Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Nilifanya hii business toka 2016 pale Kawe kwa mtaji wa laki 5 tuu

Isingekuwa ubize ningekuwa mbali sana na niliacha 2019
Halafu, biashara ya chakula, kwa odds zote, haimtupi mtu kwani walaji tupo kila siku. Sana sana ni suala la location, usimamizi na uongozi wa hio biashara yenyewe na malengo ya wahusika! Ni lazima malengo ya wahusika - mwenye mali na wafanyakazi wake - yaendane; vinginevyo ni kulizana tu!
 
Mkuu unafahamu kuendesha boda? Kama unafahamu ungechukuwa 2M ukanunua pikipiki ukapiga kazi.

Kama haufahamu au hauna interests basi tafuta mtu unayeweza kuingia nae mkataba umpe aendeshe yeye. Hautapata 30K kwa siku ukimpa mtu ila angalau unaweza kufikisha nusu yake.

Kuhusu changamoto za bodaboda mkuu usijali sana maana kila kazi ina changamoto zake. najua kuna watu watakwambia boda achana nayo waendeshaji ni pasua kichwa.

Sasa wewe badala ya kusikiliza changamoto, fanya analysis ya hizo changamoto zote kisha utafute njia za kuzitatua moja baada ya nyingine. Ukisimamia vizuri bodaboda, baada ya muda unaongeza ya pili. Mwishwe unanunua bajaji, kisha IST, na badae inakuwa coaster.

Baaada ya miaka mkuu unamiliki basi. Mie siyo motivation speaker ila nakupa tu some insights maana we unaweza ukawa hauna hili wazo. Mkuu ukitajirika usinisahau na mie. Utanikumbuka mkuu.
Mkataba uko poasana sabbu wengi wanafanya Kwa moyo na kujituma Na kutunza muhimu boda ya kwanza afanye km mtaji ikifika pesa alonunulia anunue nyingine then hapo ndo utaona faidazaid
 
Mkataba uko poasana sabbu wengi wanafanya Kwa moyo na kujituma Na kutunza muhimu boda ya kwanza afanye km mtaji ikifika pesa alonunulia anunue nyingine then hapo ndo utaona faidazaid
Kumbe una mayele ya biashara
 
Nitafutie basi kijana nimkabidhi boda moja wee utakiwa unapata buku mbili daily
Haina haja hta ya kunipa buku mbili lkn ni vzuri kutafuta mtu eneo la karibu au unapoishi itakuwa rahis zaidi
 
Rafiki hakuna biashara rahisi kama hii, na uzuri wa biashara hii haiitaji uharaka-haraka, kama wewe unahitaji milioni za chap-chap basi usiwekeze huku.

Rafiki yangu mmoja, juzi kati kipindi mchele umeshuka bei, alipiga mafao yake sehemu kama 6M, na mchele wa kawaida ulikuwa unauzwa mpaka kilo moja 800/=, akanunua kilo za hela yote (ile milioni 6) jumla kilo 6,000, halafu akazificha mahala, akaendelea kunganga njaa kwa vibarua vya hapa na pale.

Juzi kati hapa mchele umepanda mno na ameuza kwa kila kilo 1600/= (mean shilingi ikazaa shilingi). Jamaa kapiga noti milioni karibia kumi. Aisee ukiongea nae anakwambia kumbe kuwa bilionea ukivumilia inawezekana. Na anajipanga kufanya kwa ukubwa zaidi.

Nina ushahidi na hilo ndio maana nashauri huyu bwana autupie mzigo wote.
Mkuu nimekuw
Aisee ukiongea nae anakwambia kumbe kuwa bilionea ukivumilia inawezekana.
Ni kweli kabisa ukiwa mvumilivu ubilionea ni kugusa tu. Ila ukikurupuka hutoboi kabisa.

Huwezi amini hiyo 5m akiwekeza ata kwa kununua ng'ombe kadhaa baada ya muda hyo faida anayotaka kwa siku itaingiaia zaidi.

Kikubwa subira
 
Tuwekeze katika mambo ya decoration .kila watoto wanazaliwa.

Party and balloon decoration
Kuna arobaini
Kichen party
Event kama yote

Faida katika event faida ukosi .

Locatio town Ilala kwa waarabu .

Uswahili wanapenda sana tena ila pesa hawana wanalalia sana

Msingi vifaa tu aviozi miaka 20 na gari la delivery (kirikuu)
ikoje hii
 
Rafiki hakuna biashara rahisi kama hii, na uzuri wa biashara hii haiitaji uharaka-haraka, kama wewe unahitaji milioni za chap-chap basi usiwekeze huku.

Rafiki yangu mmoja, juzi kati kipindi mchele umeshuka bei, alipiga mafao yake sehemu kama 6M, na mchele wa kawaida ulikuwa unauzwa mpaka kilo moja 800/=, akanunua kilo za hela yote (ile milioni 6) jumla kilo 6,000, halafu akazificha mahala, akaendelea kunganga njaa kwa vibarua vya hapa na pale.

Juzi kati hapa mchele umepanda mno na ameuza kwa kila kilo 1600/= (mean shilingi ikazaa shilingi). Jamaa kapiga noti milioni karibia kumi. Aisee ukiongea nae anakwambia kumbe kuwa bilionea ukivumilia inawezekana. Na anajipanga kufanya kwa ukubwa zaidi.

Nina ushahidi na hilo ndio maana nashauri huyu bwana autupie mzigo wote.
Naomba connection nae pls
 
Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30,000 kwa siku, ushauri wenu ni muhimu sana, asanteni sana.
Pochi au kilimo
 
Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30,000 kwa siku, ushauri wenu ni muhimu sana, asanteni sana.
Zama zako bush
 
Back
Top Bottom