Nipo bossMkuu nilitaka kukupm kwa bahati mbaya umefunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo bossMkuu nilitaka kukupm kwa bahati mbaya umefunga
Ili kuanzisha lab inahitajika shilingi ngapi makadirio?wekeza kwenye upande Wa afya, pharmacy au lab, hapa unaweka wasimamizi alafu kila mwezi unafanya hesabu. Upande wangu nina Nina uzoefu upande Wa lab.
Tupe uzoefu ndugu yangu katika biashara ya laboratorywekeza kwenye upande Wa afya, pharmacy au lab, hapa unaweka wasimamizi alafu kila mwezi unafanya hesabu. Upande wangu nina Nina uzoefu upande Wa lab.
Ukiacha niunganishe na hyo kazi mkuu1.2M, Lengo langu kujiajiri, nimechoka kuajiriwa
Unaweza kunipa ushuhuda nani alipitia humo akawa developerJiunge Qnet/aim global/forever living utakua bilionea fasta tu mkuu,mpk wakina Mafuruki utawazidi.
GOODMORNING BILLIONAIRE.
dodge
Kwenye mashine ya ISANJA NDUGU![]()
![]()
![]()
Kila kitu kinawezekana, Hizo picha ni huko kahama napochukua mchele na nlianza na mtaji mdogo tuu Kama wako lakini naona mambo yanaenda safi, cha msingi uwe kwenye location nzuri na mengine yatafuata ndugu yangu.
WEWE NENDA KAFUGE NGURUWE HAYO MAMBO YA SWOT ANALYSIS NDIO YANAFANYA WASOMI WENGI WASIWE WAFANYA BIASHARA WAZURI! MUULIZE BARHESA AU MENGI KAMA WALIPOANZA BIASHARA WALIKUWA NA UOGA WA KUTHUBUTU! BIASHARA NI KUANZA TU ACHANA NA HIYO MICHAKATOWajameni eeh,
Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania.
Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e biashara gani inalipa (plus location), kwa muda gani, na SWOT analysis zake).
=======
HAJA YA KINA BABA NI NZITOhii tofauti ya bei kwa akina mama/baba inatokana na nini????
Fanyia kazi hili wazo.3.niende kulima mpunga kukodi, kuandaa shamba heka 1 had kupanda nitenge laki 3 nisubir muda wa mavuno nivune guni 9 had 10 katika kila heka nikilima heka 10 kwa million 3-4 kama hali ikiwa vizur nipate angalau makadirio ya gunia 100 niweke stock, maana kuna kipind mpunga unafika had elf 90 gunia moja, hapo nikipata hata million 8 kwenye 4 nitakayoichimbia siyo mbaya
Nilitaka nimshauri hili moja kwa moja.Fanyia kazi hili wazo.
Risk yake ni ndogo ukilinganisha na hizo biashara zingine tajwa.