Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?


naomba kujua...mwajiriwa wa serikali au laa?...kama ni muajiriwa wa serikali na hasa hii ya magufuli...na kwa katiba ya warioba....hairuhusiwi muajiriwa wa serikali kufanya kazi nyingine inayoingiza kipata nje ya ajira yake....

kama sio mwajiriwa wa serikali sema nikupe ushauri.
 

Habari Malila
Asante kwa maelezo kuhusu wahehe - I take it as a genuine compliment!
Ingawa hii post ni ya miaka mingi iliyopita niko interested kujua project yenu inaendeleaje.Bado mnaiendesha? Mimi nina ndugu na jamaa wengi huko IRA.
 

Malali,mimi nina hiyo milioni 1 tayari.Any suggestion ni vipi naweza ku-invest?
 
Habari Malila
Asante kwa maelezo kuhusu wahehe - I take it as a genuine compliment!
Ingawa hii post ni ya miaka mingi iliyopita niko interested kujua project yenu inaendeleaje.Bado mnaiendesha? Mimi nina ndugu na jamaa wengi huko IRA.

Project inaendelea vizuri sana, tulianza 2006, tukiwa na eka 1.5 pale Mgagao tukiwa wawili, na leo tuko zaidi ya 350 tukimiliki eka 27 elfu katika mikoa mitatu.
 
Biashara ni biashara utakayo ifikiria anza na mtaji Mdogo, alafu kadri unapata uzoefu unaongeza mtaji. Na kama unaona biashara ulioanza haeleweki basi badili mapema. Na usiogope kupata hasara wakati wa majaribio.
 

JF pekee ni bussiness consultants tosha. Hizi ideas ambazo kila mmoja amedrop kwenye hii thread ni zaid ya thinking capacity ya kampuni ya consultant.
 
Anzisha biashara ya kufuga nguruwe. Kiti moto wanalopa
 

Hoho zinalipa zaidi,lakini hata pilipili mbuzi zinalipa sana

Ni PM no yako tuongelee jinsi ya kutafuta masoko nje ya nchi
 
Sasa huyu Jamaa aliyeomba ushauri ameibuka na wazo kweli? Kumbe Si mchezo kubuni biashara
 
Soma post za toka mwanzo hakika utapata mawazo mazuri tuu..kama ukikosa Muombe Mungu then katoe sadaka
 
Kwa mujibu wa sheria ipi mkuu, tuache mzaha na mambo serious.! Hakuna sheria inayomkataza mtumishi wa umma kufanya biashara.!
 
Ielekeze katika Biashara ya mtandao wa masoko (Multi Level Marketing). Ni pm kwa Maelezo zaidi.
 
Na Mimi naomba mnishauri Nina mtaji wa M10 ila sasa sijajaliwa uwezo wa ubunifu wa biashara. Nawategemea wadau
Mkuu karibu tushirikiane kwenye kilimo morogoro, mm nalima ila sina mtaji wa kutosha njoo uwekeze huku kunalipa sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…