#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Baada ya kelele kuwa nyingi toka kwa baadhi ya watu kuhusu namna tunavyochukulia corona, tulisikika tukisema:

1. Hatuwezi kuzuia wachina kwa kuwa ni watalii acha waje watakuza uchumi wetu
2. Wachina wanaokuja hawatoki Wuhan ambako ni chimbuko la maambukizi
3. Wachina ni ndugu zetu hatuwezi kuwazuia
4. Baada ya muda tukaona tangazo mchina anatafutwa akisemekana ana corona
5. Wenzetu wanaathirika sana kwa kuwa nchi zao ni za baridi sisi ni kwetu kuna joto
6. Muafrika ana ngozi ngumu tumafua tunagonga mwamba

Ongeza na zako unazozikumbuka
 
Kwanza kabisa naomba kila mtanzania ajilaumu kuwa mtanzania. Inasikitisha sana kuitwa mtz nchi ya kipuuzi sana yan natamani tutawaliwe na tukandamizwe na taifa lingine ili tutie akili.

Shida naona ni kupata uhuru kwa maneno ila sio kupigana ndio mana tumekuwa waongeaji tu bila vitendo na uoga ukichangia.

Pesa inazopokea wizara ya afya kila mara kutoka taasisi mashirika mbalimbali na kampuni huwa zinafanyia nini?

Tumeshindwa kununua mashine hata mbili za kupima sampuli za korona na kusambaza kwa hospitali kubwa?

Michango yote ndio imetumika kutuma ndege kwenda Madagaska kuchukua box kadhaa za mitishamba? Hivi ingekuja chupa 1 tu kwa ajili ya uchunguzi isingefaa? Mpaka yaje mabox yote yale afu eti yanafanyiwa uchunguzi 😂😂😂

Rai yangu kwa kampuni zenye nia ya kutoa misaada serikalini bora wachangie vifaa tu na sio pesa.

Mwaka huu ni kipimo kingine kwa watanzania kama wanajitambua. Ukiwazia tz lazma upandwe na hasira tu
 
Baada ya kelele kuwa nyingi toka kwa baadhi ya watu kuhusu namna tunavyochukulia corona, tulisikika tukisema:..
Huwezi jua tatizo la korona ni Hadi uuguliwe kipindi hiki Kama Mungu anapenda usipate mgonjwa wa shida zingine mahospitalini kupokelewa ni changamoto kwa Sasa Hadi upokelewe.

Tembea mahospitalini ndipo utajua korona ni tishio au tishio.Na sio kusikiliza kauli za mtu aliyejipa likizo ya lazima
 
Baada ya kelele kuwa nyingi toka kwa baadhi ya watu kuhusu namna tunavyochukulia corona, tulisikika tukisema:..

Jihadhari na uwapendao, Mungu muhusishe pia, covid19 is real!
Achana na hizi kauli ugonjwa upo miongoni mwetu, kwani ambao hawakutoa hizi kauli nchi zao hazijafikwa na ugonjwa?
 
Asingeenda likizo na kuzifunga shule na vyuo ugonjwa usingekuwrpo?
Huwezi jua tatizo la korona ni Hadi uuguliwe kipindi hiki Kama Mungu anapenda usipate mgonjwa wa shida zingine mahospitalini kupokelewa ni changamoto kwa Sasa Hadi upokelewe.
Tembea mahospitalini ndipo utajua korona ni tishio au tishio.Na sio kusikiliza kauli za mtu aliyejipa likizo ya lazima
 
Alisema watu wasivae? halafu hakuna ofisi ya serikali utaingia bila kuvaa barakoa...

Jihadhari usihemkwe!
Kama ulisikiliza hotuba yake alivokua kanisani kule chato, alisema hayo maneno
 
Wakuu ,habarini poleni na majukumu poleni pia na hili janga la corona ,kiufupi mimi niseme corona sio tishio kubwa ila limekuwa overrated,

Ebu kumbuka lile janga la dengue ebu assume dengue ingewapata wazungu au wachina wangekuwa katika hali gani?...
Wewe unasema corona sio tishio sana,wakat huko USA watu wanakufa kila siku
 
Kama ulisikiliza hotuba yake alivokua kanisani kule chato, alisema hayo maneno

Hajatamka zisivaliwe Bali ana mashaka na usalama wa barakoa kutoka nje in the name of msaada.

Wewe acha kuchukua tahadhari fuatisha hizi porojo za wanasiasa wakati wao wanajifuliza kisirisiri na wanaomba Mungu like never before coz wanahofu kupoteza majimbo pia
 
Hajatamka zisivaliwe Bali ana mashaka na usalama wa barakoa kutoka nje in the name of msaada.
Wewe acha kuchukua tahadhari fuatisha hizi porojo za wanasiasa wakati wao wanajifuliza kisirisiri na wanaomba Mungu like never before coz wanahofu kupoteza majimbo pia
Hiyo kuwa na mashaka ilikua baadae sana. Baada ya kuona kaelemewa
 
Achana na huko nje, hapa nchini shule na vyuo viko lockdown sasa kama sio issue kwanini zisifunguliwe?
Hizi porojo za wanasiasa ni janga sana
Wewe unasema corona sio tishio sana,wakat huko USA watu wanakufa kila siku
Na
 
Hiyo kuwa na mashaka ilikua baadae sana. Baada ya kuona kaelemewa

Kaa umsuburi asielemewe ndipo uchukue hatua.
Wewe huoni amefanya partial lockdown kwa shule na vyuo? Au unahitaji sign kutoka mbinguni ndipo akili ikukae sawa?

Alipaswa aungane na manesi na madaktari mstari wa mbele au sio? Mwenzio yuko kwa mama ake wewe kaa umsubiri arudi magogoni na chamwino akutangazie hali ya hatari ndio uelewe vizuri.
 
Back
Top Bottom