Huwezi jua tatizo la korona ni Hadi uuguliwe kipindi hiki Kama Mungu anapenda usipate mgonjwa wa shida zingine mahospitalini kupokelewa ni changamoto kwa Sasa Hadi upokelewe.Baada ya kelele kuwa nyingi toka kwa baadhi ya watu kuhusu namna tunavyochukulia corona, tulisikika tukisema:..
Baada ya kelele kuwa nyingi toka kwa baadhi ya watu kuhusu namna tunavyochukulia corona, tulisikika tukisema:..
Huwezi jua tatizo la korona ni Hadi uuguliwe kipindi hiki Kama Mungu anapenda usipate mgonjwa wa shida zingine mahospitalini kupokelewa ni changamoto kwa Sasa Hadi upokelewe.
Tembea mahospitalini ndipo utajua korona ni tishio au tishio.Na sio kusikiliza kauli za mtu aliyejipa likizo ya lazima
Usivae tu, likikupata utaelewa kuwa Chato ni Tanzania au Burundi
Maneno ya muheshimiwa hayo. Siyo ya kwanguUsivae tu, likikupata utaelewa kuwa Chato ni Tanzania au Burundi
Means tatizo ni kubwaAsingeenda likizo na kuzifunga shule na vyuo ugonjwa usingekuwrpo?
Alisema watu wasivae? halafu hakuna ofisi ya serikali utaingia bila kuvaa barakoa...Maneno ya muheshimiwa hayo. Siyo ya kwangu
Kama ulisikiliza hotuba yake alivokua kanisani kule chato, alisema hayo manenoAlisema watu wasivae? halafu hakuna ofisi ya serikali utaingia bila kuvaa barakoa...
Jihadhari usihemkwe!
So unahitaji alama gani kujua kuna tatizo au mpaka mzike watu watano kwenye familia?Means tatizo ni kubwa
Wewe unasema corona sio tishio sana,wakat huko USA watu wanakufa kila sikuWakuu ,habarini poleni na majukumu poleni pia na hili janga la corona ,kiufupi mimi niseme corona sio tishio kubwa ila limekuwa overrated,
Ebu kumbuka lile janga la dengue ebu assume dengue ingewapata wazungu au wachina wangekuwa katika hali gani?...
Kama ulisikiliza hotuba yake alivokua kanisani kule chato, alisema hayo maneno
Hiyo kuwa na mashaka ilikua baadae sana. Baada ya kuona kaelemewaHajatamka zisivaliwe Bali ana mashaka na usalama wa barakoa kutoka nje in the name of msaada.
Wewe acha kuchukua tahadhari fuatisha hizi porojo za wanasiasa wakati wao wanajifuliza kisirisiri na wanaomba Mungu like never before coz wanahofu kupoteza majimbo pia
NaWewe unasema corona sio tishio sana,wakat huko USA watu wanakufa kila siku
Hiyo kuwa na mashaka ilikua baadae sana. Baada ya kuona kaelemewa