ardhikwanzaltd
New Member
- Jun 29, 2017
- 2
- 3
nunua na uuze bia za jumla ukinunua creti 22000,. utauza 24500 na ni biashara isiyochacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can u explain? AIM ndio nn?Fungua akaunti saba kwenye AIM kwa mwaka utajikuta una million zaidi ya 500 without pain and failures
Mkuu nipo kwenye situation kama ya jamaa, unaweza kuchambua kidogo hii imekaaje? Au labda hata pm?Ushauri wangu, Fanya biashara ya kununua na kuuza viazi. Njoo Njombe unanunua viaz kwa wakulima na kupeleka mtwara. Aiseeee.... Yaaani..
Huwa nashindwa kuelewa mtu ameweza kutengeneza hela lets say 1m,5m o 10 m..alafu anakuja anauliza afanyie nini??..ts rly intriguin o im jst being skeptical..lets b serious kidogo hela umepata kwa kazi unayofanya..n kama imeweza kukupa iyo hela that means yo good in wat yo doing na pia kazi/biashara iyo inalipa..xx kwann usi reinvest apo ili uongeze return ako..unless mayb umeokota,umerithi,umeiba au umeshinda kwny gamblin+forex..izi ndio exeption za kuomba ushauri..REMEMBER: making money z a DOUBLES-GAME..,make money,use dat money to make mo money n lastly repeat the procesNiliweka kidogo kidogo km mil 3 na mil 2 niliuza pkpk yangu moja baada ya kuona inaanza kusumbua
Yes I can explain it in short ni kampuni toka Ufilipino ambayo Imefika Tanzania toka mwezi wa kumi na mbili lakini kwa hiyo miezi miezi michache imeisha watengeneza mamilionaire wengi kama uko dar njooni Makumbusho stand usikilize semina na ujionee shuhuda pia kama uko mikoani tunaweza nikakudirect unapewa semina na ukaelewa in detail in short kampuni AIM(Alliance Global in motion ) inajihusisha na business marketing nicheki WhatsApp kwa 0757409103 for more detailCan u explain? AIM ndio nn?
Yaleyale ya online marketing, kalaghabaho!Yes I can explain it in short ni kampuni toka Ufilipino ambayo Imefika Tanzania toka mwezi wa kumi na mbili lakini kwa hiyo miezi miezi michache imeisha watengeneza mamilionaire wengi kama uko dar njooni Makumbusho stand usikilize semina na ujionee shuhuda pia kama uko mikoani tunaweza nikakudirect unapewa semina na ukaelewa in detail in short kampuni AIM(Alliance Global in motion ) inajihusisha na business marketing nicheki WhatsApp kwa 0757409103 for more detail
unataka ukamwibie huyu jamaa!
!
Chakula..... Biashara ya chakula kibichi. Mfano unaweza ukaenda kyela na hiyo hela ukanunua mpunga ambao kwa sasa ni kama 10,000 kwa debe moja. Ukinunua kama wa 4,000,000 hivi baada ya miezi Miwili mzee utakuwa na zaidi ya 5,000,000 guarantee. Ukifika Kyela niambie nitakuunganisha na pa kulala bureeee na nitakupa connections pia za michango hiyo. Au njoo pm tuyajenge.
Mkuu nataka kujenga godauni kwa ajili ya kuifadhi mazao je vipi inaweza kuwa biashara nzuri najengea kyela maenep ya nkuyu kuna kiwanja nimenunua maeneo hayo kina ukubwa wa 18 mita upana na 130m urefu kyela ni home mkuu
M 5,000,000 ni faida ama million 5-4?
Uko songea upande upi nikucheki tuongee mishee coz mwenyewe nipo songeaa apaaNiliweka kidogo kidogo km mil 3 na mil 2 niliuza pkpk yangu moja baada ya kuona inaanza kusumbua
okSawa..sasa mkuu ww kwanza unapenda au unafikiria nn ktk kichwa chako saiv kuhusu biashara naamin unawazo yko kwanza kichwan afu ndo umekuja kutuuliza sisi ili tukushaur mi siamin km una hela zote izo afu huna plan mkuun.wakat unaeka ela zako izo naamin ulieka kwa lengo kuja kufanya ktu....afu suala la kuomba watu.wakuwambie ufanye biashara gan bila kujua interest yko ktk biashara ni ipi..ni tabu mkuu..sababu kuna mtu atakambia uingie ktk kilimo,mwingne labda ufungue duka la spare parts..au mwingne ufumgue biashara ya maduka ya jumla mfno ya nguo,bidhaa mbal mbal..sawa utaambiwa yote haya lkn hatujui ww mwenyew ni aina.ip ya.biashara.unaipenda...
Mi cha kukushaur tu hpo tu ulipo tumia mazingira yko yaan yasome kipi kimekosekana na kinahitajika haraka kt biashara hayo maeneo afu ufanye kitu.pia usiingize hela yote iyo ktk unapoonza iyo biashara tumia kiasi kidogo kingne kiwe kiangalizo maana ktk biashara kuna kuwin na kufail..so km utafail ela nyingne ipo ya kuanzia izo ela ni nying ktk kuanza biashara zetu ndogo ndogo pia ni ndogo ktk biashara zetu kubwa kubwa so kuwa makin ktk uchaguaji wa biashara mtaji usiwe mkubwa kuliko kiasi ulichonacho....pia kingne biashara inayoaanza na mtaji mdogo ni nzur zaid maana utaiyona faida yko inayoingia pia ni rahic kuizungusha pia...
Pia usisahau kanuni ya biashara ..
Ukitaka ufanikiwa ktk biashara.yyte lazm uwe na sera ya ubanaj wa matumizi yaan uwe mbahili,
Pil iyo biashara utakayoianzisha lazm uipe mda mwing wa kuingalia yan..iwe chin.ya uwaangalizi mkubwa sana..mfno unaduka la spare parts umefungua unaanza kumueka mtu wa kumlipa wakat ww upo na.hauna.shuhur yyte ya kukueka mbal na biashars.yako...
Kila lakher mkuu ktk biashars zako
AIM ??Fungua akaunti saba kwenye AIM kwa mwaka utajikuta una million zaidi ya 500 without pain and failures
Mwanza unatoa sehemu gani mkuu, na unauzia wapi? Mtaji wake ni kiasi gani?Dagaa wachafu. Unachukua Mwanza unaleta Dsm. Kwa mwezi unaleta mara mbili na kila trip unapata faida zaid ya ml 1.
Ndugu niliweka kidogo kidogo toka kwenye mshahara na ingine niliuza pkpkHuwa nashindwa kuelewa mtu ameweza kutengeneza hela lets say 1m,5m o 10 m..alafu anakuja anauliza afanyie nini??..ts rly intriguin o im jst being skeptical..lets b serious kidogo hela umepata kwa kazi unayofanya..n kama imeweza kukupa iyo hela that means yo good in wat yo doing na pia kazi/biashara iyo inalipa..xx kwann usi reinvest apo ili uongeze return ako..unless mayb umeokota,umerithi,umeiba au umeshinda kwny gamblin+forex..izi ndio exeption za kuomba ushauri..REMEMBER: making money z a DOUBLES-GAME..,make money,use dat money to make mo money n lastly repeat the proces