Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

View attachment 2847270

Nashangaa kuna upotoshwaji mkubwa sana unaendelea kwamba karuhusu ndoa, NO !! suala la ndoa bado litaendelea kuwa kati ya mwanaume na mwanamke

Alichosema ni kwamba karuhusu makasisi kuyabariki kitakatifu mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja,

Tujue utofauti wa ndoa na mahusiano

karuhusu makasisi kubariki wapenzi wa jinsia moja​




😀😀😇😇😇bora kurudi mashahidi wa jehova tu
 
View attachment 2847270

Nashangaa kuna upotoshwaji mkubwa sana unaendelea kwamba karuhusu ndoa, NO !! suala la ndoa bado litaendelea kuwa kati ya mwanaume na mwanamke

Alichosema ni kwamba karuhusu makasisi kuyabariki kitakatifu mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja,

Tujue utofauti wa ndoa na mahusiano
Hivi unajua maanaa ya ndoa?..usimsemee papa nenda kasome Tena tembelea page ya BBC usome kwa kina,,,,papa huyu atakua papa wa Gigy money

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yani hapo ni unataka kusema Mohamed na Mwamed ni majina mawili tofauti, kwa hiyo wewe unaona kubariki wapenzi wa jinsia moja ni sahihi kabisa🤔 huyo kiongozi wenu mwenyewe atakua analiwa ndio maana anawatetea Sana wenzie, akili zitawakaa sawa siku mtakapo ona watoto wenu wameangukia huko kwenye huo ushetani
 
Hivi unajua maanaa ya ndoa?..usimsemee papa nenda kasome Tena tembelea page ya BBC usome kwa kina,,,,papa huyu atakua papa wa Gigy money

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
BBC sio credible source
Mnapenda kujudge wengine unakuta nyie ndo mna midhambi ambayo hata haielezeki.
Kanisa n la wote hta waovu wanapewa nafasi Ili wapate nafasi ya kutubu na kumrudia Mungu.
 
Watu waache upotoshaji Yesu mwenyewe aliwabariki hadi makahaba.
Kwamba aliwabariki waendelee na ukahaba wao?

Je wapenzi wa jinsia moja wakisha barikiwa wata tengana?

Kwamba kuwabariki wapenzi wa jinsia moja kutawafanya waachane?
 
Nilikuwa nataka kuandika uzi kama huu ila nikasema ngoja nipitie kwanza nione kama utakuwepo maana najua JF kuna watu wenye akili na wanaojua kusoma na kuelewa kilichoandikwa.

Watu wengi hawajaelewa tamko la papa Francis. Wamekimbilia ku judge tu ila hawajasoma hata tamko lenyewe.

Wamekimbilia tu kuanzisha nyuzi kiholela ila hata ukimwambia aweke hapa quote ya papa aliposema amebariki ndoa za jinsia moja atabaki kukutukana tu na kufokafoka bila hoja.
Kuwabariki wapenzi wa jinsia moja, Kutawafanya watengane?

Kwamba wapenzi wa jinsia moja wakisha barikiwa wata achana?

Wezi, wazinzi na wadhambi wengine kulingana na ukatoliki huonywa kuacha matendo yao ya uovu kwanza kisha ndio hupatiwa baraka.

Je hao wapenzi wa jinsia moja, wana barikiwa kwa lengo lipi haswa?

Kwamba wakibarikiwa waendelee na ushoga wao?
Asante mkuu kwa kuniwahi kuleta huu uz
 
Low mind wameibeba iyo habari kicwa kichwa na kudhani pope karuhusu ndoa ya jinsia moja
Hao wapenzi wa jinsia moja wana barikiwa kwa lengo lipi haswa?

Ugawaji wa hizo baraka unakuwa kuwabariki kwa mahusiano yao mazuri kwamba waka endeleze mapenzi ya jinsia moja?
 
Hao wapenzi wa jinsia moja wana barikiwa kwa lengo lipi haswa?

Ugawaji wa hizo baraka unakuwa kuwabariki kwa mahusiano yao mazuri kwamba waka endeleze mapenzi ya jinsia moja?
Uelewi chochote kasome habari kamili sio umesoma heading tu umebeba ivo ivo
 
Kwa kifupi Papa ameruhusu kubariki ndoa za jinsia moja! Kwa hiyo hapa hakuna kuzunguka!
Papa ana roho ya Mpinga Kristo.
 
Tutajitahidi sana kutetea lakini kuna ukakasi sana. Kuibua mjadala inaonyesha namna lisivyoeleweka vizuri alimaanisha nini labda ajitokeze aliweke sawa
 
Uelewi chochote kasome habari kamili sio umesoma heading tu umebeba ivo ivo
Wewe si umesoma huo waraka,

Sasa, Naku uliza hivi 👇

Hizo baraka za wapenzi wa jinsia moja ni kuwabariki kwa mahusiano yao mazuri au lengo lake ni nini haswa?

Kwamba wakati wa ugawaji wa baraka hizo wata ombewa waendelee na mapenzi yao ya jinsia moja?

Au huyo padri atawaombea wabadilike watengane na waachane?

Jibu maswali hayo kwa hoja ..☝️☝️

Acha mbambamba na viroja.
 
IMG_3603.jpg

IMG_3602.jpg
 
BBC sio credible source
Mnapenda kujudge wengine unakuta nyie ndo mna midhambi ambayo hata haielezeki.
Kanisa n la wote hta waovu wanapewa nafasi Ili wapate nafasi ya kutubu na kumrudia Mungu.
Kuwabariki wapenzi wa jinsia moja ndio kutawafanya waachane?

Je wapenzi hao wa jinsia moja wakisha barikiwa wata tengana?

Wanabarikiwa kwa lengo lipi haswa?

Waachane au waendelee na mapenzi yao?
 
Wakristo wanachekesha sana Yani mnahangaika kupaka paka Rangi Maneno wakati msimamo wa papa wenu ni ubariki ushoga Kwa waumini wote wa kanisa katoliki na hafichi huo msimamo.Juzi tu hapa papa kamfukuza kasisi wa kimarekani vatcan kisa anapinga ushoga,maoni yangu ndugu wakristo msikilizeni kiongozi wenu mkitaka Kuoana madume Kwa madume msisite kwenda kanisani kubarikiwa na jumapili mwende kanisani na mabwana Zenu(waume Zenu)
Sio wakristo sema wakatoliki. Wewe wakristo unawajua au unawasikia tu?
 
Back
Top Bottom