Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Kama una leseni na muda nunua TVS bajaj used ya 4m zipo nyingi tu ukomae nayo mwenyewe kufunga ef30 kawaida sana wanapiga mpaka 50,60 kwa siku.Utatumia kama laki 2,3 kufanya service ndogo inayobaki 800k acha kwenye acc kwa ajili ya dharula.

NOTE:Brand ni Tvs tu si nyingine
Hizo bajaj zinapatikana wapi?
 
Viatu vya kike kuna eneo jamaa anataka 150k mwezi eneo la wazi anataka miezi sita mm nikitoa hiyo pesa nakosa mtaji kujenga banda 300k hivyo inatumika kama 1200k hivi 800k tunaanza mtaji mdogo mdogo
Nicheki pm
 
Bank gani nzuri mkuu kuweka mzigo?ina
Bank gani nzuri mkuu kuweka mzigo?

Hii biashara ni nzuri naskia.

Ila upate sehemu nzuri ya kuhifadhia mpunga

Upate watu wazoefu watakaokusaidia kupata wateja.

Na pia wakusaidie kukuzoesha katika biashara.

Kinyume na hapo utaisoma namba
Rafiki hakuna biashara rahisi kama hii, na uzuri wa biashara hii haiitaji uharaka-haraka, kama wewe unahitaji milioni za chap-chap basi usiwekeze huku.

Rafiki yangu mmoja, juzi kati kipindi mchele umeshuka bei, alipiga mafao yake sehemu kama 6M, na mchele wa kawaida ulikuwa unauzwa mpaka kilo moja 800/=, akanunua kilo za hela yote (ile milioni 6) jumla kilo 6,000, halafu akazificha mahala, akaendelea kunganga njaa kwa vibarua vya hapa na pale.

Juzi kati hapa mchele umepanda mno na ameuza kwa kila kilo 1600/= (mean shilingi ikazaa shilingi). Jamaa kapiga noti milioni karibia kumi. Aisee ukiongea nae anakwambia kumbe kuwa bilionea ukivumilia inawezekana. Na anajipanga kufanya kwa ukubwa zaidi.

Nina ushahidi na hilo ndio maana nashauri huyu bwana autupie mzigo wote.
 
Bank gani nzuri mkuu kuweka mzigo?
Inategemeana na bank, na sitaki niisifie hii na niikandie hii, ila kama unania ya dhati na hili, usiogope kutembelea kila tawi na kunagotiate nao na ukiona hawakulipi vema hata kama ni bank maarufu acha nenda kwingine.
 
Tuwekeze katika mambo ya decoration .kila watoto wanazaliwa.

Party and balloon decoration
Kuna arobaini
Kichen party
Event kama yote

Faida katika event faida ukosi .

Locatio town Ilala kwa waarabu .

Uswahili wanapenda sana tena ila pesa hawana wanalalia sana

Msingi vifaa tu aviozi miaka 20 na gari la delivery (kirikuu)
 
Tuwekeze katika mambo ya decoration .kila watoto wanazaliwa.

Party and balloon decoration
Kuna arobaini
Kichen party
Event kama yote

Faida katika event faida ukosi .

Locatio town Ilala kwa waarabu .

Uswahili wanapenda sana tena ila pesa hawana wanalalia sana

Msingi vifaa tu aviozi miaka 20 na gari la delivery (kirikuu)
Mkuu, embu elezea vizuri hii....umerukaruka sana, funguka kidogo.
 
Mkuu, embu elezea vizuri hii....umerukaruka sana, funguka kidogo.
Hii unafungua duka linalo usu mapambo kwa kutumia balloon yaani balloon decoration pamoja na event zote za kitaifa mfano cutomer day au nationa day .

Hii faida inakuja kwenye kukodisha frame z birthday ila iwe kiprofessional zaidi maana wengi wanafanya ila kilocal zaidi .

Bei ya chini kabisa unaweza fanya kwa 100,000 yaani hiyo simple decoration kwa ajili ya picha kw mfano .

20220402_145522.jpg

20220305_182018.jpg

20211001_191254.jpg

20211001_185849.jpg

20211001_184915.jpg

20211016_170646.jpg

20211026_183321.jpg

20211114_132711.jpg
 
Hii unafungua duka linalo usu mapambo kwa kutumia balloon yaani balloon decoration pamoja na event zote za kitaifa mfano cutomer day au nationa day .

Hii faida inakuja kwenye kukodisha frame z birthday ila iwe kiprofessional zaidi maana wengi wanafanya ila kilocal zaidi .

Bei ya chini kabisa unaweza fanya kwa 100,000 yaani hiyo simple decoration kwa ajili ya picha kw mfano .

View attachment 2174792

View attachment 2174793

View attachment 2174794

View attachment 2174795

View attachment 2174796

View attachment 2174797

View attachment 2174798

View attachment 2174799
Safi sana,
 
Mkuu,

Tengeneza banda kisha fuga kuku wa kisasa! Wakiishakuwa anza kuuza kuku wa kubanikwa Ilala kwa elfu tano tano! ni watamu balaa [emoji39][emoji39][emoji39]

Usisahau kuweka na tu ndizi uchwala tule twa mia mia na limau! Ukiuza kuku wako sita, tayari una 30K!

Ukifanikisha unishtue, nitakuwa mteja wako mkubwa tu!
 
Bank gani nzuri mkuu kuweka mzigo?

Nenda bank weka hiyo hela yote fixed acc, kwa miezi 6 tu, upate angalau 40,000/= au 50,000/= kila mwezi, huku ukisubiri kipindi cha mavuno bei ikipungua, chukua fedha yako yote bank, then nunua mchele weka stock bei ikipanda uza. Lazima utatoboa. Mambo ni taratibu.
Ivi bado mnaweka pesa bank???? Ni bora ×1000 kuweka pesa UTT AMIS wanatoa rate nzur mno na kuna flexibility
 
Back
Top Bottom