Kalemani ajitokeze kueleza kilichorekodiwa ktk CCTV cameras zake siku aliyoshambuliwa Tundu Lissu.
Afrika tu ambapo haitoi nafasi Kwa viongozi wake kusema hadharani kuachia ngazi, (kujihudhuru nafasi zao)
Ilikuwa vigumu sana endapo ungeling'ang'ania hiyo nafasi ya Uwazari wa Nishati,
Nadhani ilikupa wakati mgumu saana, ila mwishowe uliamua Kwa hekima nyingi mno
Watanzania tunafahamu, wewe ni miongoni mwa mawaziri mliotumbuliwa pasina kufahamu sababu za kutolewa kwenye nafasi zenu
Ulifanya Kwa juhudi kubwa, kama kiatu, basi wizara hiyo ilikuenea vema! Ulienda Kwa kasi ya ajabu kiutendaji,
Ilikuwa vigumu sana kuelewaka kwetu ikiwa ungelikubali kuendelea kuongoza wizara hiyo Kwa mabadiriko yaliyoletwa na uongozi huu
Nafahamu, ugum.u uliojitokeza kwako ni pale ulipoambiwa, utoke ukawaambie wananchi being mpya ya kuwaingizia umeme majumbani mwao, kutoka 27,000 had I 310,000,
Uliwaza mbali sana, na hatimaye ukamweleza mkuu wako kuwa, hautaeleweka, ni bora awekwe mwingine, na ndipo watanzania tukapata waziri wa hovyo kuwahi kutokea
Mungu akubariki sana Mh Kalemani
Hekima na busara zako, tunakuombea uendelee kuitumikia nchi yako Kwa juhudi hizo hizo bila kuchoka
Kawaida ya chama chako, huwa hakipendi watu wenye kujitambua kama wewe, na ukiona vema, piga hesabu za kuzidisha ili upate jibu
Mungu akutunze mkuu!
Atafikiwa tu soon. Hatucheki na wauaji sisi hata siku moja. Tusipomfikia mungu atafanya yake kamaalivyofanya kwa kambale jpm baada ya viliio vya wazazi wa vijana wanaopotezwa ovyoovyo na kuokotwa kwenye vilobaMpeleke mahakamani
Hatuwezi sahau tutawatumia JPM na Kalemani Kama reference ya viongozi wa hovyo kuwahi kutokea in this universeMatusi yako haya, hayabadiri chochote Kwa kilichotokea! Kitabaki vile vile na hata ikitokea vinginevyo, bado itabaki vilevile!
Tukana uwezavyo, Ila bado kile kilichotokea hutakibadirisha na hakiwezi kubadirika,
Wenzako wenye akili timamu, husahau yaliyopita na kupiga mwendo kuendelea mbele,
Pumbavuu!
Kwani ulikuwa unajua umri aliyopangiwa kuishi JPM kabla Mungu hajafanya yake? Maalim seif nae alifanya nini hadi Mungu akaamua kufanya yake?Atafikiwa tu soon. Hatucheki na wauaji sisi hata siku moja. Tusipomfikia mungu atafanya yake kamaalivyofanya kwa kambale jpm baada ya viliio vya wazazi wa vijana wanaopotezwa ovyoovyo na kuokotwa kwenye viloba
Kwani ulikuwa unajua umri aliyopangiwa kuishi JPM kabla Mungu hajafanya yake? Maalim seif nae alifanya nini hadi Mungu akaamua kufanya yake?
Tanzania au Uingereza? Rubbish 🚮🚮Afrika tu ambapo haitoi nafasi Kwa viongozi wake kusema hadharani kuachia ngazi, (kujihudhuru nafasi zao)
Ilikuwa vigumu sana endapo ungeling'ang'ania hiyo nafasi ya Uwazari wa Nishati,
Nadhani ilikupa wakati mgumu saana, ila mwishowe uliamua Kwa hekima nyingi mno
Watanzania tunafahamu, wewe ni miongoni mwa mawaziri mliotumbuliwa pasina kufahamu sababu za kutolewa kwenye nafasi zenu
Ulifanya Kwa juhudi kubwa, kama kiatu, basi wizara hiyo ilikuenea vema! Ulienda Kwa kasi ya ajabu kiutendaji,
Ilikuwa vigumu sana kuelewaka kwetu ikiwa ungelikubali kuendelea kuongoza wizara hiyo Kwa mabadiriko yaliyoletwa na uongozi huu
Nafahamu, ugum.u uliojitokeza kwako ni pale ulipoambiwa, utoke ukawaambie wananchi being mpya ya kuwaingizia umeme majumbani mwao, kutoka 27,000 had I 310,000,
Uliwaza mbali sana, na hatimaye ukamweleza mkuu wako kuwa, hautaeleweka, ni bora awekwe mwingine, na ndipo watanzania tukapata waziri wa hovyo kuwahi kutokea
Mungu akubariki sana Mh Kalemani
Hekima na busara zako, tunakuombea uendelee kuitumikia nchi yako Kwa juhudi hizo hizo bila kuchoka
Kawaida ya chama chako, huwa hakipendi watu wenye kujitambua kama wewe, na ukiona vema, piga hesabu za kuzidisha ili upate jibu
Mungu akutunze mkuu!
