Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu
Dunia nzima imesimama na uchumi wa dunia unashuka kwa kasi sana kisa huu ugonjwa wa corona,maajabu yake sasa
Mtu anaweza kuwa haoneshi dalili zozote, hakohoi, hana homa kali, kifua hakibani, joto lake la kawaida lakini anakutwa positive, na anauwezekano wa kipona mwenyewe bila hata kutumia dawa,huu ni uhuni na itakuja kujulikana
Vipimo vinavyotumika kupima hawa wagonjwa mimi binafsi nina wasiwasi navyo sana, vinamkanganyiko kiufupi havieleweki,kama umeshatuliza kichwa vizur unaweza kugundua ,nadhani hadi jpm alishaanza kugundua ujanja ujanja wa hizi mambo ,hana wasiwasi kabisa
Mataifa ugonjwa ulipo anzia wameshaanza shughuli zao za kila siku, na saizi inaonekana ni ugonjwa wa kawida tu .
Kujifungua ndani ni upuuzi ambao utakuja kujulikana badae, kuchukua tahadhari kama yalivomagonjwa mengine ni muhimu zaidi
Mwisho kabisa, shule, vyuo na mambo mengine lazima yataendelea na corona itakuwepo ,watu wataiishi
JPM anaona mbali sana, Muda si mrefu hata shule, vyuo, na viwanjani shughuli zinaenda kuanza
Na huo ndio utakuwa mwisho wa corona Tz
Kablayaoctobarlazimamshindiwacoromaatakuwaamepatikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia nzima imesimama na uchumi wa dunia unashuka kwa kasi sana kisa huu ugonjwa wa corona,maajabu yake sasa
Mtu anaweza kuwa haoneshi dalili zozote, hakohoi, hana homa kali, kifua hakibani, joto lake la kawaida lakini anakutwa positive, na anauwezekano wa kipona mwenyewe bila hata kutumia dawa,huu ni uhuni na itakuja kujulikana
Vipimo vinavyotumika kupima hawa wagonjwa mimi binafsi nina wasiwasi navyo sana, vinamkanganyiko kiufupi havieleweki,kama umeshatuliza kichwa vizur unaweza kugundua ,nadhani hadi jpm alishaanza kugundua ujanja ujanja wa hizi mambo ,hana wasiwasi kabisa
Mataifa ugonjwa ulipo anzia wameshaanza shughuli zao za kila siku, na saizi inaonekana ni ugonjwa wa kawida tu .
Kujifungua ndani ni upuuzi ambao utakuja kujulikana badae, kuchukua tahadhari kama yalivomagonjwa mengine ni muhimu zaidi
Mwisho kabisa, shule, vyuo na mambo mengine lazima yataendelea na corona itakuwepo ,watu wataiishi
JPM anaona mbali sana, Muda si mrefu hata shule, vyuo, na viwanjani shughuli zinaenda kuanza
Na huo ndio utakuwa mwisho wa corona Tz
Kablayaoctobarlazimamshindiwacoromaatakuwaamepatikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app