Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kama alikufuata akajikusanye upyaaNjoo tuanze kubet,
Leo Ni R Madrid v PSG.
Mpe PSG weka pesa yote 5mil kesho utakuwa na 10+Mil.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alikufuata akajikusanye upyaaNjoo tuanze kubet,
Leo Ni R Madrid v PSG.
Mpe PSG weka pesa yote 5mil kesho utakuwa na 10+Mil.
Bro anzisha kinaenda chakuchoma mishkak ni mitamu balaaHabari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
AiseeNjoo tuanze kubet,
Leo Ni R Madrid v PSG.
Mpe PSG weka pesa yote 5mil kesho utakuwa na 10+Mil.
Kaka vipi, umeamka? Ulikuwa unamuingiza mwenzako choo cha kike 🤣🤣🤣Njoo tuanze kubet,
Leo Ni R Madrid v PSG.
Mpe PSG weka pesa yote 5mil kesho utakuwa na 10+Mil.
Katika M5 toa M1 na mimi M1 Tutafute eneo pale makumbusho tuweke biashara mm ninamda wa kusimamia nitakua tutagawana faidaHabari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
Fafanua zaidi tafadhariRiba inaleta maradhi yasio tibika.
Biashara gani una idea nayo boss ya hiyo m2?Katika M5 toa M1 na mimi M1 Tutafute eneo pale makumbusho tuweke biashara mm ninamda wa kusimamia nitakua tutagawana faida
Viatu vya kike kuna eneo jamaa anataka 150k mwezi eneo la wazi anataka miezi sita mm nikitoa hiyo pesa nakosa mtaji kujenga banda 300k hivyo inatumika kama 1200k hivi 800k tunaanza mtaji mdogo mdogoBiashara gani una idea nayo boss ya hiyo m2?
Pia Leo nimepata connection ya frame kariakoo kwa mwezi 250k kama uko dar tunaweza kuonana tukapanga kama tukiridhianaBiashara gani una idea nayo boss ya hiyo m2?
Nunua vitu town peleka bush,then nunua vitu bush leta townHabari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
Pia Leo nimepata connection ya frame kariakoo kwa mwezi 250k kama uko dar tunaweza kuonana tukapanga kama tukiridhiana
Bank gani nzuri mkuu kuweka mzigo?Nenda bank weka hiyo hela yote fixed acc, kwa miezi 6 tu, upate angalau 40,000/= au 50,000/= kila mwezi, huku ukisubiri kipindi cha mavuno bei ikipungua, chukua fedha yako yote bank, then nunua mchele weka stock bei ikipanda uza. Lazima utatoboa. Mambo ni taratibu.
Hii biashara ni nzuri naskia.Nenda bank weka hiyo hela yote fixed acc, kwa miezi 6 tu, upate angalau 40,000/= au 50,000/= kila mwezi, huku ukisubiri kipindi cha mavuno bei ikipungua, chukua fedha yako yote bank, then nunua mchele weka stock bei ikipanda uza. Lazima utatoboa. Mambo ni taratibu.
Kwa mtaji wa 5m naingiza hiyo faida bila shida mkuu inategemeana na locationMkuu hiyo buku 7 ni kwa mkoa gani na sehemu ipi ya mji?
Ila pia kwa huo mtaji wa 5M kwamba atapata baishara ya kupata faida ya 30K kwa siku si rahisi sana. Inabidi akubali kuanzia chini kabisa. Na kama hana uzoefu kabisa asiweke pesa yote. Atalia machozi. Mie kwa uzoefu wangu nadhani katika watu 50 wanaoaza biashara basi wanaofanikiwa wanaweza wasizidi hata watano. Siyo kutatishana tamaa ila lazima tuambizane ukweli. Hasa hizo biashara za kununua bidhaa na kuuza. Si masihara.