Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

Msipotoshe kuhusu Papa na ndoa za jinsia moja

Low mind wameibeba iyo habari kicwa kichwa na kudhani pope karuhusu ndoa ya jinsia moja
Shetani ni nyoka. Fuatilia mbinu za nyoka kunasa mawindo yake.

Kama Kuna manufaa unayapata katika Ukatoliki wako,dumu kwa bidii.
 
Nilikuwa nataka kuandika uzi kama huu ila nikasema ngoja nipitie kwanza nione kama utakuwepo maana najua JF kuna watu wenye akili na wanaojua kusoma na kuelewa kilichoandikwa.

Watu wengi hawajaelewa tamko la papa Francis. Wamekimbilia ku judge tu ila hawajasoma hata tamko lenyewe.

Wamekimbilia tu kuanzisha nyuzi kiholela ila hata ukimwambia aweke hapa quote ya papa aliposema amebariki ndoa za jinsia moja atabaki kukutukana tu na kufokafoka bila hoja.

Asante mkuu kwa kuniwahi kuleta huu uzi.
Papa kakuwin,wewe ni miongoni mwa wengi. Kwa akili yako unadhani atasema directly,unadhani hawahofii kupoteza waumini zaidi?.

Akili kichwani.
 
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.

Lakini Vatikani ilisema baraka hazipaswi kuwa sehemu ya taratibu za kawaida za Kanisa au zinazohusiana na miungano ya kiraia au harusi.

Iliongeza kuwa inaendelea kuiona ndoa kuwa kati ya mwanamume na mwanamke.

Papa Francis aliidhinisha waraka uliotolewa na Vatican kutangaza mabadiliko hayo siku ya Jumatatu.

Vaticani ilisema inapaswa kuwa ishara kwamba "Mungu anawakaribisha wote", lakini hati hiyo inasema makuhani lazima waamue kwa msingi wa kesi baada ya kesi.

Akitambulisha andiko hilo, Kardinali Víctor Manuel Fernández, ambaye ni msimamizi wa Kanisa, alisema kwamba tamko jipya limebakia kuwa "imara kwenye fundisho la kimapokeo la Kanisa kuhusu ndoa".

Lakini aliongeza kuwa kwa kuzingatia "maono ya kichungaji" ya Papa" ya "kupanua" ombi la Kanisa Katoliki, miongozo mipya inawaruhusu mapadre kubariki uhusiano ambao bado unachukuliwa kuwa wa dhambi.

Watu wanaopokea baraka "haifai kuhitajika kuwa na ukamilifu wa kimaadili wa awali", kulingana na tamko hilo.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na mhudumu, akimwomba Mungu ambariki mtu au watu wanaobarikiwa.

Kardinali Fernández alisisitiza kwamba msimamo huo mpya hauhalalishi hadhi ya wapenzi wa jinsia moja mbele ya Kanisa Katoliki.

NB: Hii ni taarifa ya BBC: Lakini kumbukeni BBC wanatetea dhehebu la Anglican ambalo suala la ushoga ama ndoa za jinsia moja ni kawaida kwa Waingereza. Papa alichosema ni kwamba watu wenye ndoa za jinsia moja ni wenye dhambi kama wengine, isipokuwa wakija kanisani kwa kutubu basi wabarikiwe kama binadamu wengine wenye dhambi wabarikiwe ili wajirudi.
Endeleeni kudanganya,kudanganywa,kudanganyika na kudanganyana,mwisho wa yote upo.
 
Wakristo wanachekesha sana Yani mnahangaika kupaka paka Rangi Maneno wakati msimamo wa papa wenu ni ubariki ushoga Kwa waumini wote wa kanisa katoliki na hafichi huo msimamo.Juzi tu hapa papa kamfukuza kasisi wa kimarekani vatcan kisa anapinga ushoga,maoni yangu ndugu wakristo msikilizeni kiongozi wenu mkitaka Kuoana madume Kwa madume msisite kwenda kanisani kubarikiwa na jumapili mwende kanisani na mabwana Zenu(waume Zenu)
Sema wakatoliki,sio wakristo kwasababu papa sio kiongozi wa wakristo wote duniani,wako wakristo ambao hawahusiani na papa wala na huo ujinga.
 
Kama alichokiongea papa ufafanuzi wake ndio huo ulioutoa hapa basi huyo papa wako kaongea ujinga.Msipomfunga speed gavana ataliingiza kanisa katoliki kwenye mtanziko wakiimani utakaolivuruga kanisa kwa miaka mingi.Sio ajabu kukatokea mgawanyiko mkubwa kutokana na kauli za namna hiyo.
 
