Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Ukijua Kati ya mimi au wewe nani anataka kufanya hyo biashara huwez niuliza nikwambie nn cha kupeleka na mkoa gani hapo kaz n yako wewe kufanya research.Weye vipi? Kuna vitu vingi na kila mkoa au wilaya una mahitaji yake. Wewe ndio wajua what is needed where? Siyo suala la kutafuniwa!
Niliandika huko juu jitoe uingie mikoani, soma uelewe sikusema ukale nyama na bia