Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Toa 2.5m nunua boxer endesha mwenyewe kwa siku unapata 60-70k kwa mwezi unapata 1.8 or 2m ...hujaishi kifalme mpaka hapo?
 
Wajameni eeh,

Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania.

Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e biashara gani inalipa (plus location), kwa muda gani, na SWOT analysis zake).

=======

Nenda ukaziweke kwenye FIXED DEPOSIT ACCOUNT Bank ya NMB, utapata TShs 49,875/= kila mwezi kwa rate ya 9.5% per annum.
Angalia taarifa zao ziko hapa, pamoja na CALCULATOR yao, halafu jaza kiasi cha pesa unayotaka ili uweze kujua utapata kiasi gani

StackPath
 
Nenda ukaziweke kwenye FIXED DEPOSIT ACCOUNT Bank ya NMB, utapata TShs 49,875/= kila mwezi kwa rate ya 9.5% per annum.
Angalia taarifa zao ziko hapa, pamoja na CALCULATOR yao, halafu jaza kiasi cha pesa unayotaka ili uweze kujua utapata kiasi gani

StackPath
Hebu nifafanulie hili vizuri, website yao haifunguki
 
Nenda ukaziweke kwenye FIXED DEPOSIT ACCOUNT Bank ya NMB, utapata TShs 49,875/= kila mwezi kwa rate ya 9.5% per annum.
Angalia taarifa zao ziko hapa, pamoja na CALCULATOR yao, halafu jaza kiasi cha pesa unayotaka ili uweze kujua utapata kiasi gani

StackPath
Mmhh umewahi kuweka na kupewa faida kwa hiyo rate? Mimi huwa naona rates zao hazizidi 7% kwa mwaka.
 
Mkuu hebu naomba unieleweshe vizuri hapa
Naam ndugu; nijuavyo Mimi ni kwamba, rates za NMB bank zinaanzia 2% hadi 7% kwa kiasi kisichozidi 199,999,999/=. Inategemeana na muda wa kuweka pesa zako. Na kiasi cha chini kabisa ni 500,000/=.

Mfano ukiweka 10m kwa miezi mitatu inakuwa kama ifuatavyo; 3/12 *2.75/100*10,000,000 =68,750.
Hivyo ukiweka 10m kwa muda wa miezi mitatu katika akaunti ya muda maalumu (fixed deposit account), utapata 68,750 kama faida. Naam, kwa kiasi kikubwa rates zinaanzia kati ya 2% hadi 7% kwa mwaka.

Ukiwa na 200m and above wanakuambia uwaone *treasury department*. Niliwahi kuuliza rate ya 9.5% inatumikaje, waliniambia ni kwa anayeweka kuanzia 700m na kuendelea. Kwa taarifa zaidi, unaweza kuwatembelea ili upate kujua kwa kina.
 
Naam ndugu; nijuavyo Mimi ni kwamba, rates za NMB bank zinaanzia 2% hadi 7% kwa kiasi kisichozidi 199,999,999/=. Inategemeana na muda wa kuweka pesa zako. Na kiasi cha chini kabisa ni 500,000/=.

Mfano ukiweka 10m kwa miezi mitatu inakuwa kama ifuatavyo; 3/12 *2.75/100*10,000,000 =68,750.
Hivyo ukiweka 10m kwa muda wa miezi mitatu katika akaunti ya muda maalumu (fixed deposit account), utapata 68,750 kama faida. Naam, kwa kiasi kikubwa rates zinaanzia kati ya 2% hadi 7% kwa mwaka.

Ukiwa na 200m and above wanakuambia uwaone *treasury department*. Niliwahi kuuliza rate ya 9.5% inatumikaje, waliniambia ni kwa anayeweka kuanzia 700m na kuendelea. Kwa taarifa zaidi, unaweza kuwatembelea ili upate kujua kwa kina.
Asante sana mkuu

Duuh return yake ni ndogo mnoo, Bora niendelee kucheza upatu
 
Mmhh umewahi kuweka na kupewa faida kwa hiyo rate? Mimi huwa naona rates zao hazizidi 7% kwa mwaka.

Naona ni 9.5% mkuu
IMG_0938.png

Sema bado ni pesa ndogo ukilinganisha na kuingiza kwenye biashara
 
Back
Top Bottom