Mimi Melki
Senior Member
- Mar 31, 2022
- 155
- 259
Wanaokushauri betting sio watu wazuri hata kidogo!
Niliwahi bettia 50,000 ile kuamka asubuhi nikaumwa na malaria mbili!! Sasa hiyo pesa uliyonayo ukiibetia, kesho tutakukuta kariakoo unapiga yope katikati ya barabara ukiwa uchi!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Niliwahi bettia 50,000 ile kuamka asubuhi nikaumwa na malaria mbili!! Sasa hiyo pesa uliyonayo ukiibetia, kesho tutakukuta kariakoo unapiga yope katikati ya barabara ukiwa uchi!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]