Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

Mtanzania gani ataweza kuja kuweka rekodi hii? Rais Samia alishaweka rekodi zake.

Mpuuzi mkubwa wewe, magari zaidi ya 200 kwa siku kwenda kufungua dispensary ya milioni 100 ni akili hiyo huku watu wanakufa kwa kukosa matibabu mpaka wanachangiwa na Malisa. Shame on you
Rais ni kiongozi mkubwa wa nchi lazima apewe heshima yake hata kama anaenda kuzindua darasa moja la shule ya vidudu
 
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Rais.

Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Makamu wa Rais.

Mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Majeshi.

Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Polisi (IGP).

Mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa Magereza.

Mwanamke wa kwanza kuwa Muendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali.

Mwanamke wa kwanza kuwa Gavana wa Benki Kuu.

Rekodi bado zipo nyingi unaweza kuongeza.

Je, nani atafanikiwa kuvunja rekodi mojawapo?. Huu uzi utaishi miaka mingi sana ijayo.

Rekodi alizoweka Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ngazi ya juu:


  • Mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Makamu wa Rais kisha Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Rais.
  • Mwanamke wa kwanza kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

Note:

Tukiwa kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network tunaendelea kutoa jukwaa yaani platform kwa ajili ya mtu yeyote kujitolea kwa niaba ya Rais kuhudumia jamjj bila kujali chama, elimu, mali, jinsia wala umri.

Taifa letu. Linatutegemea kila mmoja kwa uwezo wake.

- Tunakusaidia kukuleta karibu na utawala -
Sio Record ya kumuza uchumi na kumaliza umaskini?

Chawa mna shida gani lakini?

Deni la Taifa kwa mikopo tusioyoona kazi yake?
 
Punguzeni kuropoka.

Tangu march 2021 mpaka Leo July 2024 nchi imetulia na mambo yanaendelea vizuri .

Umeshiba zako magimbi unapayuka tu Kwa sababu ya kukosa malezi .

Nafasi ya urais ni ngumu kuliko mnavyofikiria.
Wanadhani uRais ni kitu kidogo sana. Hawajui tu.
 
Punguzeni kuropoka.

Tangu march 2021 mpaka Leo July 2024 nchi imetulia na mambo yanaendelea vizuri .

Umeshiba zako magimbi unapayuka tu Kwa sababu ya kukosa malezi .

Nafasi ya urais ni ngumu kuliko mnavyofikiria.

..Mama Abduli angekuwa mpinzani angefika hapo, au hata bungeni?

..Ccm kuna kubebwa sana. Wengi hawana uwezo.
 
..Mama Abduli angekuwa mpinzani angefika hapo, au hata bungeni?

..Ccm kuna kubebwa sana. Wengi hawana uwezo.
Kama mnajidanganya endeleeni.

2025 pamanieni nafasi nyingine lakin Samia muacheni Kama alivyo maana hata kumtikisa hamtaweza
 
Back
Top Bottom