Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

Vipi ACT mmepata wakristo wa kutosha ili chama chenu kisionekane kuwa ni cha kidini? Mmefanya jitihada gani ACT isionekane ni chama cha ujiji kinachofadhiliwa na MACCM? Zitto atahamia lini ACT? Nakumbuka saana waraka wenu wa usaliti mliposema:

Waislam wengi tunajua Chadema wana chuki nasi sema hawaidhihirishi wazi wazi.
 
Waislam wengi tunajua chadema wana chuki nasi sema hawaidhihirishi wazi wazi.

Kwa hiyo waislamu mmehamia ACT kutengeneza jumuiya ya kiislamu baada ya CCM kuwabebesha kashfa ya ugaidi; na wachaga na watu wa kaskazini mnaowachukia ndani ya ACT na kuwatukana kila siku wamekimbilia CHADEMA au vipi?..
 
Kwa hiyo umekopa kauli kwa Msigwa wa CHADEMA kutetea kambi ya CCM na SACCOS ya ZITTO?

Sasa kwani ni uongo??

Mtu kama Mbowe form six failure akili ndogo kama ile itaweza vipi ongoza akili kubwa na kisha mambo yakaenda sawa??

With what kind of qualification inayomfanya awepo pale as chairman kama sio ule uchaga wake na ubabamkwe na Mtei tu??
 
Kwa hiyo waislamu mmehamia ACT kutengeneza jumuiya ya kiislamu baada ya CCM kuwabebesha kashfa ya ugaidi; na wachaga na watu wa kaskazini mnaowachukia ndani ya ACT na kuwatukana kila siku wamekimbilia CHADEMA au vipi?..

Kwani kuna ubaya waislam wakizipenda sera za ACT??

Thats what we call Democracy...uhuru wa kuchagua.

Kama chadema ilivyoamua kufanya ukabila kuwa number one qualification ya kuaminika nayo si ndiyo demokrasia yenu??

Mko huru kufanya hivyo.

Thats what we call democracy.
 
Mapimbi kama nyinyi tu with your sad destiny ndiyo wenye utaahira wa kuja kyanika maisha yenu ya ulaghai na utapeli mitandaoni ili kuwarubuni na kuwatapeli watu.

Why shoud i do that na ili iweje.

I am not such stupid...i am not such dumb kufake maisha yasiyo na uhalisia ili uonekane una influence kumbe ni mchimba chumvi tu.

Kwahiyo Ben kayaanika maisha yake? mbona huwa hujibu sawasawa na ulivyoulizwa au kuambiwa? Wewe umesema Bensanane anafua nepi za junior kwasababu unamaham kwa ID yake halisi anayoitumia

Ndipo nasi tukashauri kwamba kama wewe umeweza kumdharau mtu kwa kazi yake anayoifanya basi nawe NJOO KWA I'D YAKO HALISI ILI TUKUJUE KATI YAKO WEWE NA BENSANANE NI NANI MWENYE KAZI NZURI....

Salsa hayo mapovu yanatoka wapi? kumbe Unajua kuwa ukija na ID halisi ya jina lako watu watakujua na kazi unazozifanya zitajulikana na itabainika kuwa wewe umpumbavu kiasi gani kuliko huyo unayedai kuwa anafua nepi za junior

Jambo usiloliweza kaanalo mbali wala usijifanye kudhalau watu kwa misingi ya kazi zao kwa kuwa unawafahamu sababu wanatimia id zao halisi..........Wewe ulijijua ni mpum.bavu na unamawazo ya kijuha,na kwamba huwezi ku share opinions na watu wastaarabu ndio maana unatumia id yako fake basi isiwashambulie wanao tumia id za majina yao halisi huo ndio ushauri wangu

Naona imeumia kuambiwa kuwa unaosha mabatock ya Nape, kipiw kimekuumiza mkuu wakati unatumia Id fake? au ni kweli unafanya hayo kama ni kweli unafanya hayo nasi nadhani huna haja ya kutumia Id fake kwasababu unayofanya yanajilikana....