View attachment 2847270

Nashangaa kuna upotoshwaji mkubwa sana unaendelea kwamba karuhusu ndoa, NO !! suala la ndoa bado litaendelea kuwa kati ya mwanaume na mwanamke

Alichosema ni kwamba karuhusu makasisi kuyabariki kitakatifu mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja,

Tujue utofauti wa ndoa na mahusiano
At least karuhusu mahusiano yabarikiwe, watu wamechoka uchumba sugu.
 
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.

Lakini Vatikani ilisema baraka hazipaswi kuwa sehemu ya taratibu za kawaida za Kanisa au zinazohusiana na miungano ya kiraia au harusi.

Iliongeza kuwa inaendelea kuiona ndoa kuwa kati ya mwanamume na mwanamke.

Papa Francis aliidhinisha waraka uliotolewa na Vatican kutangaza mabadiliko hayo siku ya Jumatatu.

Vaticani ilisema inapaswa kuwa ishara kwamba "Mungu anawakaribisha wote", lakini hati hiyo inasema makuhani lazima waamue kwa msingi wa kesi baada ya kesi.

Akitambulisha andiko hilo, Kardinali Víctor Manuel Fernández, ambaye ni msimamizi wa Kanisa, alisema kwamba tamko jipya limebakia kuwa "imara kwenye fundisho la kimapokeo la Kanisa kuhusu ndoa".

Lakini aliongeza kuwa kwa kuzingatia "maono ya kichungaji" ya Papa" ya "kupanua" ombi la Kanisa Katoliki, miongozo mipya inawaruhusu mapadre kubariki uhusiano ambao bado unachukuliwa kuwa wa dhambi.

Watu wanaopokea baraka "haifai kuhitajika kuwa na ukamilifu wa kimaadili wa awali", kulingana na tamko hilo.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na mhudumu, akimwomba Mungu ambariki mtu au watu wanaobarikiwa.

Kardinali Fernández alisisitiza kwamba msimamo huo mpya hauhalalishi hadhi ya wapenzi wa jinsia moja mbele ya Kanisa Katoliki.

NB: Hii ni taarifa ya BBC: Lakini kumbukeni BBC wanatetea dhehebu la Anglican ambalo suala la ushoga ama ndoa za jinsia moja ni kawaida kwa Waingereza. Papa alichosema ni kwamba watu wenye ndoa za jinsia moja ni wenye dhambi kama wengine, isipokuwa wakija kanisani kwa kutubu basi wabarikiwe kama binadamu wengine wenye dhambi wabarikiwe ili wajirudi.

WhatsApp Image 2023-12-19 at 21.58.00.jpeg
 
Hakuna cha dhehebu hili wala lile... Ni hivi wote ni mashetani. Ng'ome kuu ya shetani ni huko ROMA italy... Hao mashetan wakuu wanaojiita ma Papa sjiu mann... Nadhan hli liko waz ....

Kikubwa tuish tu hiz sio kgezo cha kwenda mbinguni. Kher asiye na dini ila anamwamini Mungu wake
Umeamua kujibu nje ya hoja. Mwizi asipewe baraka, muuaji asipewe baraka, msema uongo asipewe baraka, mtenda dhambi nyingine asipewe baraka, hayo ni mafundisho ya Kanisa gani la Kikristu? Kanisa la Kristu lipo katika misingi ya msamaha, na tena hukumu ni juu ya Mungu, sio mwanadamu! Nje ya hapo hayo sio mafundisho ya Yesu Kristu
 
Hivi kwanini wazungu wanataka kutulazimisha kuamini kuwa ustaarabu wao ndiyo ustaarabu wa Dunia?
Ahsante kwa kutuletea hii Imani nzuri toka middle East, Babu zenu wakatusaidia kutafsiri Bible, now we can read it and understand it clearly with the help of the Holy Spirit.
Bible iko wazi,wazinzi,wafilaji...hawawezi kuurthi ufalme wa mbinguni, Sasa hizi salakasi zinatokea Wapi?
Nini kipo nyuma ya kakikundi haka kadogo ka homosexual society?[emoji24]huu siyo ulemavu why do you think we need to toralate it?
Kuna haja kuwa na Afro- Catholicism different from that of Europe and America,mapadre waruhusiwe waoe [emoji24][emoji24]
Siyo mnakuja kutetea kauli za kizinzi
He was quoted saying that" blessings does not need moral perfection [emoji24][emoji24][emoji24]how can God bless a devil? without moral perfection you can't be blessed by God.
Kwanini awe concerned with 2% of world's population out of 8 billion people around the world? Yaani asilimia 2 ya mashoga wa ulaya Wana umuhimu kuliko waafrika zaidi ya bilioni moja?[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.

