Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Huwa nashindwa kuelewa mtu ameweza kutengeneza hela lets say 1m,5m o 10 m..alafu anakuja anauliza afanyie nini??..ts rly intriguin o im jst being skeptical..lets b serious kidogo hela umepata kwa kazi unayofanya..n kama imeweza kukupa iyo hela that means yo good in wat yo doing na pia kazi/biashara iyo inalipa..xx kwann usi reinvest apo ili uongeze return ako..unless mayb umeokota,umerithi,umeiba au umeshinda kwny gamblin+forex..izi ndio exeption za kuomba ushauri..REMEMBER: making money z a DOUBLES-GAME..,make money,use dat money to make mo money n lastly repeat the proces
Wala usishangae kuwa na hela ambayo si from source permanent.mfano graduates kadunduliza vibum vyake na hela za kuomba omba kwa ndugu na jamaa.utashangaa kapataje hiyo hela??
 
umeuza shamba au ng'ombe? anyway usirisk pesa yote chukua m3 uzifanyie biashara ya vyakula vibichi kama mahindi , maharage na mpunga uhifadhi uuze baadae izo m2 tafuta busy business nyingone
 
Sawa..sasa mkuu ww kwanza unapenda au unafikiria nn ktk kichwa chako saiv kuhusu biashara naamin unawazo yko kwanza kichwan afu ndo umekuja kutuuliza sisi ili tukushaur mi siamin km una hela zote izo afu huna plan mkuun.wakat unaeka ela zako izo naamin ulieka kwa lengo kuja kufanya ktu....afu suala la kuomba watu.wakuwambie ufanye biashara gan bila kujua interest yko ktk biashara ni ipi..ni tabu mkuu..sababu kuna mtu atakambia uingie ktk kilimo,mwingne labda ufungue duka la spare parts..au mwingne ufumgue biashara ya maduka ya jumla mfno ya nguo,bidhaa mbal mbal..sawa utaambiwa yote haya lkn hatujui ww mwenyew ni aina.ip ya.biashara.unaipenda...

Mi cha kukushaur tu hpo tu ulipo tumia mazingira yko yaan yasome kipi kimekosekana na kinahitajika haraka kt biashara hayo maeneo afu ufanye kitu.pia usiingize hela yote iyo ktk unapoonza iyo biashara tumia kiasi kidogo kingne kiwe kiangalizo maana ktk biashara kuna kuwin na kufail..so km utafail ela nyingne ipo ya kuanzia izo ela ni nying ktk kuanza biashara zetu ndogo ndogo pia ni ndogo ktk biashara zetu kubwa kubwa so kuwa makin ktk uchaguaji wa biashara mtaji usiwe mkubwa kuliko kiasi ulichonacho....pia kingne biashara inayoaanza na mtaji mdogo ni nzur zaid maana utaiyona faida yko inayoingia pia ni rahic kuizungusha pia...

Pia usisahau kanuni ya biashara ..
Ukitaka ufanikiwa ktk biashara.yyte lazm uwe na sera ya ubanaj wa matumizi yaan uwe mbahili,
Pil iyo biashara utakayoianzisha lazm uipe mda mwing wa kuingalia yan..iwe chin.ya uwaangalizi mkubwa sana..mfno unaduka la spare parts umefungua unaanza kumueka mtu wa kumlipa wakat ww upo na.hauna.shuhur yyte ya kukueka mbal na biashars.yako...
Kila lakher mkuu ktk biashars zako
Kichwani nna wazo LA kufuga kuku wa mayai na kununua incubator niwe natotolesha mayai mwenyewe.hofu nlonayo je soko LA mayai linaweza kua LA uhakika kwa huku kwetu? Sasa nkaona niombe ushauri kwa watu tofauti juu biashara tofauti tofauti mana forum najua Ina watu wenye mawazo tofauti tofauti.


Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
Biashara ya mitungi na majiko ya gesi inakufaa..
Sababu:
1. Mitungi haiozi, ukishindwa unaweza kuiuza urudishe pesa kwa hasara ndogo
2. Ipo sustainable, watu lazima wale kila siku, mtu akishanunua mtungi Na jiko anabaki kua mteja kwa sababa lazima aje kujaza gesi inapoisha, then wateja huongezeka Na hawawezi kupungua.
3. Ni biashara yenye uhakika, matumizi ya gesi ya kupikia yanaongezeka day by day..matumizi ya mkaa yanapigwa marufuku kila siku, kwa sasa hakuna nishati yoyote ile inayoweza kuiondoa gesi kwa kupikia kwa garama, unafuu, usafi, usalama n.k
4. Haina risk ya kuibiwa, kuharibika, kuoza, wala kupoteza mtaji, mitungi inaonekana, inahesabika wala haiozi.


Mimi nipo mwanza ,na nina watu songea wanayoifanya biashara hiyo, wakiwepo mawakala wakubwa kwa wadogo, na naweza kukuonganisha nao bure kabisa, ujiridhishe na ukaweza kufanya bila tatizo lolote.
If interested...
Hii inaweza kunifaa mana shida nlonayo pia ni mtumishi wa serikali nakosa muda wa kutosha kwenye biashara

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
!
!
Chakula..... Biashara ya chakula kibichi. Mfano unaweza ukaenda kyela na hiyo hela ukanunua mpunga ambao kwa sasa ni kama 10,000 kwa debe moja. Ukinunua kama wa 4,000,000 hivi baada ya miezi Miwili mzee utakuwa na zaidi ya 5,000,000 guarantee. Ukifika Kyela niambie nitakuunganisha na pa kulala bureeee na nitakupa connections pia za michango hiyo. Au njoo pm tuyajenge.
Michele supa kyela bei gani kwa Sasa yaani grade 1?
 
Habari za muda huu, Naombeni ushauri nifanye biashara gani, Nina kiasi cha mil 5 nashindwa kuamua nifanye biashara gani, nahisi naweza katia mtaji mapema. Naombeni ushauri sio matusi na maneno ya kukatishana tamaa. Nipo SONGEA-RUVUMA
3aa31c052d3ed12ee8dd4de07f290ac1.jpg
Nunua viwanja, baad ya mwaka mmoja, uza kwa bei ya juu.

[emoji16] [emoji16] [emoji16] hakuna hasara hapo
 
Back
Top Bottom