CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 648
Kama unajua ABC za namna ya kufungua na kuendesha biashara hiyo ya electronics, basi funguka utupe madini humu JF labda tunaweza faidika. Halafu "electronics" ni pamoja na vitu gani jamani, hivi vya "electricity" navyo ndiyo hivyo?
Halafu, biashara ya chakula, kwa odds zote, haimtupi mtu kwani walaji tupo kila siku. Sana sana ni suala la location, usimamizi na uongozi wa hio biashara yenyewe na malengo ya wahusika! Ni lazima malengo ya wahusika - mwenye mali na wafanyakazi wake - yaendane; vinginevyo ni kulizana tu!Nilifanya hii business toka 2016 pale Kawe kwa mtaji wa laki 5 tuu
Isingekuwa ubize ningekuwa mbali sana na niliacha 2019
Mkataba uko poasana sabbu wengi wanafanya Kwa moyo na kujituma Na kutunza muhimu boda ya kwanza afanye km mtaji ikifika pesa alonunulia anunue nyingine then hapo ndo utaona faidazaidMkuu unafahamu kuendesha boda? Kama unafahamu ungechukuwa 2M ukanunua pikipiki ukapiga kazi.
Kama haufahamu au hauna interests basi tafuta mtu unayeweza kuingia nae mkataba umpe aendeshe yeye. Hautapata 30K kwa siku ukimpa mtu ila angalau unaweza kufikisha nusu yake.
Kuhusu changamoto za bodaboda mkuu usijali sana maana kila kazi ina changamoto zake. najua kuna watu watakwambia boda achana nayo waendeshaji ni pasua kichwa.
Sasa wewe badala ya kusikiliza changamoto, fanya analysis ya hizo changamoto zote kisha utafute njia za kuzitatua moja baada ya nyingine. Ukisimamia vizuri bodaboda, baada ya muda unaongeza ya pili. Mwishwe unanunua bajaji, kisha IST, na badae inakuwa coaster.
Baaada ya miaka mkuu unamiliki basi. Mie siyo motivation speaker ila nakupa tu some insights maana we unaweza ukawa hauna hili wazo. Mkuu ukitajirika usinisahau na mie. Utanikumbuka mkuu.
Kumbe una mayele ya biasharaMkataba uko poasana sabbu wengi wanafanya Kwa moyo na kujituma Na kutunza muhimu boda ya kwanza afanye km mtaji ikifika pesa alonunulia anunue nyingine then hapo ndo utaona faidazaid
Huwa napenda kujifunza Kwa watu wengineKumbe una mayele ya biashara
Nitafutie basi kijana nimkabidhi boda moja wee utakiwa unapata buku mbili dailyHuwa napenda kujifunza Kwa watu wengine
Haina haja hta ya kunipa buku mbili lkn ni vzuri kutafuta mtu eneo la karibu au unapoishi itakuwa rahis zaidiNitafutie basi kijana nimkabidhi boda moja wee utakiwa unapata buku mbili daily
Mkuu nimekuwRafiki hakuna biashara rahisi kama hii, na uzuri wa biashara hii haiitaji uharaka-haraka, kama wewe unahitaji milioni za chap-chap basi usiwekeze huku.
Rafiki yangu mmoja, juzi kati kipindi mchele umeshuka bei, alipiga mafao yake sehemu kama 6M, na mchele wa kawaida ulikuwa unauzwa mpaka kilo moja 800/=, akanunua kilo za hela yote (ile milioni 6) jumla kilo 6,000, halafu akazificha mahala, akaendelea kunganga njaa kwa vibarua vya hapa na pale.
Juzi kati hapa mchele umepanda mno na ameuza kwa kila kilo 1600/= (mean shilingi ikazaa shilingi). Jamaa kapiga noti milioni karibia kumi. Aisee ukiongea nae anakwambia kumbe kuwa bilionea ukivumilia inawezekana. Na anajipanga kufanya kwa ukubwa zaidi.
Nina ushahidi na hilo ndio maana nashauri huyu bwana autupie mzigo wote.
Ni kweli kabisa ukiwa mvumilivu ubilionea ni kugusa tu. Ila ukikurupuka hutoboi kabisa.Aisee ukiongea nae anakwambia kumbe kuwa bilionea ukivumilia inawezekana.
Sure broMkuu nimekuw
Ni kweli kabisa ukiwa mvumilivu ubilionea ni kugusa tu. Ila ukikurupuka hutoboi kabisa.
Huwezi amini hiyo 5m akiwekeza ata kwa kununua ng'ombe kadhaa baada ya muda hyo faida anayotaka kwa siku itaingiaia zaidi.
Kikubwa subira
ikoje hiiTuwekeze katika mambo ya decoration .kila watoto wanazaliwa.
Party and balloon decoration
Kuna arobaini
Kichen party
Event kama yote
Faida katika event faida ukosi .
Locatio town Ilala kwa waarabu .
Uswahili wanapenda sana tena ila pesa hawana wanalalia sana
Msingi vifaa tu aviozi miaka 20 na gari la delivery (kirikuu)
Naomba connection nae plsRafiki hakuna biashara rahisi kama hii, na uzuri wa biashara hii haiitaji uharaka-haraka, kama wewe unahitaji milioni za chap-chap basi usiwekeze huku.
Rafiki yangu mmoja, juzi kati kipindi mchele umeshuka bei, alipiga mafao yake sehemu kama 6M, na mchele wa kawaida ulikuwa unauzwa mpaka kilo moja 800/=, akanunua kilo za hela yote (ile milioni 6) jumla kilo 6,000, halafu akazificha mahala, akaendelea kunganga njaa kwa vibarua vya hapa na pale.
Juzi kati hapa mchele umepanda mno na ameuza kwa kila kilo 1600/= (mean shilingi ikazaa shilingi). Jamaa kapiga noti milioni karibia kumi. Aisee ukiongea nae anakwambia kumbe kuwa bilionea ukivumilia inawezekana. Na anajipanga kufanya kwa ukubwa zaidi.
Nina ushahidi na hilo ndio maana nashauri huyu bwana autupie mzigo wote.
The fund has been offering lucrative returns ranging from 10% p.a. to 20% p.a. [net off tax]. With subject to increase or decrease.Weka pesa yako UTT AMIS hutojutia trust me
Ukieka kwenye mabenki watakupa 2% to 7% (p.a) ila UTT anakupa 10% to 14% (p.a)
Duh 20% hii mbona bonge la diliThe fund has been offering lucrative returns ranging from 10% p.a. to 20% p.a. [net off tax]. With subject to increase or decrease.
link Umoja Fund | UTTAMIS - Asset Management and Investor Services Plc
Pochi au kilimoHabari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30,000 kwa siku, ushauri wenu ni muhimu sana, asanteni sana.
Ni kweli naunga mkono hojaKwa mtaji huo akipata eneo lenye watu wengi auze chips mayai nyama ndizi hiyo 30k ni hela ndogo sanaaaaaa
DuuuuhHii frame kuna gholofa limejengwa maeneo ya mkombozi bank huku ndiko kwenye hizo bei lakini ishapata mtu
Zama zako bushHabari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30,000 kwa siku, ushauri wenu ni muhimu sana, asanteni sana.