mbewe
Senior Member
- Dec 15, 2015
- 175
- 141
hapana mkuu siwez kumuingiza cha kike, mm nna project nmeiandaa na nmefanya project kadhaa so nna uzoefu mkuu, kwa huo mtaji wake jamaa lazma atusue tatzo weng wanakosa taarifa sahihi ndo maana wanakosea biashara, am outWejamaaa wewe!....usije mpeleka mkuu chaka akaturudishia mrejesho wa kilio