We jamaa vip, hujasoma takwimu kuwa wanaokufa wengi ni wazee wa 60+
Acha ramli potofu sijui za dhambi blah blah, milipuko inatokea na inadhibitiwa kimkakati sio kuendekeza imani zisizo na uthibitisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Victim mentality inakusumbua sana mkuu. Usipende kuishi maisha ya kuonewa huruma
 
unajua ndugu zangu lazima tukubliane kuwa si lazima Tanzania iige marekani au italy katika kuchukua hatua kisa kuofia kutengwa!

hatua zinazochukuliwa Tanzania ni nzuri ndio maana impact ya haya maradhi hatuioni lakini pia tuzingatie ushauri tunao pewa.

kufunga makanisa,miskiti na masoko sio suluhu ni kumpa shetani nafasi wachungaji wanatwambia hivyo.

haitakiwi kushukuru maradhi kumpata mwanadamu yyte ila ndugu zangu maradhi hya yangeanzia Afirca nakwambia sasahiv vyimbo vya magahribi vingeibua ushenzi sanaaa

wazungu walifika pahala wakijiona ni miungu wa dunia wacha wapokee kichapo kidgo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah...ndiyo mnatutimua town..dah

Sent using Beretta ARX 160
 
Unaposema suala la lock down haliwezekani unamaanisha nini?
 
Mzee mkuu alisepa kitambo baada ya kungundua hii hali siyo kazuka pale kati kaona bado hayupo salama kaona akajisokomezi kijiji kabisa 😂😂
 
Mimi mzee (dingi) 60+ jana nilipata mafua nikapiga piga chafya na kutoa kamasi nikaanza kutafuta kusikilizia dalili, nikawa nasikiliza kama homa itapanda na haikutokea. Nimeamka vizuri tu.

Naona watu wengine wanajimwambafai eti walipata corona wakapona kama mafua vile. Mi naona ilikuwa ni mafua ya kawaida.

Kichonishangaza ni kupanda basi toka posta mpya mpaka G/la mboto alikohoa jamaa mmoja tu mara moja kwa muda wa zaidi ya saa 1na 30, foleni ilikuwa ndefu sana watu kibao wamesimama.

Watu wanaogopa kukohoa au kipiga chafya ndani ya daladala, hii imenionyesha wa TZ tunafuata masharti vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…