Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Issue siyo kukaa kimya ila ukianzisha vita, unaopigana nao wakikujibu hatutaki MALALAMIKO meeengi kuwa unaonewa.

Kwasababu ukianzisha vita maana yake umeona unaiweza.
Haujajibu swali ipasavyo, sasa kipi bora ukiona unaonewa au ukiona kuna mambo ya hovyo. Bora kukaa kimya au kusema??
 
Mwingira Kawapiga kwenye Mshono,. Mlichofanikiwa ni kuiondoa video yake Youtube ingesambaa mpaka matumbo ya uzazi yangewakamta
 
Hebu tupunguze kudemka..
Alichosema Mwingira ni kweli kafanyiwa au kadanganya?
 
Mmechange mada ya Mwingira na kutaka kumgombanisha na serikali hovyo kabisa. Tukumbuke Mwingira ni mtanzania na humpaswi kumwondolea haki yake kikatiba.
 
Huku kwetu kuna watu wanakiona na kukitukuza cheo cha urais, huku Rais ni mtukufu
 
Mwingira ni sawa na 0 punje kwa Serikali inaouwezo ima wa kumnyamzisha ama kumfanya lolote itakalo

Kashasema ukweli kilichobaki muueni maana nyie mna hati miliki ya kuishi milele kama jiwe [emoji3]
 
Mwingira ni sawa na 0 punje kwa Serikali inaouwezo ima wa kumnyamzisha ama kumfanya lolote itakalo
Nyie mnajisahau sana!
Kwani serikali ni nini?
Ni mali ya mtu fulani au ni ya wananchi woote?
 
Kuweka wazi Namna Mwendakuzimu alivyotaka Kumuua ndio Kushindana na Dola ?, How ?
 
Mtu akiongea ukweli anapambana na serikali? Takataka kabisa 🚮
 
Yeye ni mama na wao ni vijana...

Wakimzingua anawazingua...
 
Mawazo yako ya kijinga kama aliyokuwa nayo Magu hayajakutoka...kwamba mtu akiongea ukweli ambao haukupendezi inabidi auawe...haya sasa, huyo Punda yuko wapi sasaiv?
 
Hakuna popote Mwingira aliposema kuwa anapambana na serikali, na hakuna yoyote aliyesema kuwa Mwingira anapambana nan serikali.
Kilichofanyika ni kwamba Mwingira ameweka wazi roho mbaya za nyie wanaCCM na ukatili mliokusudia kuufanya dhidi ya uhai wake.

Hivi nyie praise team ni kwanini huwa mnapanic namna hii kila mkibananishwa kwenye kona ya kitanda???
 
Hizi allegations umezileta hapa JF kujibu mahubiri yake?Bil 3 za nani?Bank a/c yake una access nayo na unafuatilia balance zake ukiwa wapi?Funguka.
Unaihusisha GoT na aliyoyakemea mhubiri katika mahubiri yake?
 
Mawazo yako ya kijinga kama aliyokuwa nayo Magu hayajakutoka...
Wewe mawazo ya kijanja kama aliyokuwa nayo babu yako yako wapi ? Huna akili
kwamba mtu akiongea ukweli ambao haukupendezi inabidi auawe...haya sasa, huyo Punda yuko wapi sasaiv?
Ukweli ni nini ?

Wapi nimesema mtu auwawe?

Huko aliko huyo Punda ndiko na wewe unakoelekea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…