The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Umeipataje? Kipindi cha Jiwe usingethubutu kutaja eti una mil.5Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.