Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Chakula... ni lazima watu wale ukipata eneo zuri.


Maabara (uweke na duka la dawa).... kila siku watu wanaumwa.

Stationary, kama ukipata maeneo yenye chuo na maofisi.


Ila siri mojawapo ya biashara, usiingize hela yote kwa mara moja.
 
Hyo maabara unesomea n biashara nzur lkn usiifanye bila kufaNya research ya requirements zAke
 
Kaka 2 Na 3,itakutoa Kimaisha,maabara Mpaka Uwe Na Pharmacy hapa unaweza weka mpesa pharmacy inalipa sana tatizo vibali, Pia kwa maabara lazima Uwe Na Dr Ambae ataweza kuvuta wateja kwa umahiri wake,au mwenye jina hii takusaidi
 
As-salamu alaykum! Wazo namba 1 mpaka namba 5 yote ni mawazo mazuri, lakini kwa maono yangu wazo namba 4 ni ngumu kidogo kama siyo sana kulitekeleza kwa kiasi hicho ulichokitaja [ cha milioni 8 ] Labda chagua kuwekeza pesa yako kwenye mgahawa wa chakula, miamala ya kifedha, au duka la vyakula kwangu haya ni machaguo mazuri na ingelikuwa ni mimi kwa kiasia hicho cha shilingi milioni 8 ningelifungua mgahawa mkubwa wa chakula, kama member mwingine hapo juu alivyosema kwa maandishi mtu au watu lazima wale -- mtu anaweza asinunue nguo mwaka mzima, lakini kwenye kipande cha kula ni lazima ale tu. Mkuu, ikiwa mama n'tilie anapika ubwabwa kg 5 na kila kg 1 inatoa vibakuli zaidi ya 10; hapa unaweza kuona ni jinsi gani biashara hii inalipa, lakini changamoto zake pia ni kubwa . . . kila la heri mkuu!
 
True brother
 
Nashkuru sana kiongoz. Umenipa nguvu zaid ya uthubutu
 
Fanya pesa pesa hizi..! Mtaji unabaki palepale unless otherwise uibiwe..!
 
Kuna game ya liverpool na real madrid UCL jumamosi, bet hela yote 8M, liverpool itashinda bao 2-0 alafu uje unipe 10% ya faida
 
[emoji115]
HIYO HELA IGAWE MAFUNGU MANNE MKUU.

1. CHUKUA MILIONI 3 FUNGUA STATIONERY.

2. CHUKUA MILIONI 3 INGINE FUNGUA DUKA LA DAWA MUHIMU,
HUKU UKIWA NA MALENGO YA KULIENDELEZA ILI MTAJI UKIKUA UFUNGUE MAABARA HAPOHAPO.

3. CHUKUA MILIONI 1 WEKA KWENYE BIASHARA YA MIAMALA YA PEASA,
AMBAYO UTAIFANYIA HAPO KWENYE OFISI YA STATIONERY.

4. MILIONI 1 IWEKE KAMA AKIBA YA DHARURA ZOZOTE ZA KIBIASHARA.

NB:
KUKIWA NA USIMAMIZI MZURI NA LOCATION NZURI KIBIASHARA
NI LAZIMA UTATUSUA.
 
Mawazo safi nimeyapenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…