, Mungu anaifuta CCM?

Ule ugeni wa mabalozi ulitisha, ulikuwa kama kinga kwa yeyote angejaribu kuvuruga uchaguzi
 
Uchaguzi mkuu nao uwe na ugeni wa nguvu, macho kodo hakuna kuiba kura wala kuvuruga uchaguzi
 
Haters mtakufa kwa Presha mwaka huu
Open your moth
Haters mtakufa kwa Presha mwaka huu
My dear friend usihangaike na mtu kama mimi wewe hangaika na kuondoa mpasuko ndani ya chama chenu.Vinginevyo mtajikuta hamna mbele,CCM itakubatiza sio kwa maji bali kwa lava ya moto wa volcano.

Endeleeni kujiridhisha kama ninyi ndio TID, lakini vipigo vitakatifu vinawaandama,hakuna mambo ya kesi ya ngedere kumpelekea Trump mtaambiwa ni magaidi.
Love in the air.
 
Duru za ndani ya CCM zinanyetisha kuwa hali ya mtafaruku na mfadhaiko mkubwa imeikumba CCM kutokana na pigo takatifu la ushindi wa Tundu Lisu na John Heche katika uchaguzi wa CHADEMA taifa.

Vikao vya wakubwa vimekuwa haviishi, na kupelekea kuleta hofu inayoweza kuzua mpasuko mkubwa wa ndani ya chama.

Azimio la Mkutano Mkuu uliofanyika tarehe 19 Januari 2025 ukumbi wa White House Dodoma, ulipitisha jina la Samia kama sole contenstant na jina la John Nchimbi as running mate wake kwa nafasi ya umakamu. Azimio hili tayari limeshaonesha kuleta mpasuko wa ndani. Juhudi za vikao, kubembelezana na hata kutishiana zimekuwa zikiendelea ndani ya Chama ili kupunguza madhara ya msuguano uliosababishwa na uvunjivu wa Katiba na kanuni za chama.

Inasemekana, upo uwezekano wazee wa kazi chafu wakapewa orodha ya watakaoshughulikiwa ili mifumo iwabane kiuchumi au kuwawekea mazuio muhimu au hata kukabiliwa na changamoto ya maisha yao (kinga ya wale jamaa itahusika kutekeleza hili).

Hotuba ya Tundu Lisu hususan alipokuwa anateua Sekretarieti mpya CHADEMA, ailitamka kuacha nafasi moja ya uteuzi wa mjumbe, akielezea uwezekano wa kupokea wageni kutoka chama dola ambapo hilo lipo wazi hadi sasa.

Jambo linalochagiza wanyetishaji kupata nguvu ya hoja ya mpasuko wa ndani, ni kitendo cha CCM na viongozi wake wote kutosema lolote kuhusu Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CHADEMA. Hata Mwenyekiti wa CCM hajasema lolote hadi sasa hivyo hofu na uoga vinazidi kuongezeka ndani ya korido za Lumumba.

Ushindi wa Lisu na Heche umeleta hasara kubwa na unaweza kupelekea mabadiliko makubwa serikalini na kitengoni kutokana na uwekezaji mkubwa kufanyika na kuambulia kuvuna mabua. Inasemwa na wapenda haki ndani ya CCM kuwa, pesa iliyotumika kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni hasara na pigo kubwa sana dhidi ya CCM na Serikali. Kitendo cha polisi kushindwa kulazimisha (mbinu za vurugu) ushindi kwa mapandikizi ya CCM ndani ya CHADEMA ni dhahiri kuwa mfumo umecheza ngoma kubwa kuliko uwezo wake. Msemakweli ndani ya chama dola anasema, kitendo cha wawakilishi wa Kibalozi ndani ya Mkutano Mkuu hadi mwisho wa zoezi la uhesabuji wa kura na uwepo wa kundi kubwa la wananchi kuzingira ukumbi wa Mlimani City ambao walikesha siku zote za Mkutano hadi ulipofungwa tarehe 22 January 2025 usiku, ulisababisha nyenzo za kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ziendelee kubaki salama ndani ya magari ya polisi 19 yaliyozingira eneo hilo wakiwa na silaha kali.