Nadhani utajirekebisha kuwashambulia members wanaotumia ID Original

Otherwise take it easy

BACK TANGANYIKA
 
Dr.Kitila Mkumbo, unakumbuka TLP ilivyokuwa; Unakumbuka CCJ? Unakumbuka ADC? Basi mwisho wa ACT ambayo ni SACCOS ya Zitto na branch ya CCM haitachelewa itakufa kabla ya 2016 kwa aibu kuu. Hebu rejea sehemu ndogo ya waraka wenu wa usaliti, Je, mpaka sasa mnafanya vikao vyenu nje ya nchi; Bado vikao vyenu ni vya siri? Mnapata wapi fedha za kufanyia vikao nje ya nchi wakati wewe unasema ni maskini?:

Muhtasari wa SWOT analysis unaonyesha kwamba strength na opportunities za tunayemtaka ni nyingi sana zikilinganishwa na weaknesses zake na threats dhidi yake. Aidha ukichambua zaidi utaona kwamba weaknesses za tunayemtaka nirepairable na vikwazo dhidi yake pia ni rahisi kuvikabili na kuvisambaratisha. Tukishamaliza maandalizi ya mkakati huu tukaonana na mhusika mkuu na kumpa ushauri akatulia na kufanya kazi, mkuu aliyepo hatafua dafu. Tunahitaji kutekeleza mkakati huu kwa siri kubwa ili mkuu aliyepo aendelee kubweteka na ndiyo maana hata lugha iliyotumika ni ndani hapa ni ya pekee. Tunahitaji tunayemtaka asionekane kama kuna kitu anafanya na tunafurahi kwamba kuna wakati alitangaza kwamba hana nia ya kugombea tena waliopo wanatosha. Ikitokea vyombo vya habari vikamuuliza tena hiyo ndiyo iwe kauli yake ili kuendelea kumfanya mkuu aliyepo asihangaike na hivyo kuja kummaliza kirahisi. Aidha katika utekelezaji wa mkakati kama tutakavyoeleza hapo baadaye, tunayemtaka atajitenga mbali asionekane hata kuwa karibu na sisi.

Vikao vyetu na yeye vitafanyika mara chache sana na mahali pa faragha kupita kiasi ikiwezekana hata nchi jirani.
 
Wamechukua Maoni ya CHADEMA kwa tume ya Katiba na pia maoni juu ya mchakato wa Bunge Maalumu la Katiba.

We utakua umechanganyikiwa. Eti wamechukua maoni ya Chadema!! Na Chadema walichukua wapi? So stupid like your Chairman Mr. Zero Mbowe.
 
When we tell you guys muache uchaga na. Ukanda kwenye chama na siasa zenu we do not intend to insult chaga people.

Tunamaanisha kweli kwamba kwenye chama hiko muache ukabila na uuungu mtu.

Fanyeni demokrasia kweli na acheni demokrasia magilini.

Hizo hoja za ukabila na udini ni hoja mfu. Zilishatumika kwa CUF na zimeshatumika kwa CDM. Na zinatumiwa na wana CCM dhaifu. Wala hazina ukweli wowote. Kuendelea kutumia hoja mfu hizo ni kuonesha jinsi ulivyofilisika kisiasa. JIPANGE UPYA.
 
Kwani kuna ubaya waislam wakizipenda sera za ACT??

Thats what we call Democracy...uhuru wa kuchagua.

Kama chadema ilivyoamua kufanya ukabila kuwa number one qualification ya kuaminika nayo si ndiyo demokrasia yenu??

Mko huru kufanya hivyo.

Thats what we call democracy.

ACT ni chama cha ujiji Kigoma. Wewe kama shabiki wa ACT wapenda haki na wapinga vurugu; Mlianzaje kuchoma nyumba za Mawaziri? Ni kitu gani kilichowapilekea kusakama wabunge wanawake tena waislamu? Na wewe ni mwislamu kweli? unaujua uislamu weye?
 