Maalim Seif mungu alimuoneaKwani ulikuwa unajua umri aliyopangiwa kuishi JPM kabla Mungu hajafanya yake? Maalim seif nae alifanya nini hadi Mungu akaamua kufanya yake?
Endelea kusubiri sasa! Ila, jitahidi kuongoza ufahamu zaidi ili usiishi Jana, ishi Leo, ya Jana yawe namna bora ya kuboreshea ya Leo na ujifunze kuendana na mada iliyoko kwenye mada tajwaAtafikiwa tu soon. Hatucheki na wauaji sisi hata siku moja. Tusipomfikia mungu atafanya yake kamaalivyofanya kwa kambale jpm baada ya viliio vya wazazi wa vijana wanaopotezwa ovyoovyo na kuokotwa kwenye viloba
Utaniulizaje mimi habari hizo wakati humu ndiyo kunasemwa kuwa Magufuli ndiye aliyeagiza shambulizi la Lissu ila mwenyewe JPM hakuwahi kuzungumzia hilo suala, nachojua ni kwamba hao wawili Lissu na Magufuli walikuwa haziivi ila kujua sababu za JPM kutaka kumuuwa Lissu siwezi kujua...sasa kwanini Jpm aliamua kukatisha maisha ya TL kikatili namna ile?
..kwanini asimpeleke mahakamani kama aliamini ana makosa na kuna ushahidi wenye mashiko?
Alimuonea kwa lipi?Maalim seif mungu alimuonea
Sii kweli, viongozi wanao jiuzulu wenyewe, huandika barua na kutoa sababu au hutangaza kama EL. Viongozi wanaotumbuliwa ndio hukaa kimya, na ikitokea mtumbua majipu asiposema ni kwa nini amelitumbua jipu fulani, mtumbuliwa hutulia kimya anyolewe kimya kimya.Afrika tu ambapo haitoi nafasi Kwa viongozi wake kusema hadharani kuachia ngazi, (kujihudhuru nafasi zao)
Hii sii kweli!, kitu unachopata kwa kuazimwa tuu kwa hisani, huwezi kuking'ang'ania as if ni chako!. Mwenye chake anaweza kukichukua wakati wowote, yeye chake ni ubunge tuu na sio uwaziri!.Ilikuwa vigumu sana endapo ungeling'ang'ania hiyo nafasi ya Uwazari wa Nishati,
Pia hii sii kweli hakuamua chochote bali aliamuliwa!.Nadhani ilikupa wakati mgumu saana, ila mwishowe uliamua Kwa hekima nyingi mno
Kwani unaijua sababu ya yeye kuteuliwa?, aliambiwa sababu?. Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!, anaeteuliwa bila kuambiwa sababu, atatumbuliwa bila kuambiwa sababu!, juzi kati katumbuliwa MFA, Balozi Mulamula, ulizisikia sababu?. Hapa unataka kujenga hoja kuwa Kalemani kaonewa!, kwani uwaziri ni haki yake au mali yake?.Watanzania tunafahamu, wewe ni miongoni mwa mawaziri mliotumbuliwa pasina kufahamu sababu za kutolewa kwenye nafasi zenu
Hapa nakuunga mkono hata mimi ni shahidi kupitia one on one na KalemaniUlifanya Kwa juhudi kubwa, kama kiatu, basi wizara hiyo ilikuenea vema! Ulienda Kwa kasi ya ajabu kiutendaji,
Hii sii kweli!, issue ya kuendelea kuongoza wizara sii yake, huyu hakujiuzu niIlikuwa vigumu sana kuelewaka kwetu ikiwa ungelikubali kuendelea kuongoza wizara hiyo Kwa mabadiriko yaliyoletwa na uongozi huu
Hii sii kweli!, yaani Kalemani ampangie cha kufanya mkuu wake?!, ingekuwa ni hivi si angejiuzulu?. Mbona hakujiuzulu na badala yake ametumbuliwa?Uliwaza mbali sana, na hatimaye ukamweleza mkuu wako kuwa, hautaeleweka, ni bora awekwe mwingine,
Hii sii kweli kabisa!. Huyu aliyepo sasa ni jembe kazi!.na ndipo watanzania tukapata waziri wa hovyo kuwahi kutokea
