KWELI Mtanzania Bara huruhusiwi kuendesha gari Zanzibar bila kuwa na kibali maalum

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina

Sio Mtanganyika. Bali rais yyt asiye mznz.
 

mbona na nyinyi wapemba munawaita wapemba?
 
lakini kama ndo ivo kwenye muugano kuna udhaifu kwel basi na mzanzibar akija tanzania bara asipate ardhi au apitie vikwazo kama kule
 
mbona na nyinyi wapemba munawaita wapemba?

Mbona waSukuma tunawaita waSukuma? mbona waHaya tunawaita waHaya?

Haya huko kutuita sisi wadanganyika kumetokea wapi mkuu?
 
Makubwa. Ivi why even bother? Zenj is 0.1% ya Tanganyika and less than 2% of its pop and we have access to the ocean from Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara; Yaani except ilo jina la Tanzania tunahitaji nn hasa from Zenj?🤐🤐🤐

ABSOLUTELY NOTHING, INFACT ZANZIBAR IS A TICK ON OUR NATION.
 
Halafu ukaona ni sawa tu ?!. Hivi mTanganyika anakoswa nini mpaka alazimike kujidhalilisha kwa zanzibar ?!.

Mambo mengine yanakera tena bila ganzi .
 
Usalama wa kusarenda rasilimali kwa kina wajomba !!.

Si ndo hapo! kwanza tujilinde dhidi ya Zanzibar ama nani? Maana kama ni usalama tu mpaka sasa usalama wetu uko in jeopardy tayari, angalia ata security procedures zilivyo pale ferry kwenye boat zao. Yaani ukiwa unaenda Zenji kitambulisho/passport mkononi kwenye checkpoint zote, ila ukiwa ukitoka kwao kuja huku yaani ukaguzi hauna uwiano hata kidogo. Mamluki kibao wanapita kuingia kwetu.
 
ila wapemba wanaendesha gari wapendavyo na popote. huu muungano sijui utavunjika lini aisee. Kakobe alisema its just a matter of time, muda ufike hawa wala urojo warudi tu kwao wakamezwe na maji huko.
 
Wewe nawe huna hoja mbona hao wazanzibari wapo hata kenya na wengine wamewapa uraia

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Anazuiliwa kwa kuwa bado dawa ipo jikoni, ikiipuliwa, ipoe na watu wanywe, hatazuiliwa tena kuendesha gari.
 

kwanza uvunjike tu tuone mtakula nini wavivu nyie
 

AY 5225

Tulia nikujibu, tatizo sijui ukubwa wa ufahamu wako wa mambo ya dunia. Lakini hatahivyo nitakujibu upate kucheka. Nitakwenda deep kidogo, ikiwa ni above your capacity utaniwiya radhi kwa hilo.

1 Kwanza Sultanate haikuwa Empire, Zenj Empire, ndio ilokuwa Empire. Sultanate ilikuwa Serikali ya zanzibar. Ingawaje ni ukweli kwamba waliojenga Zenj Empire wahakuwa waafrika. Walipofika wageni zanzibar, wa Iran na waarabu hapakuwa na mtanganyika zanzibar. siku hizo watanganyika wahakuwa na sababu ya kwenda zanzibar, walikuwa na maisha yao na wanyama wao, watanganyika wote waliofika zanzibar waliletwa kwa ajili ya kazi au kuolewa.

2 Zenj Empire ilikuwa ikiendeshwa kutoka zanzibar, iliitawala afrika mashariki yote na kulikuwa na magavana tu huko tanganyika na miji mbali mbali ya afrika mashariki. kwa mara ya kanzwa tanganyika ilipoanza kujiendesha yenyewe japo kibendera tu ni baada ya uhuru 1961. na ndio maana mumeshidwa kujiongoza kwasababu hamuna historia ya kujitawala, hamuna uzoefu wa kujitawala. mulikuwa mukitawalia miaka yote ambayo historia ilipoanza kuandikwa.