We utakua umechanganyikiwa. Eti wamechukua maoni ya Chadema!! Na Chadema walichukua wapi? So stupid like your Chairman Mr. Zero Mbowe.

Inasound vizuri sana "Mr Zero a.k.a Zitto". Mkurugenzi wa SACCOS ya ACT ambayo pia ni nyumba ndogo ya CCM.
 
Msukule wa Zitto na saccos yake inayochangiwa na CCM unataabu sana. Umri wa kugombea umeshadadiwa saana na kibaraka wa CCM Zitto na Januari si wananchi..

Ndio tatizo hili la kufikiri kwa kutumia moyo badala ya akili. Msingi hapa ni kama unaamini kuwa maoni yale yaliyokusanywa na tume ya Warioba hayakuwa ya wananchi au yalipikwa, kama unaamini ni ya wananchi na unataka katiba ya wananchi then hupaswi tena kuchuja.

Maana kama waliosema iwepo serikali tatu (wananchi) ndio haohao npia waliosema kuwa umri wa urais ushushwe.Sasa unapaswa ujitie akili za kiuendawazi kuyashupalia hayo ya kwanza (ya serikali tatu) kwa kigezo kuwa ndivyo walivyotaka wananchi na wakati huohuo ukayapinga (ya umri) ambayo yalitakiwa na wananchi walewale.
 
Sasa kwani ni uongo??


Mtu kama mbowe form six failure akili ndogo kama ile itaweza vipi ongoza akili kubwa na kisha mambo yakaenda sawa??

With what kind of qualification inayomfanya awepo pale as chairman kama sio ule uchaga wake na ubabamkwe na mtei tu??

Kwa hiyo Zitto ni lazima awe mwenyekiti wa ACT kwa sababu ni mhutu? Ameunganisha ACT na CCM kwa sababu anataka kuoa mtoto wa mfalme? Vikao vya ACT ndivyo vinaratibu matamko yenu mitandaoni? Rejea waraka wa usaliti kwa mujibu wa kitila:

Elimu ndogo na duni aliyenayo mpinzani wetu ambaye ndiye mkuu wa taasisi yetu kwa sasa. Kwa sasa ni kiongozi pekee katika nchi yetu anayeongoza taasisi kubwa asiye na elimu ya shahada huku taasisi yetu ikiwa inaongoza kwa kuwa na wasomi waliobobea katika kila nyanja. Hii ni kejeli hasa kwetu sisi ambao tumekuwa tukiwasema wenzetu kwamba ‘akili ndogo' inaongoza akili kubwa. Kimsingi tumekuwa tukijisema kwa kukubali kuongozwa na mtu mwenye akili ndogo.
 
Ndio tatizo hili la kufikiri kwa kutumia moyo badala ya akili. Msingi hapa ni kama unaamini kuwa maoni yale yaliyokusanywa na tume ya Warioba hayakuwa ya wananchi au yalipikwa, kama unaamini ni ya wananchi na unataka katiba ya wananchi then hupaswi tena kuchuja.

Maana kama waliosema iwepo serikali tatu (wananchi) ndio haohao npia waliosema kuwa umri wa urais ushushwe.Sasa unapaswa ujitie akili za kiuendawazi kuyashupalia hayo ya kwanza (ya serikali tatu) kwa kigezo kuwa ndivyo walivyotaka wananchi na wakati huohuo ukayapinga (ya umri) ambayo yalitakiwa na wananchi walewale.

Vipi, hivi sasa mwenendo wa MM hauna utata? Maana Kitila Mkumboaliona haya:

Kuhusu mwenendo wa MM kuanzia sasa:
Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:

Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge.
Ashiriki kikamilifu katika shughuli za taasisi yetu zikiwamo vikao vyote vinavyomhusu, operesheni mbalimbali, chaguzi ndogo, nk.