Lakini Vatikani ilisema baraka hazipaswi kuwa sehemu ya taratibu za kawaida za Kanisa au zinazohusiana na miungano ya kiraia au harusi.

Iliongeza kuwa inaendelea kuiona ndoa kuwa kati ya mwanamume na mwanamke.

Papa Francis aliidhinisha waraka uliotolewa na Vatican kutangaza mabadiliko hayo siku ya Jumatatu.

Vaticani ilisema inapaswa kuwa ishara kwamba "Mungu anawakaribisha wote", lakini hati hiyo inasema makuhani lazima waamue kwa msingi wa kesi baada ya kesi.

Akitambulisha andiko hilo, Kardinali Víctor Manuel Fernández, ambaye ni msimamizi wa Kanisa, alisema kwamba tamko jipya limebakia kuwa "imara kwenye fundisho la kimapokeo la Kanisa kuhusu ndoa".

Lakini aliongeza kuwa kwa kuzingatia "maono ya kichungaji" ya Papa" ya "kupanua" ombi la Kanisa Katoliki, miongozo mipya inawaruhusu mapadre kubariki uhusiano ambao bado unachukuliwa kuwa wa dhambi.

Watu wanaopokea baraka "haifai kuhitajika kuwa na ukamilifu wa kimaadili wa awali", kulingana na tamko hilo.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na mhudumu, akimwomba Mungu ambariki mtu au watu wanaobarikiwa.

Kardinali Fernández alisisitiza kwamba msimamo huo mpya hauhalalishi hadhi ya wapenzi wa jinsia moja mbele ya Kanisa Katoliki.

NB: Hii ni taarifa ya BBC: Lakini kumbukeni BBC wanatetea dhehebu la Anglican ambalo suala la ushoga ama ndoa za jinsia moja ni kawaida kwa Waingereza. Papa alichosema ni kwamba watu wenye ndoa za jinsia moja ni wenye dhambi kama wengine, isipokuwa wakija kanisani kwa kutubu basi wabarikiwe kama binadamu wengine wenye dhambi wabarikiwe ili wajirudi.
Kasisi anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja: 'Nililia nilipolipata kanisa hili'
https://bbc.in/3v3vygK
 
Alichosema Papa
Ni kuwa ...kanisa katoliki...duniani kote
Liwapatie baraka zote wanandoa wa jinsia moja na pia kanisa libariki ndoa za jinsia moja

Yaani kusiwepo na ndoa ya jinsia moja itakayo gomewa kufungwa
Na kanisa katoliki duniani kote!!!

Sasa!!! Kwa tamko hili...
Msitafsiri kuwa PAPA AMEHARALISHA ushoga!!!!!

Hizo tafsiri zenu..bakini nazo!

Ww umemwelewaje??
 
Alichosema Papa
Ni kuwa ...kanisa katoliki...duniani kote
Liwapatie baraka zote wanandoa wa jinsia moja na pia kanisa libariki ndoa za jinsia moja

Yaani kusiwepo na ndoa ya jinsia moja itakayo gomewa kufungwa
Na kanisa katoliki duniani kote!!!

Sasa!!! Kwa tamko hili...
Msitafsiri kuwa PAPA AMEHARALISHA ushoga!!!!!

Hizo tafsiri zenu..bakini nazo!

Ww umemwelewaje??
 
Acha kupindisha ukweli! Papa amehalalisha mapenzi ya jinsia moja ndo maana ameruhusu kubariki ndoa zao😂
Kwani nini maana ya kubariki?
 
Maelezo mengi mno. Hili limepita muda wa nyaraka tu kusomwa madhabauni tu ndio kimebaki.

NB: Katika kitu kanisa au taasisi za dini zinatakiwa kuacha ni kuweka demokrasia katika dini. Misingi ya dini ibaki vilevile mtu hataki ni aondoke sio kupindisha maandiko kuwajumuisha wale walioamua kukaidi.
 
Back
Top Bottom