Naunga mkono hoja.Mungu akubariki sana Mh Kalemani
Naunga mkono hoja.Hekima na busara zako, tunakuombea uendelee kuitumikia nchi yako Kwa juhudi hizo hizo bila kuchoka
Unamaanisha chama chake kinapenda mazuzu?, kimejaa majitu yasiyojitambua?, kama hii ni kweli ilikuwaje akawa huko na hadi sasa bado yupo?. Kama lengo ni kumfagilia Kalemani we mfagilie tuu lakini usimfagilie huku unakipondea chama chake ambacho kwake CCM ni baba ni mama!.Kawaida ya chama chako, huwa hakipendi watu wenye kujitambua
CCTV zile sii zake, yeye ni mpangaji tuu kaingia kwenye nyumba, kazikuta, baada ya tukio lile mwenye CCTV zake akazichukua camera zake, this has nothing to do with Kalemani!.Kalemani ajitokeze kueleza kilichorekodiwa ktk CCTV cameras zake siku aliyoshambuliwa Tundu Lissu.
Peleka mahakamani mkuu Imhotep:
Mkuu JokaKuu, with a due respect, this is a very serious allegations!, do you have any solid evidence to prove this?...sasa kwanini Jpm aliamua kukatisha maisha ya TL kikatili namna ile?
CCTV zile sii zake, yeye ni mpamgaji tuu kaingia kwenye nyumba, kazikuta, baada ya tukio lile mwenye CCTV zake akazichukua camera zake, this has nothing to do with Kalemani!.
P
We unaonaje?hahahaha eti waziri wa ovyo kuwahi kutokea!!so JM ni waziri wa ovyo sana eeh??
Mkuu JokaKuu, with a due respect, this is a very serious allegations!, do you have any solid evidence to prove this?.
P
Kama alihusika hatoweza kujitia kitanzi, kikichobaki wacha ajikoshe kwa kupinga bungeniKalemani ajitokeze kueleza kilichorekodiwa ktk CCTV cameras zake siku aliyoshambuliwa Tundu Lissu.
Ni kweli kunapofanyika jinai, ukijua unapaswa kuripoti sehemu husika, ukijua uwepo wa jinai kabla haijatendeka na hauja ripoti, wewe unakuwa ni mshirika wa uhalifu huo na unashitakiwa as an accesory before the facts, na ukijua jinai baada ya kutendeka ukainyamazia wewe pia ni mshirika wa jinai hiyo as an eccesory after the facts.Unapofumbia macho uhalifu na ww ni muhalifu. Mimi sio mwanasheria kama ww, ila najua kuna sehemu kwenye sheria inatambua hilo.
Angejuaje hayo na yeye hahusiki na hizi CCTV cameras?. Kuna yeyote anayejua kama zilikuwa on na zilirekodi chochote?.Kalemani aliposikia CCTV zilizokuwa kwenye nyumba yake zimefichwa kupoteza ushahidi,
Angesema wapi?, ameulizwa chochote na yeyote?. Hebu vaa viatu vya Kalemani, wewe ni mpangaji tuu, mhusika na cctv anapokuja kuchukua cctv zake kwenye nyumba yake wewe mpangaji do you have any say?.angesema CCTV kabla ya shambulio zilikuwepo, na baada ya shambulio zimetolewa.
Kwanza usiite watu majina mabaya kama dhalimu wakati saa hizi mtu huyu yuko peponi mbinguni kwa Baba yake, yuko na Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amaniHizi ndio sign pamoja na kuondoa askari getini siku ya shambulio, zinazofanya hadi leo tuone dhalimu ndio muhusika wa shambulio la Lisu.
Kwenye jinai yoyote ukweli ni ushahidi usiotia shaka!. Una any evidence to prove this?.Na huo ndio ukweli.