bado mapema sana.

tafuta kazi ya taaluma uliyosomea
 
Natamani nikuajiri maana si mda nafungua klabu Cha pombe hapa kijijini ili utumie uhasibu wako kutunzwa hela zangu ila shida ni Heslb nasikia wanawatafuta nyie mliokula hela ya serikali na hamna Cha kulipa ,Sasa hauwezi kunifirisi kwa kuwalipa serikali ?
 
Ebu nitafute tufanye biashara ya kyupi mtaji wangu faida tunagawana 60/40. Gonga pm
 
asante kwa ushauri nimeamua kuifuta maana naona wengi wanakuja na mada za mapenz hawapo kwa ajili ya kunisaidia
Ndio tunakusaidia Ila kuna boya anakufaidi na hakuna anachokusaidia sasa huo si undezi anapaki bus tu si umpige chini km hatoi pande

Hii nyingine nakupa pande

We are Hiring
Position: Accountant & Audit Associate
Qualification: Bachelor Degree in Accounting/Finance
Experience: <1 year
Position Filling: Immediately
Contract: Permanent
Application Send CV to: audit.senior@habibadvisory.co.tz

Ushindwe Wewe tu na CV yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…