Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Wanaokushauri betting sio watu wazuri hata kidogo!

Niliwahi bettia 50,000 ile kuamka asubuhi nikaumwa na malaria mbili!! Sasa hiyo pesa uliyonayo ukiibetia, kesho tutakukuta kariakoo unapiga yope katikati ya barabara ukiwa uchi!

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanaokushauri betting sio watu wazuri hata kidogo!
Niliwahi bettia 50,000 ile kuamka asubuhi nikaumwa na malaria mbili!! Sasa hiyo pesa uliyonayo ukiibetia, kesho tutakukuta kariakoo unapiga yope katikati ya barabara ukiwa uchi!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa mwani anaweka yote kwa wakati mmoja jamani
 
Mkuu hiyo buku 7 ni kwa mkoa gani na sehemu ipi ya mji?

Ila pia kwa huo mtaji wa 5M kwamba atapata baishara ya kupata faida ya 30K kwa siku si rahisi sana. Inabidi akubali kuanzia chini kabisa. Na kama hana uzoefu kabisa asiweke pesa yote. Atalia machozi. Mie kwa uzoefu wangu nadhani katika watu 50 wanaoaza biashara basi wanaofanikiwa wanaweza wasizidi hata watano. Siyo kutatishana tamaa ila lazima tuambizane ukweli. Hasa hizo biashara za kununua bidhaa na kuuza. Si masihara.
Hakika mkuu
Kati ya biashara mpya 10, 9 zote hufa
 
Mkuu unafahamu kuendesha boda? Kama unafahamu ungechukuwa 2M ukanunua pikipiki ukapiga kazi.

Kama haufahamu au hauna interests basi tafuta mtu unayeweza kuingia nae mkataba umpe aendeshe yeye. Hautapata 30K kwa siku ukimpa mtu ila angalau unaweza kufikisha nusu yake...
Wewe mwanangu njoo nikuoe dada angu mzuri kumshinda Paula unaakili Sana asee me nilijaribu kufikiria inamaana hamna watu waliopitia hii njia ?? Mbna watu wanakatishana tamaa Sana.

All in all Kama ulivosema biashara zote zina changamoto zake baada ya kuzijua usizikimbie tafuta utatuzi 👍👍👍👍👍👍
 
Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
Fungua duka la simu
 
Nimechelewa kusoma huzi wako, bado unahitaji ushauri au tayari umeisha pata maamuz.
 
Nenda bank weka hiyo hela yote fixed acc, kwa miezi 6 tu, upate angalau 40,000/= au 50,000/= kila mwezi, huku ukisubiri kipindi cha mavuno bei ikipungua, chukua fedha yako yote bank, then nunua mchele weka stock bei ikipanda uza. Lazima utatoboa. Mambo ni taratibu.
Yaap ushauri mzuri
 
Ukieka kwenye mabenki watakupa 2% to 7% (p.a) ila UTT anakupa 10% to 14% (p.a)
Mm ni mwanafunzi wa chuo katika kila boom naweza save 250,000/= Ila shida inakuja njia ipi ya kuhifadhi nikiacha kweny bank acc inakatwa kila siku.nikieka ndan natumia ...hii unaweza kunifaa kaka
 
Mm ni mwanafunzi wa chuo katika kila boom naweza save 250,000/= Ila shida inakuja njia ipi ya kuhifadhi nikiacha kweny bank acc inakatwa kila siku.nikieka ndan natumia ...hii unaweza kunifaa kaka
Utt inaweza kunifaa
 
Back
Top Bottom