The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Umeipataje? Kipindi cha Jiwe usingethubutu kutaja eti una mil.5Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
Niliuza kwa mtaji wa buku 20 tu mwaka 93 mikocheni hapo tmjNilifanya hii business toka 2016 pale kawe kwa mtaji wa laki 5 tuu
Isingekuwa ubize ningekuwa mbali sana na niliacha 2019
Kaka UTT itakufaa sana utakuja kunishukuru nakwambia Tommy 911Mm ni mwanafunzi wa chuo katika kila boom naweza save 250,000/= Ila shida inakuja njia ipi ya kuhifadhi nikiacha kweny bank acc inakatwa kila siku.nikieka ndan natumia ...hii unaweza kunifaa kaka
Kabisa yanUtt inaweza kunifaa
Naweza jiunga online au mpk nifike ofisi zaoKabisa yan
Online tu kupitia shortcode *150*82#Naweza jiunga online au mpk nifike ofisi zao
OkayOnline tu kupitia shortcode *150*82#
Sas hapo mfuko gani unafaaOnline tu kupitia shortcode *150*82#
Huko mikoani mtu apaeleke mzigo gani au ajibebee tu?Hivi nyie mnatamani kweli kuiona kesho ya furaha nawashangaa watu wakija humu ushauri n bodaboda/bajaji au mama ntilie hv tutakuwa mabilionea lini?
5m m pesa nyingi kwa mtu ambaye anauchungu wa kutoka kimaisha Tanzania tupo zaidi ya watu 50m,
50millions people's n wengi mno na ndio mtaji tosha nenda nje ya mji angalia wanakosa nn na wanauhitaji wa kitu gani kwa Sana funga safari nenda mkoa ambao inaonekana haufikiki hata wilaya tathmini Biashara chapu nunua mzigo wa 2m peleka utapata MAJIBU.
Tuache kupeana mawazo ya bodaboda ambapo saiz wamekuwa kero Yan ukiwa msafi msafi ukitokea mbele yao kosa Yan karibu kijiewe kizima kinawasha pikipiki sasa ukiona hvyo n shida na risk ya pikipiki n kubwa kuliko kwenda kuiba bank
Mimi nina interest. Hiyo fremu iko Kariakoo sehemu ipi na hapo kunafanyika biashara gani au ni biashara gani inafaa hapo? Nauliza kwa sababu kila eneo Kariakoo kuna biashara yake au siyo!?Pia Leo nimepata connection ya frame kariakoo kwa mwezi 250k kama uko dar tunaweza kuonana tukapanga kama tukiridhiana
Yaap ushauri
Ingia kwenye website yao wana maelezo mazuri, ingawa ni mafupi. Hata hivyo, wana namba za bure unaweza kuwapigia na kuwauliza maswali yote. LAKINI cha ziada, ni kuwa kama uko DSM, basi nenda ofisini kwao pale SUKARI HOUSE, OHIO utapata all details. In fact mimi napanga kuwatembelea ili nijue kama naweza kuweka huko hela yangu badala ya kuweka benki ambao MAKAYO ni balaa!Maelezo yake nasoma kwenye link uliyoweka juu huko hayaeleweki sijui ndio uchovu, fanya utoe darasa kiufupi tu utakua umenisaidia kitu.
Siyo kweli sana! Hebu fafanua Mkoko kisu! Huko risks ni nyingi sana kupita maelezo!Fanya biashara ya uranguzi wa madini na ukiona uranguzi ni risk bas kata kibali nazan akizid 500k ingia mikoan nunua madini lete dar uza.kwa mtaji wa million 5 ni ndogo sana ila nakuakikishia utafanya kaz kwa aman na faid yake ni nzuri zaid ya iyo unayotaka upate
Uje utupe mrejesho man wengine tupo mkoaniIngia kwenye website yao wana maelezo mazuri, ingawa ni mafupi. Hata hivyo, wana namba za bure unaweza kuwapigia na kuwauliza maswali yote. LAKINI cha ziada, ni kuwa kama uko DSM, basi nenda ofisini kwao pale SUKARI HOUSE, OHIO utapata all details. In fact mimi napanga kuwatembelea ili nijue kama naweza kuweka huko hela yangu badala ya kuweka benki ambao MAKAYO ni balaa!
No.5 Liquid Fund/UkwasiSas hapo mfuko gani unafaa
Me nilichagua wekeza maishaNo.5 Liquid Fund/Ukwasi
Ingia tu kwenye website yao, utaipata hata ukiwa mkoani! Au wapigie simu utakazo ziona kwenye hiyo tovuti/tuvuti yao.Uje utupe mrejesho man wengine tupo mkoani
Unasubiri utafuniwe kila kitu iko siku utakula makapiHuko mikoani mtu apaeleke mzigo gani au ajibebee tu?
Weye vipi? Kuna vitu vingi na kila mkoa au wilaya una mahitaji yake. Wewe ndio wajua what is needed where? Siyo suala la kutafuniwa!Unasubiri utafuniwe kila kitu iko siku utakula makapi