Satires,siku tukiamka ..tumeshauzwa Ndugai hakuwa nauchizi alipotamk maneno haya!Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Samahani Faizy,umejuaje ni Mchagga?Ulitaka waende na wewe? Una biashara ipi mchaga wewe, zaidi ya kuuza pombe?
Hii ni lugha kinyumenyume........."washitiri".Mkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Wivu tuWatanzania mchangamkie fulsa za mbogamboga na matunda.
View: https://twitter.com/DIONIZKIPANYA25/status/1709048646375805055?t=HyUFD88LmFNZDr0eAmNBSQ&s=19
....bingwa wa rivasiššššššMkuu Okwi, OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P
Tunakosa vichwa ktk maeneo ya biasharaWatanzania mchangamkie fulsa za mbogamboga na matunda.
View: https://twitter.com/DIONIZKIPANYA25/status/1709048646375805055?t=HyUFD88LmFNZDr0eAmNBSQ&s=19
Uuyu mama anaakili sana anajua bila business tycoon's serikali yake itadhalilika tu..Watanzania mchangamkie fulsa za mbogamboga na matunda.
View: https://twitter.com/DIONIZKIPANYA25/status/1709048646375805055?t=HyUFD88LmFNZDr0eAmNBSQ&s=19
Imeuzwa kwa shing ngapi?Tushikane umoja watanzania, nchi yetu imeuzwa! Wote tuwe kitu kimoja!
Propaganda nyingine ni upuuzi sana. What tells you kuwa huyo ni Rostam? Hata kama ni Rostam, what tells you kuwa anaikimbia kamera? Mbona kuna waliogeukia kushoto, kulia na kuna wanaoangalia mbele, hao wanakwepa camera zipi?Kulikuwa na haja gani Rostom Aziz kuikimbia Camera? View attachment 2771295
Mahakama za kisenge kabisaRostam: Kisutu inapigwa Simu moja tu Kwa Jaji na kupewa maelekezo kutoka juu,
Mwisi Igunga[emoji4][emoji4]Wacha awe Dalali wewe endelea kubishana Yanga na Simba yeye katumwa fedha, Babu yake katoka Baluchstan kuja pwani hii na hatimae kufungua Duka Mwisi.
Hapa aliivua nguo Justice system ya Tanzania ilivyooza.Rostam: Kisutu inapigwa Simu moja tu Kwa Jaji na kupewa maelekezo kutoka juu,
Nzega Nkinga Mwisi na Buzoghzadeh au HindochašMwisi Igunga[emoji4][emoji4]