Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka kagombee ubunge, nakuhakikishia zinatosha sana kuukwaa. Kwa mwezi utakuwa unazalisha si chini ya milioni 7 x mwaka mmoja (miezi 12)= 74 milioni. hHiyo pia izidishe miaka 5 (miezi 60)= 7 x 60 = 420 milioni.
situation anaysis ya mradi: Kama utajitosha kupitia CCM hali itakuwa kama ifuatavyo: wekeza kiasi cha milioni tano za kuwahonga wajumbe wa NEC ofcoz wapo kama 216 hivi (wadau mtanisahihisha), jitahidi kila mjumbe alau apate elfu hamsini. Hapa kuna uwezekano mkubwa wa kupita kama ni kijana mpya japo inategemea na jimbo unalotaka kugombea. Kwa ushauri wangu achana na majimbo yenye majina maana inaweza kukufika ya Bwana Mnyika pale ubungo. Kama wewe ni mchaga basi kazi ni ndogo nenda katufute jimbo lolote pale arusha, manyara na hata moshi (achana na majimbo ya ndesamburo na dr slaa hawa wameshapita
muda mrefu tu).
Jitahidi kuwahonga wenyeviti na makatibu wa ngazi ya wilaya hasa wale wa CCM na jumuiya ya vijana kama utapanga kugombea kupitia chama hicho. Pia huna haja ya kuzungumka mikoa mingi wewe deal na wale wa ngazi yako ya mkoa. Tena ushauri wangu nenda mikoa ya kusini kama huna hakika sana maana kule wabunge wengi wanahali mbaya si unajua jinsi walivyoshindwa kuwaunganisha vijana kule matokeo yake wote wanauza viatu na maji huku dar.
Kama utahiji kujua mikakati ya uchaguzi usipate shida, napatikana kwa gharama za kiasi cha milioni moja tu namaliza kazi ya kukuwekea sawa wajumbe wa halmashauri kuu. Wale wa wa jimbo wasikuumize kicha dawa ni kuwafuata kata kwa kata afu tunawaweka kwapani wajumbe wa kamati ya siasa mchezo kwisha. Tuwasiliane kwa private chat hapa hapa JF. Jambo muhimu la kuzingatia: Mfanyabiasha mzuri bni yule anayechukua HATARI katika kuwekeza. Kila la kheri.
Kanunue hisa za crdb ambazo zinauzwa at shs 150 per share. 10 m itakupatia shares 66,666. Hii maana yake nini. Kama ungepeleka DECI labda ungevuna 20m baada ya miezi 4? Sijui formula yao. Lakini ukinunua shares hizi crdb zikipelekwa kwenye soko la hisa unaweza ukaziuza zote halafu ukavuna zaidi ya asimia 100. Na hii ni baada sana sana ya miezi miwili. Kwa hiyo ukipata 20m zako iko mbaya gani/ U can decide kuziweka kwenye Fixed deposit ya hao crdb halafu ukaitumia hiyo kuombea mkopo. But this depends very much if u have a steady monthly income. Huo ni ushauri wangu wa bure
Kama baadhi ya waliotangulia hapa napenda kusema asante Malila na Mbu kwa thread hii. Binafsi niko kwenye fani hii hii ya mashamba na mpaka sasa ninaendeleza juhudi zaidi ili kufikia malengo.
Safi sana mkuu,
Kama tukiweza kupeana taarifa za mashamba mazuri tunapoyaona itakuwa vizuri sana. Saa nyingine unakuta shamba limekaa vizuri,lakini fedha huna, wa kumwambia huna,kesho mgeni anamegewa kipande kile. Lakini nikijua Momo anapenda basi inakuwa rahisi kukujulisha.
je unataka investment ya muda mfupi au mrefu, specify,pili biashara hiyo utasimamia mwenyewe au unataka uweke mtu wa kuisimamia? Je unataka biashara hiyo ndo uitegemee kwa maisha ya kila siku? Uko tayari kwenda kinyume cha imani yako(kama una imani/dini) ?
[/COLOR]MKuu Malila, Heshima kwa kumtaka afafanue kilicho mawazoni mwake!! Lakini hiyo ya kumtaka mtu awe tayari kwenda kinyume na dini yake!! I wouldnt call that professional Consultancy! Tuweke mipaka katika mambo! hasa tukizingatia mila na desturi za kikwetu sisi watanzania. kuna biashara zingine kwa mfano danguro! zidhani mtanzania halisi mwenye dini na maadili ya kitanzania atafungua kitu kama hiki. na akifanya hivyo sina uhakika kama jamii , ndugu na marafiki watamkubali kwa wepesi wa hivyo.
cheers dude!