mimi nakushauri kuwa invester maana michakato ya biashara huwa ina mikanganyiko mingi sana
na moja ya nyanja ambayo unaweza kuwekeza ni local real estate ya kibongo kwanini
1.soko ni la uhakika sasa hivi asilimia 99 ya wabongo akili yao iko katika kujenga si utawakamata nina uhakika
2. hauwekezaji huo hauna presha yaani uko zako ulaya na unasimamia kwa mbali kama rimote
cha kufanya nunua kiwanja chenye hati kabisa na ndio biashara yenyewe kwani nyumba ya 10m hakuna
pili hakikisha kuwa unaweka fence japo ile ya kuzungushia nyaya
tatu subiri ipite miezi sita tu au mwaka then kiweke sokoni kaka
madalali kibao ukiwapatia ofa yako tu wanachacharika kweli
mwisho usiwekeze 10m yote wewe nunua cha 7 au 8m
utakuwa na uhakika wa kuuza kati ya 12, 13, 14 au 15m
angalizo!
usiwe na haraka wakati wa kukiuza taratibu la sivyo utauza kwa bei ndogo
USHUHUDA
Kuna kakiwanja nilinunua mwaka 2007 kwa 3m na sasa ninaenda kukiuza wakati wowote kwa 40 au 45m
any swali nicheki kwa 0713 32 77 13