Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyunguUtaratibu wa Tanzania ni upi?
UshauriTunayo haki ya kupokea pekee taarifa rasmi ya serikali chini ya wasemaji 3 na mkuu 4; Taarifa za mitandaoni tuwe na tahadhari nazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakubali tu! Ni suala la muda. Na wakikubali uje kusifia.Kila Nchi inautaratibu wake
Tunaogopa rekodi zitapaaNimepenyezewa za chinichini kwamba Kuna watu walikua wanataka wa donate dar es salaam, na Zanzibar ila wamepigwa stop. Ila inavyosemekana Kuna watu wanazo hapa Tz Ila wamepigwa stop
Sasa nimeshangaa kwanini Jana wanalalamika kwamba gharama za vipimo ziko Juu!
Kwanini wasiruhusu hizo Test kit ili ifanyike Mass testing
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepenyezewa za chinichini kwamba Kuna watu walikua wanataka wa donate dar es salaam, na Zanzibar ila wamepigwa stop. Ila inavyosemekana Kuna watu wanazo hapa Tz Ila wamepigwa stop
Sasa nimeshangaa kwanini Jana wanalalamika kwamba gharama za vipimo ziko Juu!
Kwanini wasiruhusu hizo Test kit ili ifanyike Mass testing
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo dawa yenyewe Redmesevir wazungu waliitengeneza kutibia ebolaWazungu wamepitsha dawa inayoitwa 'Remdesevir' ili kutibu korona, haijulikani itafanikiwa kwa kiasi gani lakini utaona hizi jitihada zote wanazifanya sababu korona inawatafuna na wao, ingekuwa inapukutisha watu weusi pekee kama ilivyo kwa ukimwi, ebola na malaria usingeona mzungu akihangaika namna hii maana hapo anakuwa anatimiza ajenda yake kuu 'punguza idadi ya watu weusi na jamii nyingine za watu duni duniani'......ngoja tusubiri gonjwa jingine watakalotengeneza huko maabara..
Ukiona hivyo wanakuwa wamelenga biashara ya makampuni yao ya madawa, kama wanavyofanya kwenye HIV hakuna dawa ya kutibu bali ipo ya kufubaza makali ya ukimwi, hapo wanakuwa wamefanya biashara ya dawa na hapohapo wamepunguza idadi ya watu weusi, maana wakishamezeshwa hizo sumu wanaishia kufa..Hiyo dawa yenyewe Redmesevir wazungu waliitengeneza kutibia ebola
Sent using Jamii Forums mobile app