ushauli mzuri sana brother.!keep it up.mimi nakushauri kuwa invester maana michakato ya biashara huwa ina mikanganyiko mingi sana
na moja ya nyanja ambayo unaweza kuwekeza ni local real estate ya kibongo kwanini
1.soko ni la uhakika sasa hivi asilimia 99 ya wabongo akili yao iko katika kujenga si utawakamata nina uhakika
2. hauwekezaji huo hauna presha yaani uko zako ulaya na unasimamia kwa mbali kama rimote
cha kufanya nunua kiwanja chenye hati kabisa na ndio biashara yenyewe kwani nyumba ya 10m hakuna
pili hakikisha kuwa unaweka fence japo ile ya kuzungushia nyaya
tatu subiri ipite miezi sita tu au mwaka then kiweke sokoni kaka
madalali kibao ukiwapatia ofa yako tu wanachacharika kweli
mwisho usiwekeze 10m yote wewe nunua cha 7 au 8m
utakuwa na uhakika wa kuuza kati ya 12, 13, 14 au 15m
angalizo!
usiwe na haraka wakati wa kukiuza taratibu la sivyo utauza kwa bei ndogo
USHUHUDA
Kuna kakiwanja nilinunua mwaka 2007 kwa 3m na sasa ninaenda kukiuza wakati wowote kwa 40 au 45m
any swali nicheki kwa 0713 32 77 13
Mbu, mtaji wako ni mdogo na biashara za tender zinataka pesa zaidi ya hizo 10m. Ukitegemea tender unaweza kulaza familia kwa njaa na kupata maisha magumu kwani hao serikali kuwasupply si tatizo lakini wakati wa malipo utazungushwa hadi utoe rushwa. Kwa tabia hio mara ya kwanza na ya pili utafanya biashara. Lakini mara ya tatu sija ukawekwa kwa list ya mafisadi maana baada kuzungushwa sana ulipo supply mara ya kwanza na pili basi nawe unakuwa sugu na unaanza kusupply hewa upate pessa za bure nk. Mambo ya tender usiyafikirie nakushauri.
...dah, kaka masuala ya ubunge wala sina fikra hizo, japo ni ukweli usiopingika miaka mitano bungeni, ni 'return' nzuri ya mtaji utaoweka!
Mkuu, unachukua mkopo ili umnunulie mama Zawadi ..... duh only in Tanzania
Mkuu, unachukua mkopo ili umnunulie mama Zawadi ..... duh only in Tanzania
Hata Mimi Nimeshangaa Jamaa Kweli ni Bonge La MBWIGA.
Mkuu, unachukua mkopo ili umnunulie mama Zawadi ..... duh only in Tanzania