Mimi Melki
Senior Member
- Mar 31, 2022
- 155
- 259
Sasa mwani anaweka yote kwa wakati mmoja jamaniWanaokushauri betting sio watu wazuri hata kidogo!
Niliwahi bettia 50,000 ile kuamka asubuhi nikaumwa na malaria mbili!! Sasa hiyo pesa uliyonayo ukiibetia, kesho tutakukuta kariakoo unapiga yope katikati ya barabara ukiwa uchi!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Pamoja saaana mkuuFungua real account ya forex
Hakika mkuuMkuu hiyo buku 7 ni kwa mkoa gani na sehemu ipi ya mji?
Ila pia kwa huo mtaji wa 5M kwamba atapata baishara ya kupata faida ya 30K kwa siku si rahisi sana. Inabidi akubali kuanzia chini kabisa. Na kama hana uzoefu kabisa asiweke pesa yote. Atalia machozi. Mie kwa uzoefu wangu nadhani katika watu 50 wanaoaza biashara basi wanaofanikiwa wanaweza wasizidi hata watano. Siyo kutatishana tamaa ila lazima tuambizane ukweli. Hasa hizo biashara za kununua bidhaa na kuuza. Si masihara.
Tukijaaliwa nitakutafutaPia Leo nimepata connection ya frame kariakoo kwa mwezi 250k kama uko dar tunaweza kuonana tukapanga kama tukiridhiana
Wewe mwanangu njoo nikuoe dada angu mzuri kumshinda Paula unaakili Sana asee me nilijaribu kufikiria inamaana hamna watu waliopitia hii njia ?? Mbna watu wanakatishana tamaa Sana.Mkuu unafahamu kuendesha boda? Kama unafahamu ungechukuwa 2M ukanunua pikipiki ukapiga kazi.
Kama haufahamu au hauna interests basi tafuta mtu unayeweza kuingia nae mkataba umpe aendeshe yeye. Hautapata 30K kwa siku ukimpa mtu ila angalau unaweza kufikisha nusu yake...
Hii frame kuna gholofa limejengwa maeneo ya mkombozi bank huku ndiko kwenye hizo bei lakini ishapata mtuHii ni frame ya kushare au
Mm ni mzee wa kubet hapa odds 3 daily natia laki, sikosi 50000 dailyNjoo tuanze kubet,
Leo Ni R Madrid v PSG.
Mpe PSG weka pesa yote 5mil kesho utakuwa na 10+Mil.
Fungua duka la simuHabari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
Tofauti yake ipoje hasa kwenye rates mkuu?Ivi bado mnaweka pesa bank???? Ni bora ×1000 kuweka pesa UTT AMIS wanatoa rate nzur mno na kuna flexibility
Tofauti yake ipoje hasa kwenye rates mkuu
Ukieka kwenye mabenki watakupa 2% to 7% (p.a) ila UTT anakupa 10% to 14% (p.a)Tofauti yake ipoje hasa kwenye rates mkuu?
Oooh shukrani mkuuUkieka kwenye mabenki watakupa 2% to 7% (p.a) ila UTT anakupa 10% to 14% (p.a)
Nimechelewa kusoma huzi wako, bado unahitaji ushauri au tayari umeisha pata maamuz.
Yaap ushauri mzuriNenda bank weka hiyo hela yote fixed acc, kwa miezi 6 tu, upate angalau 40,000/= au 50,000/= kila mwezi, huku ukisubiri kipindi cha mavuno bei ikipungua, chukua fedha yako yote bank, then nunua mchele weka stock bei ikipanda uza. Lazima utatoboa. Mambo ni taratibu.
Karibu sana mkuuOooh shukrani mkuu
Mm ni mwanafunzi wa chuo katika kila boom naweza save 250,000/= Ila shida inakuja njia ipi ya kuhifadhi nikiacha kweny bank acc inakatwa kila siku.nikieka ndan natumia ...hii unaweza kunifaa kakaUkieka kwenye mabenki watakupa 2% to 7% (p.a) ila UTT anakupa 10% to 14% (p.a)
Utt inaweza kunifaaMm ni mwanafunzi wa chuo katika kila boom naweza save 250,000/= Ila shida inakuja njia ipi ya kuhifadhi nikiacha kweny bank acc inakatwa kila siku.nikieka ndan natumia ...hii unaweza kunifaa kaka