Wafuasi wa Rais
Senior Member
- May 31, 2023
- 151
- 147
- Thread starter
-
- #21
Rais ni kiongozi mkubwa wa nchi lazima apewe heshima yake hata kama anaenda kuzindua darasa moja la shule ya viduduMpuuzi mkubwa wewe, magari zaidi ya 200 kwa siku kwenda kufungua dispensary ya milioni 100 ni akili hiyo huku watu wanakufa kwa kukosa matibabu mpaka wanachangiwa na Malisa. Shame on you
Sio Record ya kumuza uchumi na kumaliza umaskini?Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Rais.
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Makamu wa Rais.
Mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu.
Mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu.
Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Majeshi.
Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Polisi (IGP).
Mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa Magereza.
Mwanamke wa kwanza kuwa Muendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali.
Mwanamke wa kwanza kuwa Gavana wa Benki Kuu.
Rekodi bado zipo nyingi unaweza kuongeza.
Je, nani atafanikiwa kuvunja rekodi mojawapo?. Huu uzi utaishi miaka mingi sana ijayo.
Rekodi alizoweka Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ngazi ya juu:
- Mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa Rais.
- Mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais kisha Rais.
- Mwanamke wa kwanza kuwa Rais.
- Mwanamke wa kwanza kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
Note:
Tukiwa kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network tunaendelea kutoa jukwaa yaani platform kwa ajili ya mtu yeyote kujitolea kwa niaba ya Rais kuhudumia jamjj bila kujali chama, elimu, mali, jinsia wala umri.
Taifa letu. Linatutegemea kila mmoja kwa uwezo wake.
- Tunakusaidia kukuleta karibu na utawala -
Wanadhani uRais ni kitu kidogo sana. Hawajui tu.Punguzeni kuropoka.
Tangu march 2021 mpaka Leo July 2024 nchi imetulia na mambo yanaendelea vizuri .
Umeshiba zako magimbi unapayuka tu Kwa sababu ya kukosa malezi .
Nafasi ya urais ni ngumu kuliko mnavyofikiria.
Wewe dada angu rudi FB kwa wanawake wenzio huku akili yako haitoshi, kwamba akienda na gari 4 au 5 atakuwa amevunjiwa heshima? jinga sn weweRais ni kiongozi mkubwa wa nchi lazima apewe heshima yake hata kama anaenda kuzindua darasa moja la shule ya vidudu
Punguzeni kuropoka.
Tangu march 2021 mpaka Leo July 2024 nchi imetulia na mambo yanaendelea vizuri .
Umeshiba zako magimbi unapayuka tu Kwa sababu ya kukosa malezi .
Nafasi ya urais ni ngumu kuliko mnavyofikiria.
kasahau na rekodi ya kubeti mikeka kila usiku mpaka wengine wanaacha na ma v8 usiku. sasa hivi mawaziri wameshtuka wameamua usiku kwenda na IST ZAO USIKUMbona rekodi ya msafara siioni hapo
Chawa wengi wanakaa kwa shemeji zao hawajui ugumu wa maisha hata kdgSio Record ya kumuza uchumi na kumaliza umaskini?
Chawa mna shida gani lakini?
Deni la Taifa kwa mikopo tusioyoona kazi yake?
Umewahi kupata huduma ya SGR DSM to Dom ama DSM to Moro?Sio Record ya kumuza uchumi na kumaliza umaskini?
Chawa mna shida gani lakini?
Deni la Taifa kwa mikopo tusioyoona kazi yake?
Watu wanapambana nduguChawa wengi wanakaa kwa shemeji zao hawajui ugumu wa maisha hata kdg
Acha kusingizia viongozi wako uongokasahau na rekodi ya kubeti mikeka kila usiku mpaka wengine wanaacha na ma v8 usiku. sasa hivi mawaziri wameshtuka wameamua usiku kwenda na IST ZAO USIKU
Kwani wapinzani wasibebane? Wabebane kama CCM..Mama Abduli angekuwa mpinzani angefika hapo, au hata bungeni?
..Ccm kuna kubebwa sana. Wengi hawana uwezo.
We kwa akili ipi utapambana na ulivyo mjinga na mvivu hivi?Watu wanapambana ndugu
Rais apewe hadhi yake jinsi inavyostahiliWewe dada angu rudi FB kwa wanawake wenzio huku akili yako haitoshi, kwamba akienda na gari 4 au 5 atakuwa amevunjiwa heshima? jinga sn wewe
Au ana D mbili huyo๐๐๐Wewe dada angu rudi FB kwa wanawake wenzio huku akili yako haitoshi, kwamba akienda na gari 4 au 5 atakuwa amevunjiwa heshima? jinga sn wewe
Wenye A mnashindwa ujanja na wenye D mbili? Basi kuna tatizo sehemuAu ana D mbili huyo๐๐๐
Kwani wapinzani wasibebane? Wabebane kama CCM
KANI NAPE ALIKUWA JINI.YANI SIJUI CCM WANASHINDWA KUWAWEKA KICHENI PART SOMO LA KUJISAHAUAcha kusingizia viongozi wako uongo
Kama mnajidanganya endeleeni...Mama Abduli angekuwa mpinzani angefika hapo, au hata bungeni?
..Ccm kuna kubebwa sana. Wengi hawana uwezo.
we huna akili akina Putin na Netanyahu na utajiri wote hawana hiyo misafara kwa hiyo heshima ni kuwa na msafara mrefu?Rais apewe hadhi yake jinsi inavyostahili
Kumsaidia Rais kwa ajili ya watu kama wewe ni akili kubwa sanaWe kwa akili ipi utapambana na ulivyo mjinga na mvivu hivi?