Ni ya kisokwe sokwe sarakasi nyingi poriniHii gorilla style ndio ikoje meja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya kisokwe sokwe sarakasi nyingi poriniHii gorilla style ndio ikoje meja?
Sawa unadhirisha jinsi gani wewe ni mtoto mjingaBora wazazi wako wangefaa Condom
ila kununua Vieite 400 inatosha
Ndio mkuu hizo vieite ni muhimu katika maendeleo zinazidisha ufanisi kazini. Halafu ni mali za umma siyo binafsi. Ukiacha mwengine anaendelea kutumia.ila kununua Vieite 400 inatosha
guerrilla warfare, also spelled guerilla warfare, type of warfare fought by irregulars in fast-moving, small-scale actions against orthodox military and police forces and, on occasion, against rival insurgent forces, either independently or in conjunction with a larger political-military strategy.Hii gorilla style ndio ikoje meja?
Duh mimi wa st. Mkapa nimetoka kapaguerrilla warfare, also spelled guerilla warfare, type of warfare fought by irregulars in fast-moving, small-scale actions against orthodox military and police forces and, on occasion, against rival insurgent forces, either independently or in conjunction with a larger political-military strategy.
I dont think so.Duh mimi wa st. Mkapa nimetoka kapa
Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.
Acha kusema hivyo..kibiti ile ilikua ni real deal..wale jamaa wameua sana watu kule.Propaganda kama zile za Kibiti
Kibiti,Rufiji na Mkuranga ,Dar es salaam, Tanga na Mwanza walijaribu hizo Guerilla war wakidhani wako Nigeria kwenye boko haramu au Somalia kwenye Alshabab wakivamia vituo vya polisi kuua Askari ns kuua viongozi wa serikali kilichowakuta Tanzania hawaji sahau vita zao za Guerilla warguerrilla warfare, also spelled guerilla warfare, type of warfare fought by irregulars in fast-moving, small-scale actions against orthodox military and police forces and, on occasion, against rival insurgent forces, either independently or in conjunction with a larger political-military strategy.
We bwana wee pamoja na kuponda kooote huko basi useme tu ukweli pia kuwa mkiwekwa ambush kupona ni asilimia 00.005 umeshindia kuponda weee hujui hata speknaz wakitiwa kwenye ambush na SAr tu kutoka mbinde?Hapana. Ningekuwa mwanajeshi hapa nchini probably nisingejua haya au ningejua kidogo tu. Ninazo sababu za kuamini hivi
Magaidi waliua kweli hadi polisi kilichofuata magaidi walichinjwa na kuuawa na kupotezewa waliotoka nchi zingine ndugu zao hawajui hata makaburi yao yalikoAcha kusema hivyo..kibiti ile ilikua ni real deal..wale jamaa wameua sana watu kule.
#MaendeleoHayanaChama
Bora mrangi umesema nilichotaka kusema ukipona ambush iliyowekwa kitaalamu kabisa hufi tena lakini kuna lopo lopo mmoja yeye ni kuponda jeshi mwanzo mwisho nahisi ndio walee walikataliwa kwenye usailiKama ni ambush basi,ukipigwa ukichomoka ni nadra sana watu kupona
Ova
Kazi gani unayofanya?Ndio mkuu hizo vieite ni muhimu katika maendeleo zinazidisha ufanisi kazini. Halafu ni mali za umma siyo binafsi. Ukiacha mwengine anaendelea kutumia.
Tufanyeni kazi tuacheni porojo za kindez
[emoji16] maigizo ya CCMKibiti,Rufiji na Mkuranga ,Dar es salaam, Tanga na Mwanza walijaribu hizo Guerilla war wakidhani wako Nigeria kwenye boko haramu au Somalia kwenye Alshabab wakivamia vituo vya polisi kuua Askari ns kuua viongozi wa serikali kilichowakuta Tanzania hawaji sahau vita zao za Guerilla war
M23 walishawahi ua Askari wa Tanzania kilichofuata ukiuliza M23 yeyote hana hamu na JWTZ walivurumishwa na kuuawa chinjachinja kama kuku bila dua ya kuchinja
Kama kweli wamewazingira subiri moto wake damu ya Askari mmoja wa JWTZ itaondoka na vifo vya magaidi sio chini ya mia tano
Wajiandae kuuawa kama kuku kama kweli wamechokoza mzinga wa nyuki
Propaganda katika ubora wake. Hawana nguvu hizo wanazotaka dunia iamini wanazo. Kibiti waliisoma nambaAcha kusema hivyo..kibiti ile ilikua ni real deal..wale jamaa wameua sana watu kule.
#MaendeleoHayanaChama