Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Kuanzisha biashara inategemea na fursa zilizopo eneo unalotaka kuanzisha biashara yako. Usiwe na papara zunguka eneo husika fanya uchunguzi wa kutosha then ukuje na proposal na sisi tutakushauri kati ya hizo chaguzi zako. Tunaweza tukakushauri ufungue duka la mchele kumbe sio kipaumbele cha eneo lako.
 
Fuga kuku wa mayai, nibiashara ambayo watanzania wengi bado hawaja ichangamkia, uhitaji wa mayai ni mkubwa sana
 
Asante sana kwa ushauri
 
Ingia kwenye kilimo ama Ufugaji, saiz Biashara ziko chache sana zinazo lipa. Nyingi saiz usumbufu tu TRA kila kona yaani hakuna kupumua unajikuta faida kiduchu sana aisee.

Njoo Pm In Advance
 
Yes ufugaji wa kuku wa mayai na kuku wa nyama Is the best project kama ukiwa serious unatoboa
Kabisa mkuu, kuna Jamaa yangu anapiga hizo mishe ila yy ame simamia kwenye upande wa kuku wa Nyama aisee Jamaa anapiga hela vizuri tu. Kikubwa hizi Ishu uwe serious na utenge mda kabisa.

Kuku wa Mayai nao ni wazuri ila upate Vifaranga kutoka kampuni nzuri, sema yenyewe mkuu unasubilia miezi 6 ndio unaanza kula hela yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…