 
Kwa hyo ACT mnataka Muungano imara lakini Tanganyika na Zanzibar ziwe legelege? Uimara wa Muungano utaletwa serikali mbili legelege ambazo zipo zipo tu? Tanganyika na Zanzibar imara zitajenga Muungano Imara.

Binafsi nahitaji muundo wa serikali ndani kama zinazotakiwa na Chadema, lakin deep down, nahitaji serikali moja ya Tanganyika na najua kuwa kwa kwenda serikali tatu kama zilivyo kwenye rasimu ndio njia ya haraka na isiyo na vikwazo kwenda kwa serikali moja ya Tanganyika.

Kwa mtu ambaye hakika hataki Muungano ufe na anahitahi serikali tatu, ni lazima aipe nguvu serikali ya Muungano na kuzibana kidogo hizi za Tanganyika na Zanzibar.Hivyo ninaelewa wanachokisema ACT hapa.Kwani sote tunajua serikali tatu zilizo kwenye rasimu maana yake tunavunja Muungano, hatukubali mdomoni lakini moyoni tunajua hivyo.Na ndicho ninachokihitaji mimi binafsi.
 
Kwa hiyo Zitto ni lazima awe mwenyekiti wa ACT kwa sababu ni mhutu? Ameunganisha ACT na CCM kwa sababu anataka kuoa mtoto wa mfalme? Vikao vya ACT ndivyo vinaratibu matamko yenu mitandaoni? Rejea waraka wa usaliti kwa mujibu wa kitila:

Dalili ya akili ndogo...

Nadhani mijadala ya vijiwe vya kahawa ingekufaa zaidi kuliko hapa..
 
Dr. Kitila Mkumbo umefanya vyema kuja hapa tofauti na baadhi ya wanazi waliokua wakikukataza wewe kuja hapa kuwekana sawa.

Kwa bahati mbaya sasa Niko barabarani na simu haina chaji ya kutosha.Nitakuja kujibu baadhi ya maeneo ambayo umepotosha kwa makusudi likiwepo suala la Umri wa Kugombea Urais.CHADEMA kilipendekeza Ushushwe na Dr.Kitila unakumbuka ulishiriki kuandika maazimio hayo kikao cha Mwezi July Mwaka Jana.Nilikuwepo na hata wewe uliunga mkono hoja ya kushusha Umri wa Urais.Umeteleza kwa bahati mbaya au umepotosha kwa makusudi?Maoni hayo ni sehemu ya maoni yaliyopelekwa tume pia kutoka kwenye mabaraza yetu ya katiba
 
Last edited by a moderator:
Muundo wa muungano wa serikali tatu ni msimamo wa Chadema wa muda mrefu sana na hawa akina Kitila ndio walikuwa washauri wakuu wa Chama na hata Ilani ya CDM aliyoinadi Dr Slaa swala la muungano liliguswa kwa mapana kwa ushiriki wa huyu Kitila kama mshauri mkuu.Wanasiasa wa Bongo bana .........
 
Zitto anafurahisha sana wakati mwingine.
Yani ukisoma vipaumbele mlivyoweka kwenye marekebisho mnayotaka ni kutengeneza mazingira ya kina Zitto type kuendeleza siasa za ndimi mbili-mbili kama afanyavyo sasa na pia kutimiza ile ndoto yake ya kuwania nafasi ya urais wa Tanzania.
Nawaombea mfikie lengo tukapambane huko mbele ajulikane nani ni nani.
 
Last edited by a moderator:
Dalili ya akili ndogo...

Nadhani mijadala ya vijiwe vya kahawa ingekufaa zaidi kuliko hapa..

Hii ID ni sehemu ya mkakati huu?
Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.
 
Mlihitaji muda wote huu kuonyesha msimamo wenu kwenye hili la kupatikana katiba mpya? Ni sababu zipi kama zipo, zilizowafanya mchelewe kiasi hiki kuweka msimamo wenu hadharani!?

ACT mmeonyesha msimamo madhubuti kwa maslahi ya taifa.
 
Back
Top Bottom