Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie
Aisee kumbe ni Tp wakuu! hatari sana.
Nikajua ni mtu ana uhitaji kabisa

Nilitaka nimuunganishe na jamaangu alikuwa anahitaji binti wa kumsaidia kazini kwake
 
Aisee kumbe ni Tp wakuu! hatari sana.
Nikajua ni mtu ana uhitaji kabisa

Nilitaka nimuunganishe na jamaangu alikuwa anahitaji binti wa kumsaidia kazini kwake
Kuna mwanangu mmoja very humble pia ni introvert ana CPA age 28 msaidie huyu jamaa yangu....kazi hana naumia mimi.
 
Hello watanzania naitwa jenipha nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
Nenda Recruitments agency ziko nyingi .....drop CV wengine watakuambia create account weka CV etc....humu utapata dhihaka...zaidi...( cv people africa....etc tafuta utaziona....) nenda Erolink kaombe kazo Call Center Agent kama uko Dar....kuanzia kupata nauli....
 
Nenda Recruitments agency ziko nyingi .....drop CV wengine watakuambia create account weka CV etc....humu utapata dhihaka...zaidi...( cv people africa....etc tafuta utaziona....) nenda Erolink kaombe kazo Call Center Agent kama uko Dar....kuanzia kupata nauli....
Kaja sehem isiyo sahihi.
 
Back
Top Bottom