Mkuu Okwi,
OKW BOBAN SUNZU , heshima kitu cha bure!, tusiwachafue wahisani, wafadhili, washitiri na wadhamini, wetu kwa kuwaita majizi!. Huu ni utovu wa shukrani.
Laiti ungelijua kuwa hizi ziara za kutembelea Expo mbalimbali ni ziara za ufadhili unaofanywa na washitiri, kuanzia ile Expo Dubai iliyozaa matunda mema, ya DPW, na ziara hii nayo itazaa matunda. Just imagine ufadhili mkubwa kama kufadhili Royo Tua, mapesa mangapi yametumika?!, halafu mtu uje hapa uanze kuwaita wafadhili wetu ni majizi!, haikubaliki hata kidogo!.
P