bepari la kichaga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 528
- 516
Mkuu nimekuPMNinayo tayari
Sikufanya biashara nilifanya kazi kwa mkataba wa mwaka mmoja ili nipate mtaji kazi imekiwisha sasa nataka kufanya biasharafanya biashara hiyo hiyo iliyokufanya upate milioni 10
Siyo mtu mzuri huyu.Mkuu nimekuPM
Wahi PM ukapate walau laki tanoMkuu nimekuPM
Fuga kuku wa mayai, nibiashara ambayo watanzania wengi bado hawaja ichangamkia, uhitaji wa mayai ni mkubwa sanaHabari ndugu zangu. Mimi ni kijana mwenye miaka 26 sasa nimepambana kutafuta mtaji wa kuanzisha biashara nzuri itakayo nifanya niendelee zaidi kiuchumi na kijamii
Naombeni mawazo yenu ni biashara gani nzuri naweza kuifanya na huu mtaji wa milion 10
Kusema kweli kwa upande wangu ninapenda sana kufanya biashara ya kilimo au kufungua kiwanda kidogo cha kusaga na kukoboa mahindi
Ila nadhani humu ndano kuna watu wenye uelewa mkubwa zaidi yangu na wanaweza kunipa mbinu mbalimbali na maarifa ya kukuza haka kamtajo kangu
Nawakaribisha kwa mawazo yenu.
Asante sana kwa ushauriKuanzisha biashara inategemea na fursa zilizopo eneo unalotaka kuanzisha biashara yako. Usiwe na papara zunguka eneo husika fanya uchunguzi wa kutosha then ukuje na proposal na sisi tutakushauri kati ya hizo chaguzi zako. Tunaweza tukakushauri ufungue duka la mchele kumbe sio kipaumbele cha eneo lako.
yesSiyo mtu mzuri huyu.
Ata wa Nyama wako poa sanaFuga kuku wa mayai, nibiashara ambayo watanzania wengi bado hawaja ichangamkia, uhitaji wa mayai ni mkubwa sana
Yes ufugaji wa kuku wa mayai na kuku wa nyama Is the best project kama ukiwa serious unatoboaAta wa Nyama wako poa sana
Kabisa mkuu, kuna Jamaa yangu anapiga hizo mishe ila yy ame simamia kwenye upande wa kuku wa Nyama aisee Jamaa anapiga hela vizuri tu. Kikubwa hizi Ishu uwe serious na utenge mda kabisa.Yes ufugaji wa kuku wa mayai na kuku wa nyama Is the best project kama ukiwa serious unatoboa
[emoji3][emoji3][emoji3]Nenda forex kwa Ontario kule anakusubir