Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

binafsi nakushauri ununue bajaji ya abiria au mizigo, ikatie bima ya compressive(ikiibiwa au ajali unalipwa) alafu tafuta mtu mwaminifu akuletee hesabu.

kwa nini sijakushauri kilimo:-
  • kilimo kina hitaji usimamizi wa dhati angali wewe umeajiriwa
  • kilimo kinahitaji labour(nguvu kazi) nayo ni changamoto sana kwa tanzania
  • miundombinu ya kilimo sio mizuri kutoa mazao shamba kufikisha sokoni ni shida na pengine hakuna njia nzuri
  • Mazingira ya shamba ni magumu maeneo mengi mazuri kwa kilimo unakuta hakuna huduma za kijamii kama network ya mitandao ya simu,hospitali,maji safi wala masoko ya vyakula
  • Ushirikina umeshamiri sana kwenye vijiji vya nchi hii,kuna maeneo ili ulime uvune labda uwe mtu wa dua/maombi sana au uende kwa waganga.

Kweli mkuu, vijijini kuna mambo kwakweli
 
@ limited Edition....nimetafta sanaa wanapo kopesha hizo pikipik za miguu mi3 cjapata nisaidie plz ni kampuni gani....0767 240 659.
 
Hili bonge la wazo mkuu..mm nilianza na mtaji wa 2.mil baada ya kuacha kaz sehemu moja hiv..sasa nina mtaji wa 12mil
tafuta area nzur chukua maind sindika ..pulizia dawa vizur mjini hapa after mavuno kuisha utapiga bao kinooma...coz shamba itakuwa maindi bei juu ww unauza bei wastani tu...unauza maindi mpaka uanahisi kufa wakati fulain...wakati mwingine kuajiriwa ni kufifisha akili kufikiri tu...over

Mkuu Kikuna pole na majukumu! Hahaha....umenikosha mkuu ulivyosema wakati mwingine kuajiriwa no lufifisha akili tu dah... Nikicheki maisha yalivyomagumu kwangu...na nikisoma comment kama hii...natamani nichukue ada ya mzee wangu nikaanzishe maisha maana...zinapita siku tatu MTU upo tu, hujui utaishije, utakula wapi dah, halafu unamaliza chuo hupati Nazi. Dah nabaki kwenye dilemma mkuu wangu, maana maisha haya siyaelewi duh.
 
Hii kiboko!!

Bila shaka Mkuu huko Bongo, ni uzoefu wa siasa halisi za bongo. Ni projects za walio wengi na hasa tunapoelekea 2010 na zinalipa!.

Hahahahahaah,.. viongoz wataopatikana hapa ni shidaaaaa
 
Kwa mfano ninunue boda boda 8 kwa bei ya jumla.. nifungue account say BOA bank. Kila nikipewa cash nadeposit huko.. Then cash inflow niwe nanunua boda boda moja kila mwezi. After six months si naweza kukopa na kununua boda boda nyiingi zaidi au!???
Dahh kaz kweli kweli!!!
Nahitaji kutulia

Ukinunua zote kumbuka yafuatayo:-
Kulipa kodi
Kesi za trafic
kuibiwa na utakayemkabidhi
ajali
tunza pesa ya tahadhali
tofauti hivyo utanunua aghali utauza rahisi moja baada ya nyingine ili kusolve matatizo
 
Hii thread napenda kuireview kila wakat,.. naheshim mawazo ya maana hum ndan,..
 
Futa kabisa wazo hilo.
Kwanza kwa pesa hiyo huwezi kununua bodaboda nane.
Halafu usiwekeze kwenye Biashara moja.
Ushauri wa bure:
10m,unaiona ni pesa kubwa,lakini kiukweli ni pesa ndogo sana.Ila inaweza kuzalisha pesa kubwa kama ukituliza kichwa chako.
Na hali ilivyo ni kwamba bado unapapara,nakushauri iweke Bank kama miezi mitatu kisha ndio uifanyie mradi wako unaotaka kufanya.La sivyo utajuta.

Kwanza nakushauri toa kama 700,000 umtolee sadaka Marehem ili upate Baraka zake,maana bila yeye usingezipata.
na tabia ya pesa za Urithi,yaani kama ulitoa hata elfu moja katika hizo ukaenda kunywea bia basi hata ufanye nini umaskini ni wa kwako hadi unaingingia kaburini.Maana wafu wanaona matendo yetu
umenitisha mkuu maana na mm nilikua naelekea kwenye mradi huo.

 
Mil 10 ninyingi na unaweza Fanya bihashara ikakuzalishia Mara nne ya pesa hyo! Bihashara zipo nyingi tu lakini cha muhimu tuliza akili yako Kwa muda wa miez 3-6..angalia bihashara mbalimbali za watu wengine rafiki zako ndugu zako na wengine ambao wanabihashara kubwa na ndogo.. zungumza nao Kwa marefu na mapana kisha anza kuchambua moja baada ya lingine mwisho utakuwa na bihashara bora na nzur ya kufanya! Kumbuka uwezo wako wakutafakari Kwa kina na kuhakikisha unatumia vizur akili yako kitakisaidia sana!!.....
 
if i have to start over today, i will start network marketing~bills william gates. hiyo pia ni biznes do it
 
Hongera,sana ndg yangu kwa kupata mshiko wa urithi ushaur wangu kuwa mvumilivu mpk uchaguzi upite ntakuunganisha na Wema sepetu atakushaur nini cha kufanya na hiyo Mil10
 
fanya kununua kibajaji na inayo bakia peleka kwenye eneo ununue! ukifanya biashara ambayo hukuwai kufanya wala kufikilia iyo 10m utakuja kuisikia redioni na itabakia ni historia tuu!
 
oc mb,sana ndg yangu kwa kupata mshiko wa urithi ushaur wangu kuwa mvumilivu mpk c uchaguzi upite ntakuunga.zxrj n nisha na Wema sepetu atakushaur nini cha ko ufanya na hiyo Mil10

Eəxdxx ccc mztx Nov
 
Hahahaha inategemea na mazingira na wew mwenyewe pia aliekuachia alizipataje Kama ni kiuhalali au lah
 
Back
Top Bottom