Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 845
Mkuu Mimi nilichati nao, niliambiwa hiyo rate ni kuanzia 700m and above. Na Nina chart ya rate from 500k to 199,999,999! Ambayo ni between 2%and 7% inclusive. Hiyo ya kwenye website yao nadhani kwa kiasi Fulani ni kwa ajili ya kuvutia watu wenye pesa nyingi...!Naona ni 9.5% mkuu
View attachment 1521185
Sema bado ni pesa ndogo ukilinganisha na kuingiza kwenye biashara