MY TAKE

  1. Mungu anaifuta CCM kwa kasi kubwa na hakuna wa kuzuia
  2. Ushindi wa Lisu na Heche ni mpango wa Mungu
  3. CCM ipo hatua moja kukaribia kishindo cha MPASUKO wake
  4. Rushwa na mbinu zote chafu za ndani ya chaguzi za Chama vimekuwa kansa isiyopona na kuzalisha makundi na manung'uniko ndani ya chama.
  5. CCM ijiandae kisaikolojia kwa uchaguzi mkuu ujao kwani umma umeshaamka kupitia matukio yaliyojiri kuelekea uchaguzi wa CHADEMA ambao ulifunika kwa mbali sana mkutano mkuu wa CCM ambao umemalizika kwa kuongeza ufa wa mpasuko unaoendelea chamani
Ficha upumbavu wako huo, CCM ni mwamba ishtuke kwasababu ya huyo kibaraka kilema? Huyo ni nyau tu akienda kitoto hatamaliza ht hyo miaka yake. Acha utoto we bwege
 
Wanachama wa chadema wameona uchaguzi wao wa viongozi wa juu ulivyofanyika. Kwenye kuchagua wabunge na madiwani wa kukiwakilisha chama chao nao wafanye vilevile ili atakayeshindwa aone laive ameshindwa. CCM nao waige mbinu za kufanya uchaguzi wa wazi na haki, aliyeshindwa aone kashindwa kweli
 
Punguza kamdomo mtoa mada , wapi mh Mwenyeki lissu amesema iyo nafasi moja inaachwa kwa ajili ya mtu toka ccm?

Amesema anaacha nafasi moja kwamba yawezekanika mtu yeyote anaweza pata ajali ya kisiasa katika vyama na akaja may be Chadema , wakakosa nafasi ya kumsetiri , hakuna sehema kataja Ccm .

Kamdomo ,kamdomo ,kamdomo ,kazuie
Kamdomo kanaruhusu hisia.,Huenda ni yule nani wa kijani ambaye ni mbunge hakusimama kushangilia kupitishwa jina la mwenyekiti wa kijani kuwa mgombea wa urais 2025. Hata hivyo hakuwa amevaa sare ya chama.
 
Ficha upumbavu wako huo, CCM ni mwamba ishtuke kwasababu ya huyo kibaraka kilema? Huyo ni nyau tu akienda kitoto hatamaliza ht hyo miaka yake. Acha utoto we bwege
Utakufa wewe huku Lissu akiwa Rais wa JMT.

Naona somo alilowapa Mungu kwa kumponya Lissu na marisasi yenu halijawaingia vizuri. Sasa endeleeni kucheza na mpakwa mafuta wa Mungu muone matokeo yake
 
Kuna tofauti ya no ya kura za wajumbe na no ya kukubalika na wananchi ....samia ana asilimia 8% tu ya watanganyika wapumbavu wanao mkubali asilimia 92% awamtaki hata kumsikia ila kwenye no za kura za wajumbe wa ccm kapata asilimia 100% ... tumia akili
atachukia sana comment hii akiisoma- leo pilau hailiwi 🙂
 
Hizi ni ramli tu!

CCM itapasuka kwa kujipasua yenyewe, haiwezi kamwe kupasuliwa na waropokaji wasio na facts.
 
Duru za ndani ya CCM zinanyetisha kuwa hali ya mtafaruku na mfadhaiko mkubwa imeikumba CCM kutokana na pigo takatifu la ushindi wa Tundu Lisu na John Heche katika uchaguzi wa CHADEMA taifa.

Vikao vya wakubwa vimekuwa haviishi, na kupelekea kuleta hofu inayoweza kuzua mpasuko mkubwa wa ndani ya chama.

Azimio la Mkutano Mkuu uliofanyika tarehe 19 Januari 2025 ukumbi wa White House Dodoma, ulipitisha jina la Samia kama sole contenstant na jina la John Nchimbi as running mate wake kwa nafasi ya umakamu. Azimio hili tayari limeshaonesha kuleta mpasuko wa ndani. Juhudi za vikao, kubembelezana na hata kutishiana zimekuwa zikiendelea ndani ya Chama ili kupunguza madhara ya msuguano uliosababishwa na uvunjivu wa Katiba na kanuni za chama.

Inasemekana, upo uwezekano wazee wa kazi chafu wakapewa orodha ya watakaoshughulikiwa ili mifumo iwabane kiuchumi au kuwawekea mazuio muhimu au hata kukabiliwa na changamoto ya maisha yao (kinga ya wale jamaa itahusika kutekeleza hili).

Hotuba ya Tundu Lisu hususan alipokuwa anateua Sekretarieti mpya CHADEMA, ailitamka kuacha nafasi moja ya uteuzi wa mjumbe, akielezea uwezekano wa kupokea wageni kutoka chama dola ambapo hilo lipo wazi hadi sasa.

Jambo linalochagiza wanyetishaji kupata nguvu ya hoja ya mpasuko wa ndani, ni kitendo cha CCM na viongozi wake wote kutosema lolote kuhusu Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CHADEMA. Hata Mwenyekiti wa CCM hajasema lolote hadi sasa hivyo hofu na uoga vinazidi kuongezeka ndani ya korido za Lumumba.

