Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

Bora hata ungekaa kimya nadhani hata wewe mwenyewe ukisoma tena hutaelewa. Mkubali tu Papa kawavua nguo hadharani basi.
 
Huyu bwana Mkubwa anajua alichokiandika kwelii!!?🤔🤔🤔
 
Alichosema Papa
Ni kuwa ...kanisa katoliki...duniani kote
Liwapatie baraka zote wanandoa wa jinsia moja na pia kanisa libariki ndoa za jinsia moja

Yaani kusiwepo na ndoa ya jinsia moja itakayo gomewa kufungwa
Na kanisa katoliki duniani kote!!!

Sasa!!! Kwa tamko hili...
Msitafsiri kuwa PAPA AMEHARALISHA ushoga!!!!!

Hizo tafsiri zenu..bakini nazo!

Ww umemwelewaje??
Soma tena ulichoandika
 
Yaani hii ruhusa ya papa, kuruhusu ndoa za jinsia moja kubarikiwa ni mwiba mchungu sana kwa wakatoliki. Tulipokuwa tukiwaambia huyo kiongozi wao anamwakilisha shetani wakasema tuna wivu, haya sasa yako peupe
 
Au sio
z9eqrb.jpg
 
Unaotoa mapovu kwelikweli,wakatoliki tumeruhusiwa kulana na Kisha tunabarikiwa,tafuta janaume lenzio mwenda Kwa padri Kisha mkalane
 
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.

Lakini Vatikani ilisema baraka hazipaswi kuwa sehemu ya taratibu za kawaida za Kanisa au zinazohusiana na miungano ya kiraia au harusi.

Iliongeza kuwa inaendelea kuiona ndoa kuwa kati ya mwanamume na mwanamke.

Papa Francis aliidhinisha waraka uliotolewa na Vatican kutangaza mabadiliko hayo siku ya Jumatatu.

Vaticani ilisema inapaswa kuwa ishara kwamba "Mungu anawakaribisha wote", lakini hati hiyo inasema makuhani lazima waamue kwa msingi wa kesi baada ya kesi.

Akitambulisha andiko hilo, Kardinali Víctor Manuel Fernández, ambaye ni msimamizi wa Kanisa, alisema kwamba tamko jipya limebakia kuwa "imara kwenye fundisho la kimapokeo la Kanisa kuhusu ndoa".

Lakini aliongeza kuwa kwa kuzingatia "maono ya kichungaji" ya Papa" ya "kupanua" ombi la Kanisa Katoliki, miongozo mipya inawaruhusu mapadre kubariki uhusiano ambao bado unachukuliwa kuwa wa dhambi.

Watu wanaopokea baraka "haifai kuhitajika kuwa na ukamilifu wa kimaadili wa awali", kulingana na tamko hilo.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na mhudumu, akimwomba Mungu ambariki mtu au watu wanaobarikiwa.

Kardinali Fernández alisisitiza kwamba msimamo huo mpya hauhalalishi hadhi ya wapenzi wa jinsia moja mbele ya Kanisa Katoliki.

NB: Hii ni taarifa ya BBC: Lakini kumbukeni BBC wanatetea dhehebu la Anglican ambalo suala la ushoga ama ndoa za jinsia moja ni kawaida kwa Waingereza. Papa alichosema ni kwamba watu wenye ndoa za jinsia moja ni wenye dhambi kama wengine, isipokuwa wakija kanisani kwa kutubu basi wabarikiwe kama binadamu wengine wenye dhambi wabarikiwe ili wajirudi.
nafikiri umeona opposition kubwa duniani umeona kuwa hata MAASKOFU wame mkataa papa , tazama hata baadhi ya MAASKOFU WA nchi ya Poland wamekataa kubariki wanaume walio oana (couples) ...

Utata wa swala la papa ni kwamba unaendelea kuwapa baraka watu ambao wataendelea kuungana kuwa mashoga ..... watu ambao hawapo tayari kuacha kuishi kwenye dhambi ya Ushoga... ... yaani hiyo dhambi haiwaumi

ni bora kumbariki mtu ambaye ni mwizi, ambaye anapata uchungu wa kutenda hiyo dhambi ya wizi

lakini hawa LGTBQ Wanatafuta namna ya kukubalika katika jamii kwamba wapo kwenye uhalali wa kuishi hivyo

Tunaamini mlevi akija kupata baraka HAJI ya BIA ZAKE WALA POMBE ZAKE

lakini anacho fanya pope ni kwamba MLEVI AJE NA Pombe zake tumbariki akiwa bado ameshikilia Pombe na Hana mpango wa kuziacha


so watu wanachotamani ni watu wa LGTBQ Waitwe kanisani wafundishwe namna ya kuacha hiyo tabia
 
Back
Top Bottom