ndio inakuaje ndugustock investment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio inakuaje ndugustock investment
Ila utizame vitu 3 ambavyo ni soko ; aina (wa mayai au nyama); ukoo ( kigeni au chotara au wale wa kienyeji). Utakapotizama soko litakupa hayo mawili pomoja vitu vingine kama bei; upana wa soko nkUfugaji wa kuku chaguo langu
1.2M, Lengo langu kujiajiri, nimechoka kuajiriwaunalipwaje huko job hadi unafikiria kuacha kazi?
Hii nd'o take home au ni basic?1.2M, Lengo langu kujiajiri, nimechoka kuajiriwa
Mkuu madereva wa bajaji wanapasua vichwa.
Dah mkuu ukiachia iyo kazi nope mimi coneksheni.1.2M, Lengo langu kujiajiri, nimechoka kuajiriwa
ume mshauri vizuri aje na mtaji mkubwa na pia biashara awe ameisha ianza tayari lasi hivyo ataikumbuka hiyo 1.2 kila kukichaHii nd'o take home au ni basic?
Kama ni take home,
Vumilia mpaka uwe na balance ya 20 M nd'o uje kujiunga na sisi wavuja jasho huku mtaani.
U-uzaji wa CONDOM.Wajameni eeh,
Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania.
Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e biashara gani inalipa (plus location), kwa muda gani, na SWOT analysis zake).
=======
NiceHabari wana JF,
Naomba tuchangie wazo la biashara yoyote ya ndani au nje ya nchi ambayo ni win-win ndani ya miezi mitatu, ukiwa na bajeti ya dola 5000 au 10000 elfu (milioni 10 mpaka 20).
Twende kazi.
Napenda sana kuwa mfanya biashara pia investorSwali, je moyo wako siku zote unatamani kufanya nini?? Je ni zipi changamoto zake!? Anzia hapo kwanza! Ukitaka NTU akushauri cha kufanya itakua ngumu
Biashara gani? Investment gani? Yaani ukijibu hapo itakusaidia sanaNapenda sana kuwa mfanya biashara pia investor