Ushindi wa Lisu na Heche umeleta hasara kubwa na unaweza kupelekea mabadiliko makubwa serikalini na kitengoni kutokana na uwekezaji mkubwa kufanyika na kuambulia kuvuna mabua. Inasemwa na wapenda haki ndani ya CCM kuwa, pesa iliyotumika kwenye uchaguzi wa CHADEMA ni hasara na pigo kubwa sana dhidi ya CCM na Serikali. Kitendo cha polisi kushindwa kulazimisha (mbinu za vurugu) ushindi kwa mapandikizi ya CCM ndani ya CHADEMA ni dhahiri kuwa mfumo umecheza ngoma kubwa kuliko uwezo wake. Msemakweli ndani ya chama dola anasema, kitendo cha wawakilishi wa Kibalozi ndani ya Mkutano Mkuu hadi mwisho wa zoezi la uhesabuji wa kura na uwepo wa kundi kubwa la wananchi kuzingira ukumbi wa Mlimani City ambao walikesha siku zote za Mkutano hadi ulipofungwa tarehe 22 January 2025 usiku, ulisababisha nyenzo za kuvuruga uchaguzi wa CHADEMA ziendelee kubaki salama ndani ya magari ya polisi 19 yaliyozingira eneo hilo wakiwa na silaha kali.

MY TAKE

  1. Mungu anaifuta CCM kwa kasi kubwa na hakuna wa kuzuia
  2. Ushindi wa Lisu na Heche ni mpango wa Mungu
  3. CCM ipo hatua moja kukaribia kishindo cha MPASUKO wake
  4. Rushwa na mbinu zote chafu za ndani ya chaguzi za Chama vimekuwa kansa isiyopona na kuzalisha makundi na manung'uniko ndani ya chama.
  5. CCM ijiandae kisaikolojia kwa uchaguzi mkuu ujao kwani umma umeshaamka kupitia matukio yaliyojiri kuelekea uchaguzi wa CHADEMA ambao ulifunika kwa mbali sana mkutano mkuu wa CCM ambao umemalizika kwa kuongeza ufa wa mpasuko unaoendelea chamani
Hakuna mwaka mrahisi sana wa kufanya mavuno shambani kama mwaka huu, huu mwaka wakulima wakishindwa kuvuna mchicha ndo basi
 
Open your moth

My dear friend usihangaike na mtu kama mimi wewe hangaika na kuondoa mpasuko ndani ya chama chenu.Vinginevyo mtajikuta hamna mbele,CCM itakubatiza sio kwa maji bali kwa lava ya moto wa volcano.

Endeleeni kujiridhisha kama ninyi ndio TID, lakini vipigo vitakatifu vinawaandama,hakuna mambo ya kesi ya ngedere kumpelekea Trump mtaambiwa ni magaidi.
Love in the air.
Sasa Mkuu Sblandes shida yako ni nini? Acha chama kife wewe
ufurahi.
 
Wanachama wa chadema wameona uchaguzi wao wa viongozi wa juu ulivyofanyika. Kwenye kuchagua wabunge na madiwani wa kukiwakilisha chama chao nao wafanye vilevile ili atakayeshindwa aone laive ameshindwa. CCM nao waige mbinu za kufanya uchaguzi wa wazi na haki, aliyeshindwa aone kashindwa kweli
Sijui kama wanaweza kujiamini namna hiyo wagombea wa CCM
 
Hao asilimia 49 ni watu kidogo sana ukilinganisha na watanzania wengi wanaomtaka Lisu, hivyo hakuna mpasuko wowote utakaotokea. Hao wapiga kura hata wakiondoka wote waende mbogamboga hakuna athari yoyote itakayotokea. Lisu ni mzimu unaoishi. BRAVO LISU.
Hawa walipiga kura, 49% wameshindwa kwenye box la kura in fair election, hawa 49% ni rahisi kuunga mkono na kuungana na wenzao 51% maana Demokrasia ilifanya kazi.

Sasa shida iko kule Dodoma, ambako watu wamekaa chumbani wakaamua na kuwalazimisha watu kusema ndiooo huku wakiburudishwa na akina Zuchu, Diamond, Ally kiba nk.
Inaonekana wafuasi wa CCM kwao wao ni muhimu sana kuwaona akina Doto Magari, Baba Revo, Mwijaku, Juma lokole, Irene uwoya nk kuliko kumchagua Mwenyekiti wa Chama na mgombea wao wa Urais.
 
Back
Top Bottom