Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga


mama yako
 
Black Americans wanapendwa sana na Waafrika. Tatizo lao wakija huku ni kujimwambafy. Hatusemi wajinyenyekeze, tunahitaji wawe normal tu na watafurahia sana maisha.
 
mi nadhani yeye alitakiwa ajivunie kuona watu wanazungumza kiswahili kwakua ndio lugha ya africa kwa sasa sasa anazunguzia lugha mbona waarabu awajui kingereza na wamepiga hatua kubwa sana hao ndio watalii wa mchongo wa LGBTQ
kwa waliofika Marekani, wanajua kuwa akili za African americans sio sawa na akili za Wazungu. akija mzungu hapo angeongea vitu vya maana. hao ma black americans siku zote huwa wanawaza ngono tu hata maendeleo hawana, na si ukute alinyimwa kitu na dada zetu hawa akachukia nchi nzima.
 
Aje baada ya miaka kumi ijayo ndo atashangaa
Sijui kama umeweka fumbo hapa kwa pande zote mbili?
"Atashangaa" kuona kiasi ambacho Emirate ya Dubai itakavyokuwa imetupeleka mbele na kuifanya Tanzania kuwa kama huko anakotoka huyo mtalii; au atashangaa kwa kuona tulivyoungana na nchi kama Haiti za dunia hii?

Hivi huyo kweli alikuwa ni 'mtalii', au alikuwa na mambo yake mengine?
Alizungumzia nini kuhusu vivutio vya utalii vilivyokuwa ndiyo madhumuni ya safari yake?
Huko pia kaangalia kakuta vivutio vyetu ni hafifu kulinganisha na vya hao wengine?
 
Nashukuru kwamba umenielewa barabara.
Kuhusu "mama yangu", hayupo hapa JF. Usiwe mwoga, njoo tu mimi ninatosha kukukabili mtu kama wewe mwenye akili ndogo sana kichwani.

Nimewatandika wajinga kama ww hapa JF na nje ya JF na kukuonyesha kuwa ww ni maandazi tu nitakutandika halafu ukiwa chini unalialia nitakushika mat@kro yote mawili huku nayabinyabinya
 
Huyo mtalii kaja na 3G yake akituchukulia poa hajui 5G ipo pia aache kejeli za reja reja ,wachina wanaongea English kwa taabu vp nao wapo nyuma kimaendeleo sababu ya lugha, je anajua idadi ya watumiaji internet Tz vs Kenya nani users wapo wengi.

Kigeographia Tz ni kubwa kuliko Kenya sio ajabu inawa Tz bado miundombinu haijakaa sawa mpaka Leo miaka 62 tangu tupate uhuru
 
Nimewatandika wajinga kama ww hapa JF na nje ya JF na kukuonyesha kuwa ww ni maandazi tu nitakutandika halafu ukiwa chini unalialia nitakushika mat@kro yote mawili huku nayabinyabinya
EEeeenHeeeee!

Unawaaibisha sana wahaya kwa akili za aina hii. Nawafahamu sana watu makini wanaotokea sehemu hizo siyo kama wewe. Bila shaka wewe ni pandikizi tu!
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
EEeeenHeeeee!

Unawaaibisha sana wahaya kwa akili za aina hii. Nawafahamu sana watu makini wanaotokea sehemu hizo siyo kama wewe. Bila shaka wewe ni pandikizi tu!

we kariri hvyohvyo.

umezoea wahaya waoga wanaotukanwa na kukaa kimya. siyo mimi dogo.

hovyooo
 
Hapo kwenye Road network namuunga mkono kwasababu huwa najiuliza Jiji kubwa la Dar es salaam ambalo ni kitovu cha biashara/ uchumi lakini lakini kuna sehemu kibao hazina lami na maji, mfano ni huku kwetu mbezi ya Mpiji, makabe na msumi.
ona na huyu nae mpiji ni dar sasa??
 
Inategemea na mtazamo wake kwake hivyo kulingana na eneo alipofikia kwa hapa tz unaweza kuta alitua kia akafika arusha from nairobi lazima ataona tupo nyuma miaka 30.

ila ukweli bado upo palepale hizi nchi za east Africa hazitofautiani sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…