3 Ndio narejea tena zanzibar haifaidiki na chochote kutoka tanganyika, umeme kama ulivyoutaja ni mipango ya muda mfupi tu, katika mipango ya muda mrefu hakuna faida yoyote tunayoipata kutoka tanganyika. kumbuka nyie wenye tanganyika muko hahe hoe, taaban kwa shida na dhiki na usumbufu munaopeana wenyewe kwa wenyewe. Leo umeme unaweza kupatika kwa njia za upepo, Hydrogen, juwa, bahari na hata kutoka kenya. In fact, zanzibar ilikuwa nchi ya tatu kutumia umeme duniani.

4 Zanzibar kuwa colonialist na empire forever. labda nikuchukwe nyuma kidogo, zamani kulikuwa na Ottoman Empire, persian empire, zenj empire, japanese empire na empire za kichina. Ukitizima uhusiano baina hizi empire za zamani katika maisha ya leo utanona kwamba empire zote hizi zimebanwa na global political dominance ya watu weupe. hawa watu weupe wanazo taasi zao kama vile UN na matawi yake, makanisha na taasisi za kijasusi ili kuhakikisha empire hizi hazirejei na kukuwa tena.

Hawa hawa watu weupe ndio wanoiwekea vikwazo Iran, Turkey, China na hata japan waliifanyia hivyo hivyo zamani na hadi leo hii japan hawana ruhusa ya kuunda baadhi ya silaha. sabau kubwa ni kwamba nchi hizo zote zilikuwa empire na wakati huu empire wanailzimisha iwe ya watu weupe tu kupitia wamerikani.

Kuhusu zenj empire, wanaizuia kupitia muungano. ukitizama kijuu juu utadhani dodoma inalazimisha muungano, si kweli, watanganyika hawana uwezo hata wa kusafisha ucha mitaani, wanaohakikisha muungano unaendelea ni hao hao wanaoiweke vikwazo Iran, Turkey na china, huku wanatumilia ofosi yao iliyoko nairobi. Leo waondoshe mikono yao, haifiki miaka 50 zenj empire will be back. na nyie watanganyika mutarudi tena katika himaya yetu.
 

Ulipoanza mwanzoni kwa kudhihirisha mashaka yako juu ya ufahamu wangu, sikutumia hata sekunde mbili kujua kwamba wewe ni mropokaji uliebarikiwa uwezo wa kujua namna ya kuishi tu ili siku ziende. Nilipoendelea kusoma zaidi nikajua, hell yeah! my prejudice was right.

Fallacy yako kitaalamu tunaiita AD HOMINEM, kwakua badala ya kujenga hoja ya utetezi wewe ukaanza na kuonyesha wasiwasi wako juu ya ufahamu wangu. Ila usijali ndugu yangu, umekutana na mimi jobless mwenye muda mwingi zaidi ya majukumu, hivyo nitakuelewesha na utaelewa.

1. Kabla ya yote, nakuomba kama itakupendeza unifahamishe zaidi japo kwa ufupi kuhusu Zenj empire maana ni ukweli usiopingika kwamba hakuna ninachojua kuhusu Zenj Empire. Kwa ufahamu wangu wa historia ya Africa, Zanzibar ikiwa ndani yake, hakuna empire iliyowahi kuitwa Zenj empire. Ni mwaka gani hii empire ilikuwepo?

-Kwa kuongezea tu kwenye hili la kwanza, jina Zanzibar limetokana na maneno "Zang" na "bar" ambayo yanatokana na Persian yakimaanisha LAND OF THE BLACKS, key word BLACKS. Kuna mZanzibar mwenzio mwehu alikuja hapa akasema eti nyinyi ni waArab na ni natural born colonialists, hazijapita hata siku tatu umekuja wewe nakutuambia kuhusu Zenj Empire na kwakua umekiri kwamba haikuundwa na waZanzibari wenyewe (that's if the empire even existed at first), naomba nikuulize wewe mwenye ufahamu mkubwa, HOW CAN AN EMPIRE YOU DIDN'T BUILD BE YOURS?

Nimepata ka'deal kamoja hapa, wacha nikapambanie hela yangu ya kula leo kisha nitakuja kumalizia kukuelewesha ndugu mZanzibari.

Ombi langu ni moja tu kabla sijasahau, kindly work on your thinking, typing and language skills. Haiwezekani utuandikie 'munasema badala ya mnasema' na mu mu zingine kibao kwenye chapisho lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…